Тёмный

Kwa mji wa Mwangaza - Godwin Ombeni (New Album 2017). 

GODWIN OMBENI-ONLINE TV
Подписаться 58 тыс.
Просмотров 494 тыс.
50% 1

Kwa Mji wa Mwangaza” is my new and the best album. Kwa Mji wa Mwangaza is one of the songs in my new album. This song is meant for all; but I have sung it specifically as a memorial to my Friend and Beloved, Fanuel Sedekia. This friend of mine is not lost, I know where he is; he has gone before me unto Glory. Surely, the mark he has left in this World shall never be erased. In the land of fadeless day; there is no night there.
Almost all songs in this album are hymns. The album is distributed by Umoja Audiovisuals (E.A) Ltd. Original copies are available in all larger album sellers shops in East Africa.
“Kwa Mji wa Mwangaza” ni wimbo uliopo kwenye album yangu mpya). Wimbo huu ni kwa ajili ya watu wote lakini nimeuimba kipekee kama kumbukumbu ya Rafiki, na Mpendwa wangu, Fanuel Sedekia. Rafiki huyu sijampoteza, najua aliko;ametutangulia kwenye Utukufu. Hakika, alama aliyoiacha hapa duniani hakuna wakuifuta. Kwa Mji wa Mwangaza hapana usiku.
Album hii ni ya nyimbo za Tenzi za Rohoni. Album hii inasambazwa na Kampuni ya Umoja Audiovisuals (E.A) Ltd. Ukitaka Nakala halisi utazipata katika maduka yote makubwa yanayo uza kanda, Afrika Mashariki.
Karibu Tuabudu Usisahau Ku-Subscribe Channel hii / godwinombeniministries

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 162   
@innocentpeter5881
@innocentpeter5881 2 года назад
Brother wewe, fanuel sedekia, geither vocal band na ambassador of Christ choir mmenifanya niokoke kabisa, Mungu awabariki sana
@jeannettekeza6434
@jeannettekeza6434 5 лет назад
Oohhhhh panda mbengu njema katika maisha ! Pumzika kwa amani fanuel sedekia ulituachia kumbukumbu hambazo hatuwezi kuzisahau kamwe ! Hongera sana Godwin mungu awabariki🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@GodwinOmbeniMinistries
@GodwinOmbeniMinistries 4 года назад
ameeena
@Regnard999
@Regnard999 2 года назад
Natamani sana kupata mawasiliano ya kaka huyu ktk video hii. Simfahamu kwa jina ila anaimba kwaya ya Tumaini Shangilieni (Solorist). Kwa anayemfahamu anisaidie mawasiliano ama namna nyingine ya mimi kuwasiliana naye. Natanguliza shukurani.
@UniqueJas
@UniqueJas 5 месяцев назад
Fanuel Sedekia alifariki mwenye huu wimbo
@azzaalmalki41
@azzaalmalki41 3 месяца назад
Anaitwa Godwin Ombeni Yuko arusha
@isaiahandayi8935
@isaiahandayi8935 6 лет назад
Thanks a lot kwa huo wimbo wa mwagaza,umenifanya kukumbuka baba alifanya nikajua utamu wa kuabudu marehemu mpendwa sedekia.God bless you
@bayyoakonaay1065
@bayyoakonaay1065 4 года назад
Wimbo bora wa miaka yote Mungu atusaidie tuvuke salama ila namkubuka sana Fanuel Sedekia
@GodwinOmbeniMinistries
@GodwinOmbeniMinistries 4 года назад
Amina
@edgarndossi9835
@edgarndossi9835 5 лет назад
Amen Mtumishi wimbo huu unagusa, Naweza kuwapata wapi RUACH?
@mhandodanny4256
@mhandodanny4256 3 года назад
Ubarikiwe Ombeni kwa nyimbo zako nzuri. Lakin kwa mujibu wa Biblia Takatifu ktk kitabu cha Muhubiri 9:5-6 Soma. Imeandikwa, Kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; Lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. Mapenzi yao na machukio yao, na husda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
@wannaproducts
@wannaproducts 4 года назад
Hakika Mungu atayafuta machozi na hasara.......
