KTN Leo Wikendi, Wako Wapi: Khamisi Themo mtangazaji wa zama katika KBC asema changamoto zilizokumba habari zama hizo Watch KTN Live www.ktnkenya.tv... Follow us on / ktnkenya Like us on / ktnkenya
For some of us who have been around for a while, the voice of Khamisi Themo comes with a lot of nostalgia. It was rejuvenating hearing his voice. Twashukuru
Namkumbuka Khamis Temo, Anderson Kalu, Willy Mwangi , Ali Salim Manga, Mohamed Juma Njuguna , Khadija Ali , Amina Fakih, Juweiria Omar, Gladys Erude , Elizabeth Obege , Ismail Mohamed , Rashid Khamis , Leonard Mambo Mbotela na Mwengine wengi ....
wallah alivyosoma tu hyo khabar mie nimesisimka niko Tanzania na sikuwahi kupata furswa ya kumsikia ila nlivyomsikia hapo kwa kweli nmemkubali kweli YA KALE N DHAHABU...
Kutokana na sauti ya watangazaji kama Khamisi Themo, Billy Omala, Jacob William Maunda, singweza kukaa bila kutazama habari. Chochote kingenjoja lakini ilibidi habari itazamwe kwanza. Ninahisi vizuri sana kumuona Khamisi Themo. Naweza iga jinsi alivyokuwa akisoma habari ukadhani ni yeye.