KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2023 ALIDHISHWA NA MRADI WA ZAHANATI MISUNGWI
"Mhe. Mkuu wa Wilaya endelea kusimamia miradi yetu ili ikamilike kwenye ubora hususani kwenye upande wa manunuzi ya vifaa hakikisha bei zinazingatia nyaraka za vifaa vya ujenzi (BOQ) ili fedha zitumike vizuri," Amesema Ndugu Kaim, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023.
Mwenge wa Uhuru umeweka Jiwe la Msingi kwenye Jengo la Mionzi kwenye Kituo cha Afya Misasi na kuagiza usimamizi mzuri ili hatimaye iweze kukamilika kwa wakati lakini kwa ubora madhubuti.
#mwanza #raissamia #trending
5 сен 2024