Mimi kusema ukweli ni simba damu lkn kwa upande wa mamuzi ya marefa ni kawaida ata ulaya tunaona kuna siku unafaidika wewe kuna siku anafaidika mwingine japo kuna VAR mimi kinachoniuma katika mpira wetu wa tanzania ni TFF kuacha GSM kuzamini timu 8 katika ligi kuu huu ni utoto sana lazima upangaji wa matokeo utakuwepo tu kwanini TFF mnakubali hichi kitu
Kwa hiyo wewe unawafundisha hawa wazee kwamba wanachoongea hawakijui au siyo... Sasa nyinyi endeleeni na kucheza na hisia za watu... Mtaona mwisho wake
Mlipowafunga Azam hamjaja na kuitisha Press na Azam walinyamaza maana ndio mpira lakini lakini mmefungwa mnaanza kuchongoa midomo,...MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU UNAUMA....😂😂😂
Hawa Wanaojiita Wazee, Serikali itashangaza sana sana kama hawa wasipo chukuliwa na kuhojiwa na ikiwezekana hatua kali zichukuliwe na maneno wanayotoa ni ya kichochozi na uvunjifu wa Amani, Mpira ni Furaha,Upendo...Yanga na Simba ni watani wa Jadi msitake kutuletea Uvunjifu wa Amani....
Wazee wameongea kwel hawa sio wajinga kaka yanga mmezoea kubebwa tuu hakuna timu ndimana ata ranking ya caf simba anaongoza haiwezekani mtu adhamini timu nane hakuna hyo kitu
Nyoko zako unaongea nn ww matako iv unajua maaana ya kudhulumiwa huku unaona matokeo mmpewa bure inaumaaa wanasimba tuungane kweli tuwanyooshe wanahujum mpira wa tannzania
@YugoAlly Kaka yangu tuacheni USHABIKI MAANNDAZI NA USIINGIE KWENYE USHABIKI HUO, mkiwa mnashinda huwezi kusikia swala la GSM kudhamini timu laikini ukifungwa tu ndipo swala la udhamini linapoanza huo ni Utoto kaka...