Nina kuku watano nataka niwafuge kisasa ila ndo naanza sijawa na eneo la kutagia la kutosha ntawezaje kuwatunza na tiari washaanza kutaga angalau nikujipange
Mimi sijaelewa, yaani mwanga mkali ambao ni upi?! Mfano ndani usiku lzm niwashe taa na nakua nimeyaweka mezani kwenye trei, lkn mchana pia yanakua hapo hapoo kwenye meza na yanakutana na mwanga ambao ni ule wa asili yaani maana nyumba ina madirisha makubwa kutosha kupenyeza mwanga kuingia ndani, sasa kati ya mwanga huu wa asili wa ndani ambapo jua halipenyi kuingia ndani na mwanga huo wa taa wa usiku, ni mwanga upi haufai unaweza kuharibu mayai?!
@@lucasmwinuka3838 zipo sehemu mbali mbali. Kwa watu binafsi na katika maduka ya vifaa vya kuku na incubators. Bei inategemea na uwezo uimara na muuzaji mwenyewe.
Mimi ni KASEREKA LUKOGHO Elois , mkaaji wa drc, kilometa 100 toka mji kuu wa butembo, nashukuru sana kuku village, shida langu nikuwa number zote zenu za whatsapp haniweze kuzipa naomba muniunge kwenye group ni sheye na wengine, niko mfugaji mdogo tu, ila Nina ndoto. Number yangu ya whatsapp ni 0811554532
Ngoja nikusaidie kdg japo na yy huyu mtaalam naye atakuja kusema, yaani mayai yasizidi siku 7 ndo yanafaa kuweka kwenye mashine, na yale ambayo hayana uchafu, lkn pia yale ambayo hayajashikwa na manukato, na ndani ya siku 7 yaani week moja yakiwekwa kwny mashine ndo yatajulikana yapi yanatotoleka na yapi hayata totoleka, japo mm nilikutana na changamoto, niliweka mayai 30, kisha yaloonekana yatatotoleka yalikua 13, ajabu siku ilipofika ya kuanguliwa, nilipata vifaranga 3 tu, so wkt mwngn mashine nayo inakatisha tamaa na sitamani tena kuweka mayai kwny mashine, ngoja mtaalam aje tujue vzr