@rehemasam6946
@rehemasam6946 4 года назад
Dada mwenye light pink sweater na uliyevaa kembe shingoni mmenibariki sana Oct 2020
@michaelbigvai1199
@michaelbigvai1199 6 лет назад
Hii albam naitafuta sana hii
@julimeena7446
@julimeena7446 5 лет назад
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu nabarikiwa sana na nyimbo zako mungu akuinue kwa viwango vingine
@esthermshomi3140
@esthermshomi3140 6 лет назад
Machozi yananitoka niusikiapo wimbo huu, Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@graciamudola8107
@graciamudola8107 3 года назад
Mungu atayafuta machozi ya hasara kweli🙏🙏🙏
@filbertleonoratv1304
@filbertleonoratv1304 5 лет назад
This team God blessings you alot ...nisikiapo wimbo huu macho yangu hujawa na machozi daaah!! MUNGU jmn wangu the day iwill disappear in this trouble world to heaven
@evelynlyimo7496
@evelynlyimo7496 3 года назад
Hapana uck mungu aendelee kukupa kipaji uko uliko swz kusem jins gan umenikaa moyon sedekia
@esterchananji2657
@esterchananji2657 3 года назад
Yesu Ni Nuru kweli,,Hapana usiku! Ubarikiwe mtumishi
@stephenlembo8986
@stephenlembo8986 3 дня назад
Siku note Mungu ni mwaminifu sana.
@timothymusa9853
@timothymusa9853 6 лет назад
Indeed God will wiped our tears, Very powerful song. God grant you more wisdom in this ministry. Kwa yote aliyotenda, waiting for the vedio. Be blessed
@helenshehele1902
@helenshehele1902 9 дней назад
Naelwa mtumishi alikua rafikiako wakaribu mungu akufariji he died when I I was still young but nlipenda nyimbo zake Hadi SASA ..mungu naazidi kukufariji kila siku...may his soul continue rip till we meet at tha palm gate of heaven😢 it is well Lord🙏
@nelsonkuya8986
@nelsonkuya8986 2 года назад
Am blessed Hapana usiku
@augustinevedasto7517
@augustinevedasto7517 6 лет назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU Godwin Ombeni
@astonmwambene1176
@astonmwambene1176 5 лет назад
Amen nimebarikiwa sana
@happybernard5588
@happybernard5588 4 года назад
Ameen Mtumishi kwa Nyimbo nzuriii barikiwa saaana
@GodwinOmbeniMinistries
@GodwinOmbeniMinistries 4 года назад
Ameeen
@nasrinasri1782
@nasrinasri1782 4 года назад
Nabarikiwa sana MUNGU atayafuta machozi Na hasara
@janethfelix9411
@janethfelix9411 4 года назад
Hakika atayatafuta machozi na hasara na hapo miaka itakoma... "hapana usiku" am blessed...
@GodwinOmbeniMinistries
@GodwinOmbeniMinistries 4 года назад
Thanks
@veronicaamukune1557
@veronicaamukune1557 2 года назад
Alipandanda mbegu njema....
@yohanamgonja1166
@yohanamgonja1166 4 года назад
Ni hakika Fanuel Sedekia ameacha alama isiyofutika, na umefanya vyema kumkumbuka katika wimbo huu
@happyjohnson4734
@happyjohnson4734 5 лет назад
mungu atafuta machozi na hasara hapo miaka itakoma Hapana usiku
@catherinengechu7461
@catherinengechu7461 5 лет назад
kweli kabisa.karibu tunaenda nyumbani!!
@magrethmallya7728
@magrethmallya7728 2 года назад
Hakika hatujampoteza, ametutangulia na aliko ni mwangaza. Mungu awabariki sana ndugu. Kazi nzuri.
@mutesiflorence4183
@mutesiflorence4183 2 года назад
Barikiwa mno mtumish wa Mungu Hakika arama ya Mt Fanuel haitafutika ametutangulia2
@kimberlytv7895
@kimberlytv7895 3 года назад
It hurts me alot,kifo ni baya,ata wewe kifo siku moja utakufa tu
@mutesajohn1307
@mutesajohn1307 3 года назад
Ombeni wimbo huu waniguza Roho yangu... Namkumbuka fanuel kama Jana tu. I miss him.. Hope Familia yake wako salama salimini
@herriethhenry2043
@herriethhenry2043 3 года назад
Amen Bwana amtafute machozi na hasara ,Nabarikiwa sana kaka yangu
@elizabethlubieno5310
@elizabethlubieno5310 4 года назад
Mungu awabariki wimbo unagusa mno
@GodwinOmbeniMinistries
@GodwinOmbeniMinistries 4 года назад
Amina
@pastorwilson9219
@pastorwilson9219 6 лет назад
Godwin, God wins always. Our faith and hope is the Lord Jesus the hope of glory.
@LoyceHubertine
@LoyceHubertine 18 дней назад
Aaaaamen hapana Usiku Kwa mji wa Mbinguni❤❤❤God bless you ❤❤
@mariatalumbaofpollo0128
@mariatalumbaofpollo0128 2 года назад
Nakumbuka Arusha iposikia juu ya kutwaliw kwa mtumishi Mungu zedikia mji ulitaharki. Rip mtumishi wa Mungu Zedekiah
@merymwamwezi9273
@merymwamwezi9273 3 года назад
Amina watumishi. Munguawainde
@aaronswai3092
@aaronswai3092 22 дня назад
Mungu akubariki sana mtumishi wa BWANA, Godwin Ombeni; na azidi kukuinua kwa huduma yako!
