Тёмный
No video :(

#live 

BENTV MEDIA
Подписаться 47 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 66   
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 Месяц назад
Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom
@ismailhamis2331
@ismailhamis2331 Месяц назад
Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi
@user-vb6zv8ov8v
@user-vb6zv8ov8v Месяц назад
Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 Месяц назад
Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 Месяц назад
Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia
@EnockKombolela
@EnockKombolela Месяц назад
Mwl zuber big up sana
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Месяц назад
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
@JassonKagaruki
@JassonKagaruki Месяц назад
Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha
@omarMchoya
@omarMchoya Месяц назад
Huyo jmaa yupo very Very point san
@Rarmba
@Rarmba Месяц назад
Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats
@RichardAmos-eo9dh
@RichardAmos-eo9dh Месяц назад
Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.
@bentvmedia
@bentvmedia Месяц назад
Karibu bentv
@kayagahamisi572
@kayagahamisi572 Месяц назад
Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani
@EmmanuelBukindu
@EmmanuelBukindu Месяц назад
Jamaa Yuko vzr
@NTUSOTV-xx8qe
@NTUSOTV-xx8qe Месяц назад
Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini Месяц назад
Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉
@anafiselemani3957
@anafiselemani3957 Месяц назад
Big up sana bro zuberi
@mohamedikassimu7016
@mohamedikassimu7016 Месяц назад
Fact broo umenena
@mikidadijumanne7441
@mikidadijumanne7441 Месяц назад
Uko sahihi
@veelmng7746
@veelmng7746 Месяц назад
Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 Месяц назад
Uyu jamaa Yuko vzr sana
@allysinde6208
@allysinde6208 Месяц назад
Huyu jamaa nimemkubali sanaaa... Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....
@ezramichael7038
@ezramichael7038 Месяц назад
Mpira anaujua vizuri
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn Месяц назад
sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu
@fabiandanford3572
@fabiandanford3572 Месяц назад
Big upp umeongea kisoccer zaidi
@suleimanmwenyemvua995
@suleimanmwenyemvua995 Месяц назад
Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 Месяц назад
Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 Месяц назад
Uchambuzi mzuri
@EnockKombolela
@EnockKombolela Месяц назад
Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 Месяц назад
Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l Месяц назад
Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n Месяц назад
Kaka shikamoo
@salumallymngumba
@salumallymngumba Месяц назад
Umeongea point tupu.
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 Месяц назад
Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr Месяц назад
Huyu jamaa anajua sana
@franccoz94
@franccoz94 Месяц назад
Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s Месяц назад
Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw Месяц назад
nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo
@reonardchatanda6371
@reonardchatanda6371 Месяц назад
Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 Месяц назад
Ukopoa bro
@user-yu1zo9pf4o
@user-yu1zo9pf4o Месяц назад
Huyu km kaka wa "K" mziwanda
@salagolusangija8727
@salagolusangija8727 Месяц назад
Bonge la mchanbuzi
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 Месяц назад
Hupepes macho
@anicethy6978
@anicethy6978 Месяц назад
Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!
@saidmwinyi4437
@saidmwinyi4437 Месяц назад
Eeeh mkaraboko umeuwa
@kichefuchefu2382
@kichefuchefu2382 Месяц назад
Unajua kaka
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw Месяц назад
umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc Месяц назад
Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk
@andrydengaah7389
@andrydengaah7389 Месяц назад
😅😅😅
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc Месяц назад
Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba
@salummbuleti6047
@salummbuleti6047 Месяц назад
Huyo mchambuzi wako ni chizi
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc Месяц назад
Uyo nichura kama chula wengine
@suleymanyasinmkufu1570
@suleymanyasinmkufu1570 Месяц назад
Amejaa wivu ,uto.
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u Месяц назад
Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 Месяц назад
Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo
@erasmuskwayu5643
@erasmuskwayu5643 Месяц назад
Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui
@user-rp8ke2nb5i
@user-rp8ke2nb5i Месяц назад
Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 Месяц назад
Huna jipya wewe ebu tupishe
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
Tupisheee wewe
@athumanmapunda
@athumanmapunda Месяц назад
Kweli
@user-cm7yl9ej7i
@user-cm7yl9ej7i Месяц назад
Kuma ya mama zenu
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Месяц назад
Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢
Далее