Тёмный

MAAJABU YA MAPACHA HAWA MAMA YAO MZAZI HAWAJUI/WAKIUMWA WANAUMWA WOTE/WANAWAZA PAMOJA 

Bona Tv
Подписаться 394 тыс.
Просмотров 779 тыс.
50% 1

Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MAAJABU YA MAPACHA HAWA MAMA YAO MZAZI HAWAJUI/WAKIUMWA WANAUMWA WOTE/WANAWAZA PAMOJA
#Bonatv #Exclusive #Mapacha

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 830   
@neemacharles9848
@neemacharles9848 3 года назад
Mashaallah wanavyofanana mungu nijaliena nami nipate mapacha hongereni warembo😍😍😍😍
@EmiliaKasalila
@EmiliaKasalila 4 месяца назад
Ee mungu na Mimi unipe mapacha wanao fanana katika uzao wangu Amina
@bahatiagape7121
@bahatiagape7121 2 года назад
Hata mi ni pacha..Amabao wako pacha like zangu naomben 🙏💕👭
@nkalugiradio8140
@nkalugiradio8140 7 месяцев назад
Hongera na Mimi nawezangu tupo watatu❤
@TheoHaule-vu5ub
@TheoHaule-vu5ub 7 месяцев назад
Tupo my dear team twins community
@joyceraphael6631
@joyceraphael6631 3 года назад
kunawengine awo wanafanana Kama aho wanaishi tabata changombe mwenyezi mungu nijarihee namimi nipate mapacha wangu wa2kama aho Amina❣️❣️🙏
@fettyharoun1333
@fettyharoun1333 3 года назад
Mashallah ya rabby naomba nijalie watoto mapacha 🤲
@asmahansaid2089
@asmahansaid2089 3 года назад
Amin
@maryamkipenzi9953
@maryamkipenzi9953 3 года назад
Ameen
@liliandominaic5629
@liliandominaic5629 3 года назад
Utapt mamy mmi ninao
@rahmabebz6118
@rahmabebz6118 3 года назад
Aamin namie pia mpenzi
@fettyharoun1333
@fettyharoun1333 3 года назад
@@liliandominaic5629 mashallah my love congratulations my dear me inshallah Allah ani bless
@aminahema9714
@aminahema9714 3 года назад
Mi napenda story hiz z mapacha😍😍😍Mungu nijaalie n mm nizae vijipacha vyngu in Sha Allah
@hajrahassan1250
@hajrahassan1250 3 года назад
Inshaallah
@merryabiaza711
@merryabiaza711 3 года назад
Amen
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 года назад
In shaa Allah
@judithkatoto3316
@judithkatoto3316 3 года назад
Waooo.namm.pia tuko mapacha
@maryamkipenzi9953
@maryamkipenzi9953 3 года назад
Pia mm naomba mungu anijalie
@heriethkusigwa8469
@heriethkusigwa8469 3 года назад
MUNGU Fundi Mno 🙏🙏🙏GOD is so Adorable 🙏🙏
@hawasadik1760
@hawasadik1760 3 года назад
Ooo jaman mwenyez mungu nijalie kizaz chamapacha na mm
@aminakshamoona6900
@aminakshamoona6900 3 года назад
Kua na watoto mapacha ni raha sana mashaAllah yarrabi nijaalie na mm
@zulfahaji4666
@zulfahaji4666 3 года назад
Wamepishana. Sauti
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 7 месяцев назад
In Shaa Allah amiin thumma amiin Yarabbil Aa'lamin YaRahman Rahim
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 года назад
MASHAALLAH. mm dada yangu anao mapacha wakike pia.yani kila siku akinitumia picha lazima niulize uyu nani kulwa au doto.paka leo siwajui kama wachina yani.mashaAllah
@dorinhasantebabaunazidikun1694
@dorinhasantebabaunazidikun1694 3 года назад
Mnapedeza. Sana Ila tu huyo pacha mwingine aolewe tu jamani wawe wanatembeleana tu,
@sifajacky7779
@sifajacky7779 3 года назад
Manshaallah tabarak Allah ♥❤. Mwenyezi Mungu mtukufu Subhanah wataala awakinge na shari na husda za mahasidi Inshaalllah 🤲🏻
@karie9030
@karie9030 2 года назад
Warembo, voices of worship and preaching...
