Hayo maneno yalosomwa ni mazito alafu nashangaa waislaumu wala hayatugusi zaidi tunaishia kuzomea yaani ningekua nauwezo ningeifuta hii ila ndo hivo wallahi nimekerwa sana nahili ila allah namuomba awasemehe inshaallah
Asalaam alaykim msomaji namkubali lakini kumbe wssikilizaji hatupo mana ukiwaskiliza ni kama inasomwa atwir utulivu haupo kamahuyo mwenye kiremba cha kijani meno inje muda wote
Kuna madhambi mengi hutokea kwa kufanya Istihizai pind Qur'an ikisomwa. Hakukua na maana ya kua na vicheko vya kishaitwani na maik kutumika mbili. Kama unahtaj kusoma ungelisubr amalize kusoma naww usome. Kisomo kimependeza ila wasikilizaji wamekijaza makosa chungu mzima.
وَإِذَا قُرِئَ ٱلْقُرْءَانُ فَٱسْتَمِعُوا۟ لَهُۥ وَأَنصِتُوا۟ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ Na pindi isomwapo Qur'ani basi isikilizeni na mnyamaze kimya ili mpate kurehemewa.
Warangi bhana huwa mnafanya quran kama maneno yakawaida tu inaposomwa huwa mnapiga makelele tu kama machizi heshima na maneno ya Allah wala khofu hamna
Allah anasema inaposomwa qur,ani iskizeni na nyamazeni ili mrehemiwe sasa hapo kuna kurehemiwa ??? Anko iddi Allah amekujaalia isome kabisa Quran hiyo inshaallah atakulipa Allah
Makosa yanajitokeza wakati qur ani inasomwa kucheka kuogea haikatiwi sauti yeyeto mpk mwisho wa quruan watu wanacheka ni sawa na kuzomea maneno ya allah kaani kimya mpk.akimaliza halfu tumone maneno ya kumpogrza msomaji