Тёмный

KWANINI UMPIGE MKEWAKO 

Izudin Alwy Ahmed
Подписаться 177 тыс.
Просмотров 11 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@hajjybufis1005
@hajjybufis1005 3 года назад
Mashallah Ustadh napenda mawaidha zako
@ashnuhu1420
@ashnuhu1420 3 года назад
Yani shehe mungu akupe maisha marefu wallah.yani kuna watu wanakufa kwq vipigo ukimwambia toka iyo sio ndo utasikia jamii itanichukuliaje mtiani wallahi .natamani ao wanaume wangesoma ndoa kbda ya kuowa naisi vipigo visingekuwepo kwenye ndoa .na ndoa zingekuwa zina amani kila siku
@mcdee007justitbro6
@mcdee007justitbro6 3 года назад
I love you Sheikh Izzudin becouse of ALLAH(SWA)
@mariamabdulazizi7987
@mariamabdulazizi7987 3 года назад
Subhana Allah, natamani wanaume wange jibu hilo swali, Allah atuongoze, Amin.
@afric01
@afric01 3 года назад
Aslm alkm wtw....Ma sha Allah!!!! Lau wanaume wote wangekua kama wewe Sheikh wetu, tungekua na pepo hapa hapa kabla kwenda kupata firdaus. Wanawake wengi tumejionea. Tunaambiwa stahmili pepo iko kwa mmeo. Mume nae akikosea mkewe hataki mke amuulize, anasema mimi ni mumeo usiniulize kitu. Swadakta Sheikh wetu, ikiwa utamridhisha mkeo kimapenzi na kumjali, hawezi aslan abadan kukufanyia maovu. Akiomba chochote kwingine, ni kwamba umemnyima mkeo.wanaume hawaeleweki Sheikh wetu. Wamezidi. Ndoa za sikuhizi zimekosa mawadata wa rahman. Allah akulipe pepo firdaus Sheikh wetu.
@ummusalim1991
@ummusalim1991 Год назад
Wlkm slm wrhmtlh wbrkth.... Kweli maneno yko.... Mungu azinusuru ndoa zetu
@hussnasaad7503
@hussnasaad7503 3 года назад
Masha Allah Allah akuhifadhi shekh wetu
@ukhtymamu1564
@ukhtymamu1564 3 года назад
Lau wanaume wangekuelewa basi kila ndoa ingekuwa na furaha daima
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 3 года назад
MASHA ALLAH ALEIK
@ukhtymamu1564
@ukhtymamu1564 3 года назад
Allah akujaze khery shekh wetu
@masoudali7137
@masoudali7137 3 года назад
Masha-allha
@mizamiza6223
@mizamiza6223 3 года назад
Asalam alaykum sheikh mm nauliza kuna mwenzangu alimpa mumue mahari akamuoa sasa wanataka kuachana mume anadai apewe mahari ndio atoe talaka jee inafaa uyo mwanamke kutoa iyo mahari
@Showdeemo36
@Showdeemo36 3 года назад
Mashallah 🙏
@dadijamoahmed5287
@dadijamoahmed5287 3 года назад
Mashaallah
@ibrahimabanur6794
@ibrahimabanur6794 3 года назад
Aaww mbona hua unakataa watu kupeana mahari kwa qitma ya quraani iweje leo waruhusu
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 3 года назад
Sijakataa nasema iwe nikweli wanaithamini quraan sio kuonesha watu tuu
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 3 года назад
MASHA ALLAH ALEIK
Далее
KITABU HATARI KWA WAISLAMU NI HIKI
27:42
Просмотров 2,3 тыс.
SWALA YA MAITI
42:07
Просмотров 760
无意间发现了老公的小金库 #一键入戏
00:20
HUYU NDIE MOLA WETU
12:30
Просмотров 798
217  Riyaadh-us-Saalihin  26/10/2024
1:31:28
Просмотров 1,1 тыс.
KUOMBA MSAMAHA
20:18
Просмотров 1,2 тыс.