@asmarashidi9295
@asmarashidi9295 7 месяцев назад
+
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 года назад
Masha allah Allah nijalie na mimi nikiolewa nipate mapacha Ameen
@selinaingado2669
@selinaingado2669 3 года назад
😂😂😂
@zahrahemed9171
@zahrahemed9171 3 года назад
Nitafutie 0777 814883
@shukuranikibona5893
@shukuranikibona5893 3 года назад
0716841642...Piga nikupe nina asili ya mapacha but,Nina MKE amepacha na mpenzi wa nje anao...Karibu na wewe nikupe!!!
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 года назад
@@shukuranikibona5893 😂😂😂😂😂 kweli au
@shukuranikibona5893
@shukuranikibona5893 3 года назад
@@manasadunia3458 Ukweli kabisa... reality mom..!
@florahmathew3510
@florahmathew3510 3 года назад
Kulwa ana sauti nzito na inakwaruza kuliko doto..So nice indeed
@husseinmgalula5864
@husseinmgalula5864 3 года назад
Sauti ya pombe😂😂😂
@hawababuu4350
@hawababuu4350 3 года назад
MashaAllah Tabarakallah.. Ila sauti zao hazifanani huezi kukosa kuwajua
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 3 года назад
Ndio
@juliethcharles1061
@juliethcharles1061 2 года назад
Sauti zao hazifanani
@zawadiramadan6336
@zawadiramadan6336 3 года назад
Mashaa Allah Mashaa Allah Mashaa Allah yaa Allah tujalie na sisi yaarabb
@rehemanyale2212
@rehemanyale2212 3 года назад
Mashaalah, wamefanana mpaka sauti, warembo sana
@cantonaiddy6042
@cantonaiddy6042 3 года назад
Hpn sauti hazifanani huyu wa kushoto ana sauti ya mapozi
@cantonaiddy6042
@cantonaiddy6042 3 года назад
Wa kulia sura yake pana kidogo
@rehemafungo5042
@rehemafungo5042 2 года назад
Asante wajina umeandika kiswahili🤔🤔
@simonkiprotich3300
@simonkiprotich3300 3 года назад
Beautiful due to their twin bonded love; could they hav been patient may be the Lord may have bless them married by twin bros too.
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 7 месяцев назад
shida ya pacha mukishikana sana kwakila kitu ila maisha tofauti kuna mmoja atafariki mapema kama mm niko na pacha wangu ila kashaniacha ashatangulia mbele ya mungu
@theonestinakajuga3628
@theonestinakajuga3628 7 месяцев назад
Hi no 6
@mwashambagofa352
@mwashambagofa352 3 года назад
Juzi niliona picha ya kinaigeria ya mapacha ambayo wanahisi pamoja sikuamini kumbe kweli wapo,Mungu ni mkuu Sana..
