Kwenye fasihi hii inaitwa kufaulu kwa mwandishi /mtunzi, ujumbe imefika na funzo limetolewa,lkn angeenda kuiba akafanikiwa maana wizi ungeonekana mzuri, lkn kwa sababu yamemkuta mazito hadhira itaelewa kwamba suruhisho la kipesa ni kutafuta kazi ya kufanya,kuomba sio kuombaomba,kukopa na baadae kurudisha.
I remember my father introduced me to this 'Ndunga mawe' Ngoma Nagwa in this video...he really is the best person for this role played in the video...A very deep song bro I literally shed a tear because I am going through the last stage that led to his death and I pray God bless us all and bless kontawa for the inspiratio...I left this comment so I can read it when I'm old next to my son/daughter
Naisubili kwa hamu hiyo ngoma #dungawawe baada ya kuona picha ya nagwa ndo nikaja ku comment kwasababu mimi mwenywe nilkua na waza kama yule ahoufe wa ghana amekufa basi mwingine wakuweza kuigiza uhusika wa dunga mawe ni nagwaaaaaa sharout sana mwanangu kontawa napenda sana uhandishi wake
Dunga mawe ngoma Nagwa nakukubali sana kichaa wangu umefanya kazi nzuri Kontawa pia nakukubali sana mchizi wangu unajua nyimbo zako bora na za kipekee God bless you ❤❤❤u forever
Hiyo ndyo hasili yetu nimesha shudiya kama hao kwenye mtalo kama kumi wengine hakibaa😳😳sikya huko kwetu wapo Dunga mawe maisha harisi ya watoto wa ❤❤❤❤
Nyimbo ukiisikiliza ina mengi ya kujifunza, sio wote wanao penda kuwa katika hali ya uwizi,ukabaji na kutofautiana na wengine ila ni maisha waliy pitia au wanayo pitia... MUNGU AWAONGOZE WOTE WALIO KAMA DUNGAMAWE SIKU MOJA WAISHI NA KUTIMIZA NDOTO WALIZO PANGA WAKIWA WANAKUWA
Endelea kukaza mwanangu badman kontawa, respect pia kwa script writer kaitendea haki ngoma kweny video nimeuelewa xana ujumbe kuliko nilivyokuwq naisikiliza audio Jamaa kanyoosha xana scrpt nicklas nae kawaida take kufanya vyema.
Yes! Kontawa, kwanza Hongera kwa tuzo....hakika unastahili zaidi ya hapo...naam hii ndo video tuliohitaji...maana tuliisubili baada ya ile story ulotusimulia pale tunaota 🔥👍👏👏👏👏
Sema ingeisha uyo dem anazaa hme wakat nagwa anaaga ingekuwa noma Sanaa!ingekuwa mwanzo wa dunga mawe jr! But all in all big up Sanaa shout out to @kontawa @nagwa OG a.k.a dungamawe😅