Allah is the great, He is the creator of universe, He is beyond to human comprehension, Mungu ni mkubwa halinganishwi na na kiumbe chochote, tuyatamke maneno yake aliyotuteremshia kwa heshima na utulivu na si kuyafanyia mzaha, Wallah ogopa siku ambayo huyu uliemfanyia mzaha dunian ndie mfalme na Hakimu wa siku ngumu ya kuhesabiwa cku ya mateso.. May Allah grant us goodness and be among those have achieved your mercy on the day of judgement
ACHENI MCHEZO NA QURAANI ALLAH ATAWAPA MTIHANI HAMTASAHAU MNACHEKESHA WATU KUHUSU QURAANI. SHEKENI ADABU ZENU .NAMUOMBA ALLAH AWAANGAMIZE WOTE WANAOCHEZEA KITABU CHAKE
Unamkuta huyu nae Kuna wakati anajinadi na kujifaharisha kua ni muislam Akisahau kua waislam wakweli hua na heshima na adabu na mambo ya muumba (mungu) ikiwemo maneno yake (Qur an) Waislam tubadilike kwan mpaka yafanyiwe mzaha mambo ya dini ndio watu watacheka? Tubadilike Mimi Wewe Yeye Wote kwa ujumla Tuache kufanya mambo ya ki Iman Sehemu ambapo hayastahili kuwepo Ahsante .
Igizo zuri lakin msiichezee qur an kwan ni kitab kitaka tifu kuna watu walitolewa main kwa sabab ya quran ,kuna wat walipoteza meno sababu ya quran mtume mwenyewe pia mfano mzuri sasa mm na wewe tunapokuwa twaichezea inakuwa siyo vizuri Kwenye maisha haya hakuna mkamilifu tutubie kwake kwa Allah maadam tupo hai atapokea toba zetu
Kitale kisha staafiru pia usirudie tena kutumia kuurani illa nimeipenda shoo yako noma unatisha ustazi kajikata fasta 😁👍pia kumbe muislam mzuri tuu dini unaijuwa sheh wangu leo mimecheka sana wewe noma broo