@DottoSimiyu
@DottoSimiyu 6 месяцев назад
Jmn wanafanana kama sisi tunavyofanana lkn kuna tofauti kidog kweny saut lkn pia kulwa n mwembamba kidog Dotto mnene kidog. Yaan story yao haina tofauti na yao kama vle mama, marafk, majran na ndg wengne kutuchanganya n kawaida sana. Na cc wakat mwingne huwa anauliza ww n kulwa ama Dotto?, Kuhusu kuumwa na yenyew n hivyo. Kiufupi the way walivyoelezea halika n kwel. Nmependa mnavyoishi Mungu awape maisha marefu. Nmefeel vzr sana kuwasikiliza natamani niwaone jmn live ❤❤🎉🎉🎉
@maalimali5513
@maalimali5513 6 месяцев назад
Kweli kuna tofauti kidogo Doto ana uso mpana kidogo kuliko Kulwa
@SharifaSaid-k4h
@SharifaSaid-k4h 6 месяцев назад
Ila wazur sana
@maalimali5513
@maalimali5513 6 месяцев назад
Allah kawajaalia Mashaallah♥️
@davidole8257
@davidole8257 6 месяцев назад
Hongera kwao wanafanana sana huyu ambae Hana Mume mie nipo Tayari kuoa na nitawapenda wote Doto upo tayari
@furahakalekezi7537
@furahakalekezi7537 6 месяцев назад
Nguvu kuu asili iwalinde na kuwatunza na kuwabariki mapacha, wakubwa zangu, Mimi ni nazo ya kufuata mapacha japo walirudi Asilini Hongereni sana 😘😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹
@margrethmshana3560
@margrethmshana3560 3 года назад
Nimewapenda hatarii,hapo in finger print ndio tofauti, kwalivyofanana huyo ni MTU mmoja ,very lovely girls.
@ericklaura7511
@ericklaura7511 3 года назад
Mungu awajalie moyo wa kupendana hivo hivo milele🌹💖👏
@ashanassour1139
@ashanassour1139 3 года назад
Ya rabbi nijaalie na mm nipate mapacha wawili dua zenu naomba
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 3 года назад
Amiin sote Yarabbi
@lucyhusein4043
@lucyhusein4043 3 года назад
Sasa akipata mime!!!??
@ericklaura7511
@ericklaura7511 3 года назад
@@ashanassour1139 Ameni. Hitaji la moyo wako likatimie kwa uweza wa Mungu.
@ericklaura7511
@ericklaura7511 3 года назад
@@lucyhusein4043 si umesikia amesema yeye hata asipoolewa ni sawa?
@neemamsacky9468
@neemamsacky9468 2 года назад
Mungu nijalie nilicho kibeba kiwe mapacha wakufanana
@zainabsaidy1381
@zainabsaidy1381 3 года назад
Yarrabi nijaalie na mie nipate mapacha inshallah
@aminahema9714
@aminahema9714 3 года назад
Amiin
@sabahiali6021
@sabahiali6021 3 года назад
Amin
@hajrahassan1250
@hajrahassan1250 3 года назад
Amiin
@halimajamaniamekuwamndeme9617
@halimajamaniamekuwamndeme9617 3 года назад
Amini
@iradukundadiattiradukundad6093
@iradukundadiattiradukundad6093 3 года назад
Amin
@zainabuhussein3487
@zainabuhussein3487 3 года назад
Jamani napend mapecha Allah nijalie namimi nikiolewa unijalie mapecha amina
@ezekiel2034
@ezekiel2034 3 года назад
Waaa this two girls are indeed beautiful ❤️❤️👏👏👏👏👏💐🎉
@magrethgavan9353
@magrethgavan9353 2 года назад
Warembo kweli mungu awape Maisha marefu 🤗
@MuhamadiAli
@MuhamadiAli 7 месяцев назад
Mmoja mnene mwengin mwembamba. Mmoja sauti kavu na wengine sauti nzito
@ibrahimkhamis8394
@ibrahimkhamis8394 4 месяца назад
Kweli mmoja mnene mwengine mwembamba, wala hawajafanana kiiivo unaweza kuwatofautisha😅
@fedhumafundikila2100
@fedhumafundikila2100 3 года назад
Mashaallah ❤️❤️ jamani wamefanana kweli💥nimewapenda nami natamani nipate mapacha🙏🙏
