Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri MAAJABU YA MAPACHA HAWA MAMA YAO MZAZI HAWAJUI/WAKIUMWA WANAUMWA WOTE/WANAWAZA PAMOJA #Bonatv #Exclusive #Mapacha
MASHAALLAH. mm dada yangu anao mapacha wakike pia.yani kila siku akinitumia picha lazima niulize uyu nani kulwa au doto.paka leo siwajui kama wachina yani.mashaAllah
shida ya pacha mukishikana sana kwakila kitu ila maisha tofauti kuna mmoja atafariki mapema kama mm niko na pacha wangu ila kashaniacha ashatangulia mbele ya mungu
Jmn wanafanana kama sisi tunavyofanana lkn kuna tofauti kidog kweny saut lkn pia kulwa n mwembamba kidog Dotto mnene kidog. Yaan story yao haina tofauti na yao kama vle mama, marafk, majran na ndg wengne kutuchanganya n kawaida sana. Na cc wakat mwingne huwa anauliza ww n kulwa ama Dotto?, Kuhusu kuumwa na yenyew n hivyo. Kiufupi the way walivyoelezea halika n kwel. Nmependa mnavyoishi Mungu awape maisha marefu. Nmefeel vzr sana kuwasikiliza natamani niwaone jmn live ❤❤🎉🎉🎉
Nguvu kuu asili iwalinde na kuwatunza na kuwabariki mapacha, wakubwa zangu, Mimi ni nazo ya kufuata mapacha japo walirudi Asilini Hongereni sana 😘😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹
Kabla hujawauliza nan mkubwa nan mdogo tayar kwakuwatazama tu nikajua nan mkubwa nan mdogo usually nina mapacha Alhamdulillah pia mama zangu wadogo mapacha my family kuna mapacha fully na ninaomba mungu anipe tena mapacha inshaallah.
Lkn pia mama zangu mapacha hao waliposwa pamoja, waliolewa siku 1 na waume zao nimarafik mno wanaopendana kias kwamba mungu akawapa wake mapacha maashallah
Ata Mimi mke wangu ni mapacha wanafanana Sana alafu mke wangu nlishawahi kumuita shemeji alafu nao walibeba Mumbai pamoja na wakazaa watoto wanafanana Sana mpaka nlpata tuhuma kwa baadhi ya watu kuwa huenda nilideti nao wote
Mimi na kulwa wangu tulitoa kali std 1 hadi form iv darasa moja na benchi moja enzi hizo hkn viti, tulikuwa tunakalia madawati, Ila mapacha watu huwa wanawapenda mnnooo lkn walishindwa kututenganisha Pia pacha huwa na hila mbaya hujiona wao ndio ndugu sana kuliko ndg wengine japokuwa wote wamezaliwa na baba na mama mmoja
Mapacha ni raha saaana, tulipokuwa watoto tulisumbua sana watu, yaani hadi leo mtaani watu wanachemka wakimuona saida humuita saida yaani wanahisi wamemuona sauda, watu huja kunilaumu eti nilimchunia