@@neemalambo9790 kiburi kitakuponza kaka ,Watanzania ni watu wa msimamo ,Wewe mpk bungeni unaongelewa kwa vibaya,Ukila na Kipofu usimshike mikono,Wewe uliona Wacha nile tena nimshike mikono ,Matokeo ndo Hayo ,Wakati wa Mun gu ndo wakati sahihi🙏
@@FelisterLigazio-mw3hhIngekuwa sio washamba asingekuwa anawapiga pesa!bora ushamba lakini wengi wenu mnaangamia kwa kukosa maarifa!!kwa mimi naona wamemuonea mbona watu kama yeye wapo wengi tu hapa
@@IbniAbbas-yz3ktUko sahihi,mbona Mwamposa aliua watu wengi kule Moshi lakini hadi hii leo hawajamfungia huduma yake.Huyu na mwamposa wana utofauti gani.Tena bora huyu hakuua.
Ushauri kwa nduguzetu wakristo someni vizuri bublia yesu alishamaliza kwa zile ole , hawa ndo manabii wa uwongo nabii gani mzinifu? Mbona yesu hakutoza fedha? Mbona yesu alipinduwa meza kufukuza biashara mahekaluni?
Tatizo una dharau na kejeli....mtu wa mungu hawezi kukosa busara kama wewe...mbona wenzako wanapiga hela na kukaa kimya, bora umeondoka mwenyewe tanzania wangekufanya kitu mbaya
@@joycejackson2320wajinga hawapo tz tu vipi wale kibwetele aliyewachoma moto kule kenya,vipi yule pasta aliyewaambia wafunge na akaua wengi,wakristo amkeni hakuna dini hapo na watu wameshajua nenda kwaislamu ufanye huo ujinga utapigwa usahau uliko toka dadeq.
Ime andikwa huta kufa bali utaishi kuyasimulia matendo makuu ya Mungu. Wewe ni nabii wa kweli kabisa wa Mungu wasio kujua tu ndio wana kudharau na kuku tamkia mabaya.
Kuna watu wanashindwa kujiengeza sababu huyu jamaa ukimuangalia tu unajua hamna kitu ni porojo tu ( ndugu zangu wakristo amkeni ) Mbona mnaupiga mwingi
UTOTO MWINGI SANA NDANI YAKO, ULIWAUMIZA WATU, KUTAPELI, ULIJITABIRIA KUWA KANISA KATOLIKI LITADUMU NA VIKANISA VIDOGO VITAKUFA,HAKIKA KIKANISA CHAKO KIMEKUFA...
Mi nadhani Ile video uliyoomba msamaha Kwa WA Tanzania Ingekuwa NI ya mwisho ungekuwa mshindi sanaaaa!!!???💪💪. "Imeandikwa NI Bora kunyamaza kuliko kuongea"mana ukizidisha maongezi mengi yatoka Kwa Yule mwovu." Ushauri:Fanya huduma uko ulipo ukiwa kimya na hekima uwezi jua pengine NI mungu ametaka uwe huko".
Umeumia bwana😅ungekuwa hujaumia ungenyamaza,kama ni kuhubiri injili si ukahubiri kwingine,why Tanzania tu? pole sana kaka tutaendelea kuandika comment labda unyamaze😊
Wewe ni mpuuzi biblia unasema Yeremia 23:15.,16. 15. Basi BWANA wa majeshi asema hivi, katika habari ya manabii, Tazama, nitawalisha pakanga, nitawanywesha maji ya uchungu; kwa kuwa kutoka kwa manabii hao wa Yerusalemu kukufuru kumeingia katika nchi yote. 16. BWANA wa majeshi asema hivi, Msisikilize maneno ya manabii wakiwatabiria; huwafundisha ubatili; hunena maono ya mioyo yao wenyewe; hayakutoka katika kinywa cha BWANA.
Lakini Bw.Kiboko ya wachawi, mimi nakushukuru kwa kuwa umenidhihirishia nchi hii ya Tanzania ina pesa. Na wanaosema pesa nchii hii ni shida, yawezekana akili zao ni shida.
Ww nawe usiwe mjinga.Nchi hii imekudhihirisha kuwa kumejaa watu wengi wajinga na wenye ukosefu wa elimu bora.Hii ina maana Taifa limejaa wajinga wengi na hii ni kutokana na ukosefu wa elimu bora.Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
rafiki jipe moyo lakini ombea sana hili taifa iko roho ya kuzimu ambayo wewe ulikuwa kikwazo hatari sana pale jinsi MUNGU alivyo kupa karama ya kujua mtu alie kufa siku nyingi na kupotea kisha kwa uwezo alio kupa. MUNGU unajua alipo na ninani kahusika na mpango huo hata kwa majina yao mpaka siku ya tukio. kwa hilo nataka ufahamu nabii ulikuwa una halibu kazi za watu . ( nuru na giza ) havikai pamoja kulikuwa na kazi maarumu ya utekaji wewe una tabili wanao teka watu ikitokea kwa watu wa giza kuwaweka nuruni huoni kuwa unaroga kazi zao kaka ombea ombea taifa hili karibu safari yetu inaisha .