Kumekuweko na mjadala mkubwa siku za hivi karibuni. Kuna makundi mawili, moja linasema Biblia inaruhusu, huku kundi jingine lisema siyo halali. Karibu kwa mdahalo huo
Jaman hapa mripofikia ni kwenye kupotosha mdaharo huu hautofautian na wanao halalisha ushoga jaman tumetuma kuhubli injili iletayo uzima wa milele Kwa kilaaaminiye siyo hii midahalo
Ndugu zangu, hapa hamtaelewana kwa sababu kuna roho mbili zinazopingana. Mtu bila kuokoka huwezi kulielewa Neno, huyo wa wake wengi hajaokoka, hajamjua Kristo. Angekuwa ameokoka, angeshuhudiwa na Roho wa Kristo mwenyewe.