Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Hongereni viongozi wote na Boss Mohammed ...Ila muwape viapo wachezaji wasituletee malinji linji ,hatutaki kuumizwa tena kama mapenzi bhanaaa 😅😅😅😅😅 . Mufike salama
Lamek law Ni mchezaji wetu Halali Wa coastal union Na tuko njiani tunakija nae Dar kwajili ya michuano ya kagame twasemaje Hyo imeisha nyie endeleeni kuwadanganya wandishi Wa habar😂
Kw hvyo walio sajiliwa sio chaguo la mwalim bali ni nyiny mlimchagulia mwalim.... Hyo ni tabir mbaya mwalim ndio anafaa apendekeze kisha management itoe donge asijiliwe .. Baadhi ya klabu umchagulia wachezaji wakt wa kusajili ama mwalim asajili wachezaji kisha klabu iseme huyu anafaa kucheza huyu hafai. Yote kw yote watani wetu tunawaombea kila la kheir.... Hakuna hutani mzuri kama wa Comedian wa Caf Ahmad Ally na msemaji wa Caf Ally shaaban kamwe...
@@muniramtoy8280 Umeangalia kikosi cha Yanga ukaona kuna Joice.Mwambieni ajiangalie watu watanyandua,watu hawawezi kukaa na ukwio muda mrefu kambini wakati kuna binti Debora🤣🤣🤣🤣🤣