Sema ukitaka umfaidi huyu jamaa we chambua mchele pumba achana nazo sometimes anatema point nzuri sana mfano anavyochambua matatizo ya magement kwenye timu za Kariakoo 😂
Waambie Ambokile Simba hawajielewi ushamba umewajaa kila siku kumsema Eng Heris atabaki kuwa mwenyekiti wa Vilabu na Simba ikiwemo watazidi kubishia kwa kukosa akili
Sema huyu jamaa muongo kichizi 😂😂😂 ila sometimes hua anaongea point.....mimi kama shabiki wa Yanga nawashauri wana simba mpuuzeni tu anafata upepo huyu jamaa juzi kati alikua anasema Yanga imeshasha flop Simba itabeba ndoo leo tena kageuka 😂😂
Huyo hajaanza leo kuiongelea simba vibaya..yy na mkaraboko wanatabia hiyo sna tu..nimewafatilia sana hawa..wanSimba hawa watu ni wa kupuuzwa tu wanatafuta followers. .maana anaongea vitu vingine vya ajabu ajabu ..ni kawaida yake..akiwa redioni pale redioni ikiwa ishi ya simba tu laxima aishadadie...mnafiki w taifa..anakerekwa na simba na majungu kibao...toa ushahidi wa ten percent..nawe unatoa tuhuma za simba..toa ushahidi wa ten percent...waxee wakiongea mnasema wanakurupuka...huyu hajaanza leo kuiongrla simba vibaya anajitahidi sana kuleta mvurugano mfutalieni hata akiwa ktk kipindi cha efm yy na mkaraboko...wanaongea vitu kama mashabiki..ss vitu vya ndani ya simba ambavyo inabidi mashabiki...ten percent unsyosema uoye ushahidi ww si unajiamini. Viongozi msiache mtu kama huyu anaharibu kila siku image ya simba..inabidi mmwite atoe tuhuma anaxozisema kuhusu simba
UTOPOLO wanachoangalia wao ni mtu awasifie,hawajali hata km anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa,ukitaka kujua huyu Ambokile ni Utopolo nitafutie clip anayowasifia Simba Yani kwa Simba kwake kila kitu kibaya km Mchome eti naye anajiita mchambuzi nyie pigeni kelele lkn mjue Simba ndiyo baba zenu na ndiyo mana wanashika nafasi ya sita kwa ubora Afrika WEHU NYINYI😂😂😂😂😂😂
Tushamzoea huyu...ni kawaida yake....ss tunahifadhi maneno yake. Ni kawaida yake ..mfatilieni ndo mtagundua..haya yote anaongea baada ya simba kutoka sare..ligi si bado inaendelea..ss tutawajibu uwanjani na si kwenye mitandao kama anavyofanya..aendelezemipasjo yake kma kawaida. Maana yy na mkaraboko nod tabia zao..ss tupo na tunatunza risiti
Unajitahidi kutafuta followers kw nguvu sio hajaja. Ongea yote maliza yote simba nguvu moja simba inakuuma eeh inakuumaa eehj...umenyimwa ten percent sio eehh