This song makes me Emotional.. I remember back then in those days when I used to play church in Form 3 but even in those days I still felt God whenever this song was played. Now I no longer play-Church I am serious with the things of God.. and I’m here to marvel and Adore him [Jesus]👏
Nataka nikwabudu BWANA kwa viwango vingene kwa maana wastahili KUABUDIWA kwani hata pumzi yangu ni wewe tu bwana mpaka leo naiona siku nyingine na bado napumua,hakika nitakuabudu peke yako JEHOVAH MILELE siku za maisha yangu AMINA , Mbalikiwe wapendwa katika bwana
Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwema sana nafarijika sana moyoni mwangu nikiwa nafuatilia nyimbo hizi haswa nikiziimba na kumaanisha....Mungu azidi kutenda tumsifu na kuabudu kwa roho na kweli mioyoni mwetu
kila cku MUNGU ni mpya, ukienda mbele zake kumwabudu unatakiwa kumwabudu kwa viwango vingine tofauti na Jana na juzi, ee MUNGU 2jarie viwango vya kukuabudu ktk uarisia wako, na ktk viwango vya utukufu wako, ubarkiwe mtumishi Wa MUNGU
AMEN! papaa e, i remember them dayz! Cha ajabu ni LEO nimepita huku, nmeusikiliza it is as though ndo nausikia kwa mara ya kwanzaa kabisa, what a moment, days have gone by bt today i jus felt like it waz yesterday..guyz MUNGU AIENDELEZE HII KAZI NJEMA NDANI YETU.
Today 10.5.2023 nimepokea Breakthrough na Mungu amebadilishi maisha yangu , Nimeingia kwenye viwango vingine vya Utukufu hadi Utukufu....Namsifu Bwana kupitia wimbo huuuu....hakika Mungu yupoooo.. Kama unapitia changamoto yoyote ile mimi leo nakushuhudia Kwa Ujasiri kuwa Usiogopeeee Mungu yupo na Anasikia maombi na anajubu kwa motooooo....Futa machozi Msifu Bwana hata katika nyakati Ngumu unazopitia Yupo na weweeeee...Isaya 45, Isaya 54, zaburu 25,Zaburi 118
Kwa viwango vingine my God. You know my desires, you know my daily wish. I am hungry, I am thirsty, I am desperate for you. All I need is to serve you for the rest of my life. Give me chances and time to serve you again...please God..
2020 kwa viwango vingine , nataka nikujue wewe MUNGU wangu , nisikuabudu kwa mazoea, hatua zangu ziongozwe na wewe pekee yako. Nisaidie ee roho mtakatifu..🙏🙏🙏
Wow...i just love so much this song...kwa viwango vngne nataka nikwabudu ww peke yako bwana...ninataman nikupe sifa za moyo wangu bwana.....nollo daniel
Mzumbe Praise and Worship Team oooh how I miss my team jaman t was wonderful serving God with you people Mungu awabariki kokote mliko na awainue viwango zaid ktk kumtumikia
Indeed am taking my worship of God Almighty to another level, i testify that he alone is wothy of worship, praise & honour. May God continue revealing himsel to you servants of the Most high God