@selinaclarence878
@selinaclarence878 3 года назад
Tofaut zao mmoja nwongeaji sana kuliko mwingne
@juliethkipeja4791
@juliethkipeja4791 2 года назад
Na kulwa kasura kake kembamba kidogo
@maryjoseph787
@maryjoseph787 3 года назад
Mungu anijalie na mm niwapate... inshallah 🙏
@husnamahadhi7437
@husnamahadhi7437 2 года назад
Amin atujaalie sote in sha Allah
@mariamhakim1463
@mariamhakim1463 7 месяцев назад
Mamayangu ana mapacha namimi nikiolewa nizae mapacha insha allah❤😅😊
@shanibaniyas6308
@shanibaniyas6308 7 месяцев назад
Ameen🤲🏽
@aishadotto3640
@aishadotto3640 7 месяцев назад
Ameen
@yusrasalum
@yusrasalum 3 года назад
Nimesoma na mapacha jamani wanapendana hawa huwakuti wanamashoga yani wenyewe tu na hawagombani ovyo 😂😂😘
@felisterbaraka209
@felisterbaraka209 3 года назад
Mungu anijalie nani mapacha
@jacklinenoel5841
@jacklinenoel5841 3 года назад
Napenda mimi jaman Eeer MUNGU nijaalie na mimi🙏
@agnesskasansa9959
@agnesskasansa9959 3 года назад
Nataman mungu anipe mapacha nawapenda sn
@halimaabdillah8440
@halimaabdillah8440 3 года назад
Had rah mashaallah
@missmoona4497
@missmoona4497 3 года назад
Kabla hujawauliza nan mkubwa nan mdogo tayar kwakuwatazama tu nikajua nan mkubwa nan mdogo usually nina mapacha Alhamdulillah pia mama zangu wadogo mapacha my family kuna mapacha fully na ninaomba mungu anipe tena mapacha inshaallah.
@missmoona4497
@missmoona4497 3 года назад
Lkn pia mama zangu mapacha hao waliposwa pamoja, waliolewa siku 1 na waume zao nimarafik mno wanaopendana kias kwamba mungu akawapa wake mapacha maashallah
@bonifaceyohana2515
@bonifaceyohana2515 3 года назад
Nawapenda mapacha sana huwa nikiwaona nafarijika mno
@aminatumbo7410
@aminatumbo7410 3 года назад
Katika pacha nnao wapenda bas ni hawa wa mfuko mmoja nice hutenganishwa na kifo tuu ila sio binadamu
@beera.g5302
@beera.g5302 3 года назад
Hadi nikatamn, eeeh Mungu niajalie namie🙏 mapacha
@husnamahadhi7437
@husnamahadhi7437 2 года назад
Amin atujaalie sote in sha Allah
@gloryandrew9428
@gloryandrew9428 3 года назад
Ee mungu nijalie na mimi mapacha
@mdungikona1968
@mdungikona1968 3 года назад
Acha kuwataka hao wasumbufu niulize mimi
@MariaDawite
@MariaDawite Месяц назад
Me mungu anijalie wa kiumee mapachaaas🙏🙏
@jeniphachristian2131
@jeniphachristian2131 3 года назад
Woooooh ni nzur but hapo kwenye Mume Sasa...😊😊🤗
@evelynmallya2361
@evelynmallya2361 3 года назад
Sasa mimba mlipataje
@princessmeggyclement7591
@princessmeggyclement7591 3 года назад
Yarabby nijaalie namimi Amiin👏👏
@dotahamad6640
@dotahamad6640 3 года назад
Amiin
@khadijayusuph9316
@khadijayusuph9316 5 месяцев назад
Wazuri ❤naomba mungu na mm anijaalie pacha jmn
@watendeabdallah6587
@watendeabdallah6587 3 года назад
Mashaaalah napenda mapacha mm 😍❤️
@Feisal379
@Feisal379 3 года назад
warembo sana napenda xana
@husnamahadhi7437
@husnamahadhi7437 2 года назад
Mungu akujaalie
@ihsan304
@ihsan304 Год назад
Mungu awaeke in sha Allah 🤲
@sadanassor4992
@sadanassor4992 3 года назад
Mungu anijalie mapacha 🙏🙏
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 3 года назад
Amina yarab
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 года назад
