Baba, Mungu akubariki kwa kuielezea hii mada kinagaubaga. Mimi huwa nakerwa sana na watu wanaoandika neno USHOGA kama vile wanaongelea UYOGA tunaokula. Kulifanyia mzaha swala hili ni utovu wa nidhamu. Mungu tunusuru waja wako.
Nakuheshimu. Nakupenda. Nakubaliana nawe juu ya kupinga ushoga. Ila Biblia Takatifu ni halisi. Neno la Mungu na mwongozo wa Mungu muumba kwa viumbe wake. Hivyo, masuala ya dini yanaweza kuhusiana na vikundi vya watu fulani na vikundi vingine kutoka kwenye jamii hiyo vikajihusisha na ushoga. Si kila mtu anayetoka mataifa yanayosambaza ushoga anakubaliana na ushoga. Hivyo kama tunapigana na ushoga tusibaguane kwa rangi, utamaduni wala kitu cho chote. Shoga au shabiki wa ushoga haonekani kwa macho ya nyama. Wengine ni waheshimiwa!!!
🤔Uko sawa, umefahamika na umetoa pointi nzuri sana. Tupo katika wakati mgumu sana kwasababu ya Technology utauliza kivipi? Dunia ni ndogo hivi sasa jambo likitokea popote duniani tayari linaonekana duniani kote kwasababu ya simu, computa na viyoyozi vingine. Afrika nzima Tanzania tukiwemo tunapinga ushoga, usenge, ndoa za jinsia moja au uhusiano wowote usiokuwa ni wa maumbile sawa. Tatizo lipo kwenye utandawazi kwasababu Ulaya na Marekani ushoga au ndoa za jinsia moja ni halali. Kama zinafanyika kila siku watu wetu wakiwemo watoto wetu wenye simu za kileo wataona na ndio maana nilisema hapo mwanzo tupo katika wakati mgumu sana🤔.
Kiongozi umeongea kitu muhimu Sanaa kuhusu ushoga unafumbuwa macho na viongozi kwani kuna pesa zinaletwa sasa wao wanaona poa tu Africa tusipo amka kitakuwa kama hao wazungu wanatamaduni zao tofauti kabisa na sisi lazima tujue kwanini wao wanajiingiza huko.
MKUU UPO VIZULI VIZULI SANA TUMEONA MARAIS KENYA UGANDA WAMEPIGA MALUFUKU KATUKATU LAKINI TANZANIA RAIS WETU KASEMA WAFANYIANE WAKUBWA SIO WATOTO KWAKAULI HII KAKATAA AU KAKUBALI WATANZANIA RAIS WETU KWA OTUBA ALIYOITOA INAONYESHA ZAILI KAKUBALIANA NA USHOGA MSITUALIBIE WATOTO WETU MEANYANE WENYEWE WAAKUBWA
Juzi nimesikia kunashule mwalimu kamlawiti. Wanafunzi wake. Mtu kama huyo. Adhabu yake. Atangazwe hadhalani. Na baada ya hapo asiajiliwe popote. Washezi Hawa.
Ndo aliyo maliza kuyasema muheshimiwa watu wanao Pambana na ushoga na wao wanaitwa mashoga! Jambo hili ame Pambana nalo Sana mpaka wengine wamemkataa, wamembeza na kumchafua mitandaoni ila tuwe wapole mwezi wa kumi Kuna sinodi na hii ni moja wapo ya Mada kubwa kitaelewaka. Kama Wwe ni msomaji wa vitabu soma kitabu chake kinaitwa cristus viviti. Barua ya papa Francis kwa vijana.
Jaman mm nauliza ivi chadema wanakubaliana na ushoga kwel kwa kudai haki za binadam kwa nn watu wachama tawala kila upande wa pili watakapo dai haki za binadam wanadai wao ni mashoga na je? Vipi Tanzania yetu nilini imejitenga na nchi za magharibi ambazo ufarance ujerumani uingeleza marekani nazinginezo swali lingine je?Tanzania haitambui haki za binadam Mimi kila mala nikijalibu kufuatili mijadala kunakundi la watu linaibuka na kudai mashoga hao ivi kwel tumefika huko lengo lao kuu nikutetea utawala mm nauliza ninani asiye jua tunamifumo mibovu ya kikatiba tunaitetea kwa masilahi ya Nani je matatizo ya maji umeme barabara na mengineyo mwataka watu wasijadi wajadili nn umaskini upo tangu uhuru wasiongee na hili huwez liona mpaka utoke uone wenzio wanaishije
Wewe ngurumo Tanzania hatuwezi kukemea ushoga hata siku moja kumbuka mwana siasa akionekana kungaa katika siasa watu wachumia tumbo wanalitumia neno ushoga kumuharibia.
@@terevaelislla1713 afadhali hata Makonda aliyejaribu. Siasa zina mambo....utaitwa kila majina mara kibaraka wa mabeberu, dictator n.k. Ilimradi mtu akuchafulie wewe yeye aonekane AFADHALI ZAIDI
Nayasema kila siku. Hata sasa hivi nimemaliza ubishi na baadhi. Sweden is a democracy. Hawagombani na mtu wala hawafukuzi mtu kwa kuwa na maoni tofauti. Bali wananishangaa tu, nami nawashangaa!
Mjinga anasema eti ngurimo akayasemee kanada wamtimue siajabu uyo nae anae mkashifu ngurumo kwa ajiri ya mada kama sio shoga basi kuna ndugu yake ni shoga na anamtegemea yete ndio maana anamkashifu ngrumo kwa mada yake yaushiga
Dada kama ukiipata clip hata ya dakika 1 ambayo Lissu anasema anaunga mkono ushoga, ukiipata nitafute nikutumie 10000 ya vocha, na pia unitafutie clip hata moja ambayo Rais Magufuri au Samia ambae alikemea kabisa ushoga katika Nchi yetu, na ukiipata kuna 10000 nyingine tena. Asante.
ULIOWATAJA ASILIMIA KUBWA WANAUNGA MKONO HILO HIVI WATAKUSIKILIZA? LGBTQ UNAWAJUA WATAKUUA TU! WAAMBIE WAZAZI WAOMBE MUNGU. SIO SERIKALI, SIO VIONGOZI WAKE NA SIO WATU WA KIMATAIFA... ANZISHA MOVEMENT KAMA YA PUTIN ALIVOFANYA. JAMII INAOGOPA SABABU YA NGUVU YA HAO LGBTQ COMMUNITY