Ahsante sana kwa mafunzo Kaka, Naomba kuuliza kwamba ikiwa sina window 7 original, lbd Nina window 10 hiyo hiyo lkn nataka nishushe window 10 nyingine ambayo ni original je itawezekanika kwa kutumia hii njia,
Ahsante sana kaka nilitumia hii njia nikafanikiwa kushusha window kwenye Pc nyingine iliyokuwa na window ten Lakini nilikuta na changamoto za KUSIKILACH KWA VIDEO na KUSHINDWA KUREKEBISHA MWANGA....Naomba kufahamishwa kutatua tatizo hili.
Kuscruch inatokana na player unayoitumia, au disk full, au uwezo wa computer au hakikisha video yenyewe iko sawa na kama ni CD basi haina mikwaruzo, au angalia uwezo wa computer na hakikisha net isiwe ni tatizo pia. Ama kuhusu mwangaza tafuta vitufe vya kuzidisha muangaza kikawaida ni F6 na F7 usisahau kitufe Cha FN au shusha driver zake, au tumia high performance ktk settings ya betri. Asante.
Mwl mbona nikiweka window 7 kwenye computer inagoma, na inaniandikia ujumbe huo "Windows could not complete the installation. To install windows on this computer. restart the installation"
Mwl mbona nikiweka window 7 kwenye computer inagoma, na inaniandikia ujumbe huo "Windows could not complete the installation. To install windows on this computer. restart the installation"
Bila shaka kwasasa Windows7 ni kama kitu cha kuokota ambacho mwenyewe akitaki hivyo unaruhusiwa kutafuta leseni yake kokote, nitafute huenda nikakusaidia kuipata Original yake.