@changuchake7406
@changuchake7406 2 года назад
Sedekia sedekia sedekia
@jemadanieli7153
@jemadanieli7153 3 года назад
Godwin omben, Mungu akubariki Baba kupitia sauti yako Fanuel anaiehi ndani yangu 😭😭😭😭😭
@lydiadotto3380
@lydiadotto3380 2 года назад
Mungu atayafuta machozi ya hasara Amina
@Regnard999
@Regnard999 2 года назад
My God my Lord, come and shade trails of tears on my cheeks. Hapana usiku. Hapana usiku. Hapana usiku. Hapana usiku. Mungu wetu si kiziwi hata asisikie. Mbarikiwe sana.
@wemambonge2948
@wemambonge2948 2 года назад
Barikiwa saana
@vivianchawe7561
@vivianchawe7561 3 года назад
Mungu atayafuta machozi
@estomihiluka1508
@estomihiluka1508 3 года назад
hongera sana nyimbo nzuri sana ombeni umenikumbusha msiba wa rafiki sedekia sitamsahau
@susansheshas6987
@susansheshas6987 2 года назад
KAKA GOD BIG UP,FANUEL SEDEKIA PUMIKA KAKA,HAKUNA USIKU
@neemamohamed2580
@neemamohamed2580 3 года назад
Nisikilizapo nyimbo nzuri kama hizi najihisigi nipo karibu na Mungu'napo hujawa na amani sana
@estermushashu500
@estermushashu500 6 лет назад
Amen mtumishi mungu akubariki
@juniorouma6372
@juniorouma6372 4 года назад
indeed.he is one minister that always get moved by his songs
@monicamlingi360
@monicamlingi360 3 года назад
Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu Yehova
@doriskhasoa615
@doriskhasoa615 2 года назад
Mungu akubariki sana Kwa nyimbo zako takatifu
@terryannewambua8588
@terryannewambua8588 2 года назад
Thankyou for comforting me,May fanuel continue resting in that Light, alot of love from Kenya, God bless Tanzania and her wonderful people
@mshangaemmanuel8964
@mshangaemmanuel8964 2 года назад
Haleluya
@lucyfrancis4127
@lucyfrancis4127 4 года назад
Hongera sana kwa kumkumbuka MPENDWA wetu fanuel sedekia jamani MUNGU awabariki sana
@victoriamalogo4587
@victoriamalogo4587 3 года назад
Mungu atafuta machozi na hasara Amina Mungu awabariki watumishi
@doreenmwakisyala7052
@doreenmwakisyala7052 5 лет назад
Amen nyimbo inabariki sana
@patrobamalema8631
@patrobamalema8631 2 года назад
Ameeeeeeen
@juliusmbogoma882
@juliusmbogoma882 6 лет назад
Amen nyimbo zako zanibariki sana
@francissaimoni3633
@francissaimoni3633 3 года назад
Mungu akubariki kwa ujumbe wa mungu kupitia nyimbo zinanibariki Sana
@neemakeneth9099
@neemakeneth9099 2 года назад
Amenl
@heriethndaiga1025
@heriethndaiga1025 3 года назад
Mungu atayafuta machozi na hasara hapana ucku
@mesharchmutua4449
@mesharchmutua4449 3 года назад
Hallelujah... Utukufu hadi utufu mkuu
@silaskilonzo4883
@silaskilonzo4883 3 года назад
Godwin jua halitakiwi Mungu akubariki thank you team
@EstherMlai
@EstherMlai 2 месяца назад
Amen 🙏 mtumishi barikiwa xn baba Mungu azidi kukutunza
@zamirumbwambo3834
@zamirumbwambo3834 2 года назад
Kwamji wa mwangaza hapana usiku barikiwa
@suzanmoraa6632
@suzanmoraa6632 2 года назад
Amen...Mungu atayafuta machozi yote
@sikojuma7882
@sikojuma7882 6 лет назад
Uimbaji mzuri, nabarikiwa sana, BWANA awatie nguvu.
@vanesakisaka101
@vanesakisaka101 3 года назад
Wimbo huu unanikumbusha mengi mno
@groupfamily7895
@groupfamily7895 3 года назад
hakika
@lawrencegwakisa4320
@lawrencegwakisa4320 2 года назад
Hakika wimbo unanibariki, nikiwakumbuka wapendwa wetu wengi waliotangulia.
@scolajaphary6259
@scolajaphary6259 3 года назад
Ubarikiwe
@marywilfred3441
@marywilfred3441 2 года назад
🙏🙏🙏
@josephdalu3065
@josephdalu3065 2 года назад
Ubarikiwe mtumish kwa nyimbo zr kiukweli nabarikiwa saana
@pastorwilson9219
@pastorwilson9219 6 лет назад
Calvary greetings, it is true that God will wipe out our tears from our eyes. Brother keep it up. God is for you and so am I.
