Nimemuelewa Mwalimu Nyangusi ni mwalimu pia ni usalama wa taifa na takukuru mkoa wa dodoma waliingizwa king bila kujua na wakapewa assignment bila kujua huyo ticha ni nani 😅😂
Watu mna siri sana! Hivi kumbe Mwalimu Nyangusi ni Padre!! Yote kwa yote pole sana mwalimu wangu, tatizo vile vi slide ulikuwa unavikimbiza faster sana, ila ulinisaidia, ufundishaji wako ni wa kipekee Mungu akupe maisha marefu, mengine hayo ni mapito tu. Usiache kusamehe.
Pole sana Oliver, wengi kwenye vyuo vikuu wamedhalilishwa sana kwa uongo na hila. Hata hivyo ukweli mara zote unashinda hata ichukue muda. Bravo hao vijana weledi wa system na Mahakama kuu. Watu waadilifu bado wapo hata katika giza hili. Nakuombea uponyaji wewe na familia kwani najua mmeumia sana roho zenu. Mungu ni mwema, keep going!
Yaani kama hichi Cha wafanyakazi wangekifuta. Watu wanaonewa sana makazini selekarini. Kuna watu badala ya kupanda madaraja wanashushwa. Makazini wanalindana kama huna mtu utapata shida.
Natatizwa sana na amani yetu, mbona kunamambo yanayofanyika mengine yanayofanyika nyuma ya pazia ambayo hudhibisha kuwa amani yetu kama nchi iko matatani kutokana na upotoshwaji wa haki.Mm naona kunahaja ya watanzania wote tuendelee kuiombea nchi yetu iwe na amani halisi na sio cover
.mhe pole saaana na sifa ba utukufu apewe Mungu!!! Mwisho nakushauri wafungulie kesi ya kuchafua jina lako kwa kukufungulia kesi ya uongo ambayo ime sababisha damqges nyingi kama careers damages, professional damages, social damqges, na pia walienda mbali kuchafua jina la chuo pamoja na wafanyakazi wa taasisi!! ili iwe fundisho kwa watumishi wengine!!!
Malecture muach tabia za kuon mabint il wawe salama n kukubal kutumiwa, kumbuken hao wana wanaowapenda, na zaid km han uwezo kwel bac wapen Carry over au supplementary c kutengenez mazingira ya kuingizana ktk mapenz. Tunayaona ayo vyuon watto wa watu wananyanyaswa kisa mungu kawapa sura na shepu
Kumbe Kuna Rushwa ya NGONO! JE Rushwa ya MADARAKO inayo tunyima KATIBA yetu mpya, Kwa Nini haisemwi?. Hii ni Rushwa inayofanya na CCM Kwa lengo la kuitawala NCHI hii BILA ridhaa ya kura za KWELI za WANANCHI.
Kama hukuhusika kweli Mungu awe nawe. Ila wahadhiri wengi wana tabia mbaya sana ya kuwataka wadada rushwa ya ngono. Huenda pengine umesafishwa na mahakama lakini rohoni mwako unashuhudiwa tu kwamba ulimwomba rushwa ya ngono. All in all, Mungu ndio anajua.
Msililize anachoongea- 1. Aliyemsingizia hakuwa mwanafunzi 2. TAKUKURU Dodoma waliingia mgogoro na TAKUKURU Dar es salaam 3. Hata kama kuna rushwa ya ngono vyuoni lakini isitumiwe kuchafua watu kiholela 4. Katika hili kulikosekana weredi kwa sababu walitangaza kwenye vyombo vya habari wakati bado suala linafanyiwa uchunguzi 5. Ilianza rushwa ya ngono ikaenda mpaka uhujumu uchumi
Najiuliza kama PCCB chombo amabcho kimeaminiwa na kupewa mamlaka kubwa nchi hii kinatumiwa kutumika na kusingizia watu wa kawaida how safe are we sie wanyonge
Daaaa kumbe ni father hongeran saana pia pole saana ila tukio limekufanya sasa uwe maarufu tungekujuwaje kama mandonga tuu ukipiga ukipigwa ni wewe tuuu
Duh kumbe Tundu Lisu nae hawezi kuweka Gari lake Makumbusho ya Taifa sababu nayeye pia alishawahi kushtakiwa pia na tumechanga hela apate gari mpya🙄🤔😢😢