Namshaangaa muislam yeyote anaekubali kusalishwa na imamu ambae ni mshabiki wa CCM Kwa upande wangu haitowahi kutokea maana mimi c mnafiki wala cna chembechembe za unafiki wala cna ushirikiano wa aina yeyote nao rabda nicmjue simshawisi kuniiga ila nachunga uislam wangu CCM naijua A_Z na Sera zao haziendani na maslahi ya akhera yangu...🙏
Dokta Shein ni nani nyinyi nyote munajiona muko safi lakini kumbukeni wangapi walikuwepo sasa wako wapi sasa Nyinyi tumie ubabe na Allah ndiye mwenye uwezo huo jifanyeni muko safi iko siku mutaingia kwenye mikono ya Allah poleni sana kwa Dhuluma munaoifanya
Lazima useme hivyo," kura ya mapema ni lazima". Kwa kuwa nyie ni wezi na waauwaji. Sio mwaipenda Zanzibar na raia wake. Lakini In sha Llah, 2025 ndo mwisho wenu wenye laana. Ujinga Ujinga huo basi. Hasbi Llah alaykum waniima al wakil.
Binafsi ata wake milele hawanikeri maana najua hakika nini kitawapata baada ya kufa kwao🔥🔥🔥 kwani firauni na timuyake waliishi miaka mingapi? na leo wako wapi?
Mh yaani mnawapa rushwa hao wazee ili wakaipigie kura CCM , hakuna hata mtu mmoja mnaeweza kumdanganya , mh mnakumbuka 2015 mlivyotia mpira kwapani? Nyie ni wezi, matapeli , majambazi nyooote hakina DIMWA wala DEMA ,
Yaan huyu hata kuongea hajui aongee nin maskin dah Dunia ni mapito sana ipo siku utakuja kujuta dimwa ndgu yangu Tena ukiwa hapa hapa dunian mana Kuna wenzako weng sana Sasa hv wanajuta
Vijitu vyenyewe vichache🎉eti kura ya mapema😂china yenye mamilion ya watu kura one day,znz vijitu laq6kura ya mpm echeni wizi nyie ipo siku mutakufa na mutaulizwa