@stellamotelwa2505
@stellamotelwa2505 2 года назад
There is no glorious night for God
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 3 года назад
Haleluyaaa
@ZuenaMkuye
@ZuenaMkuye 26 дней назад
Mungu awabariki sana wimbo ni mzuri sana nasikia raha sana kuusikiliza
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 месяца назад
Mungu AKUBARIKI SANA. WACHACHE SANA UKUMBUKA WANZAO WAKIFA
@shaluamagandi2184
@shaluamagandi2184 2 года назад
Very powerful and melodious voice . God bless you abundantly. AMEN
@polinemwacharo.5292
@polinemwacharo.5292 2 года назад
Naupenda
@dorothymutate9806
@dorothymutate9806 2 года назад
This song blesses me. May God be glorified for the life of Sedekiah n bless u you his servant Godwin for remembering him as a friend n hero to the kingdom of God
@justusmokaya2542
@justusmokaya2542 4 года назад
Good hymn
@leonisngassa9402
@leonisngassa9402 2 года назад
Amen ubarikiwe Sana this is deep love
@josephmasokola8343
@josephmasokola8343 2 года назад
Wimbo mzuri sana
@petermdabwa173
@petermdabwa173 6 лет назад
Emeen
@luciananassary9707
@luciananassary9707 5 лет назад
be blessed
@ilovejesus9500
@ilovejesus9500 6 лет назад
Thanks for remembering our dear fanuel indeed he's very much alive in our hearts God bless you all.
@estermsagath3346
@estermsagath3346 5 лет назад
amina sana barikiwa mtumishi
@pkmtetezi
@pkmtetezi Месяц назад
Kwani Fanuel Zedekia alikufa???
@endlessloveofchristlovewor9991
Hakika kwa mji wa Mbinguni hapana usiku
@endlessloveofchristlovewor9991
Kwa mwana wa Daudi hapana usiku Luka 18:38
@joskyshams4758
@joskyshams4758 Год назад
This is a family. This guys looks alike. I love when family sings together.
@philisnjoki1247
@philisnjoki1247 Год назад
Godwin be blessed am also blessed.philis from Nairobi
@lynusjacob8727
@lynusjacob8727 6 лет назад
hapana uck ameeeeeeen
@lydiajohn3268
@lydiajohn3268 6 лет назад
amen barikiwa sana jumamosi yangu ya Leo imekuwa ya amani sana.
@km1847
@km1847 4 года назад
GOD BLESS YOU FOR SUCH A POWERFUL SONG
@merymwamwezi9273
@merymwamwezi9273 3 года назад
Hapana usiku
@zakhiatamim8049
@zakhiatamim8049 2 года назад
Waoo mtumishi barikiwa sana , Wimbo mzur utkf kwa BWANA
@mamamzury1369
@mamamzury1369 2 года назад
Nimebarikiwa sana.
@kabangomatete6101
@kabangomatete6101 2 года назад
Mwaka 2022 bado tuna sikiliza… Amina 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 mungu apewe sifa na utukufu
@Palace_schools_tz
@Palace_schools_tz 4 месяца назад
Wimbo umenibariki sana... kweli Mungu amenifuta machozi na hasara...
@harrisononyango3850
@harrisononyango3850 4 года назад
beautiful song indeed
@GodwinOmbeniMinistries
@GodwinOmbeniMinistries 4 года назад
Thanks
@lauramasaki9169
@lauramasaki9169 3 года назад
The song is soo good I wish mngesimama
@faithwavinya8940
@faithwavinya8940 4 года назад
Pliz naomba mnsaidie he ule wimbo waimbwa weweni mungu wetu nimungu unaeweza unaweza unaweza unaweza bwana ninani ameumba
@GodwinOmbeniMinistries
@GodwinOmbeniMinistries 4 года назад
Ni mimi Album ya Umetukuka, itawekwa baadae kidogo
@sospeterdishon2771
@sospeterdishon2771 4 года назад
Barikiwa sana mtumishi wa baba
@euniceallyargethar2285
@euniceallyargethar2285 Год назад
Since I was young, I have grown up listening to your songs, godwin, I am very blessed
@duniayakijani7868
@duniayakijani7868 4 года назад
Ubarikiwe sana
@RoselizWaiganjoofficial
@RoselizWaiganjoofficial Год назад
Hapana usiku 🇰🇪 🇰🇪
@samsonerasto5625
@samsonerasto5625 4 года назад
Ubarikiwe
@GodwinOmbeniMinistries
@GodwinOmbeniMinistries 4 года назад
Thanks
@amonngarama4203
@amonngarama4203 3 года назад
Ameen
Далее