Ameen ya Rabbi
@mariamhinda6710
@mariamhinda6710 3 года назад
Amen
@husnamahadhi7437
@husnamahadhi7437 2 года назад
Amin
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 10 месяцев назад
Mimi siwataki ulezi mgumu 😢 na hao mapacha kwenye familia yetu ndio usiseme mpaka naogopa
@mauwashomari8160
@mauwashomari8160 3 года назад
Mungu namiye mimba yangu ya kwanza nipate mapacha
@muniraally6066
@muniraally6066 3 года назад
Amiin mung atakujaalia ila na mm mung anilijaalia saiv wanamiak 7 mung aniwekee
@farajamwakamyanda3014
@farajamwakamyanda3014 3 года назад
Amen
@halimahalima1488
@halimahalima1488 2 года назад
Amiiiin thumma amiiiin mmi mwenyewa nataka ivo
@nananishimwe1963
@nananishimwe1963 7 месяцев назад
Napenda.apacha
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 3 года назад
Manshallah ya Allah nijalie namimi mapacha Allahumma Amiin 🤲
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 3 года назад
Amin na mm
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 3 года назад
Usiseme atamm nawataka kwer
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 3 года назад
Mmefanana sana Mungu naomba unijalie mapacha
@AnnaUrio-x1b
@AnnaUrio-x1b 7 месяцев назад
Jmn Mungu🙏 nawapenda ❤❤❤❤
@edinahmaganga3528
@edinahmaganga3528 3 года назад
😘😍😚😗 warembo sana Mungu awalinde
@saumumunisi8013
@saumumunisi8013 7 месяцев назад
Half ni wazuri nimewapenda sana
@gudanemma1459
@gudanemma1459 Месяц назад
Nami pia natamani kuwa na mapacha wanaofanana kama nyie jmni mungu nijalie namimi❤😂
@jesscajuma7253
@jesscajuma7253 3 года назад
Mungu awachariya wote Dada 🇰🇪🙏🌹🌹🍎🍎🤍🤍
@jimmymbella997
@jimmymbella997 2 года назад
Nimewaakubar sana wadogo zangu❤️
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 3 года назад
Mapacha sana mwenye mwili mdogo ndo yuwatoka mbele 🤣🤣🤣
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 2 года назад
Watoto wazur sana
@salamabakari8384
@salamabakari8384 4 месяца назад
Namimi munguanijalie nizae mapacha
@jacklinejohn9415
@jacklinejohn9415 3 года назад
Nice wame pendeza xana na kuhusu wanacho kizungumzia ni kweli kuhusu wa toto mapacha mmoja Aki umwa ni wote hata Mimi ninao pia nawangu niwakike pia
@tundaspodo6955
@tundaspodo6955 3 года назад
Mapacha wangu haooo nawapenda Sana Awana tabu na mtu
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 2 года назад
Mnanikumbusha mbali sana Sisi ktk mtihani ilikuwa tunajisahau tunaandika jina moja sasa hapo kazi kwake mwalimu hizo alama aweke kwa sauda au saida 🤣😂
@edsonjonas2775
@edsonjonas2775 2 года назад
Ata Mimi mke wangu ni mapacha wanafanana Sana alafu mke wangu nlishawahi kumuita shemeji alafu nao walibeba Mumbai pamoja na wakazaa watoto wanafanana Sana mpaka nlpata tuhuma kwa baadhi ya watu kuwa huenda nilideti nao wote
@happinessteven2401
@happinessteven2401 2 года назад
😅pole
@raheemaal-hady9328
@raheemaal-hady9328 3 года назад
In Shaa Allaah Mungu atakupa Mume bora Mammy Dotto... Nawapenda sana mammy zangu Allaah awalinde na killa shari.
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 года назад
U look very beautiful 😍 ❤
@SwaumLiuti
@SwaumLiuti 7 месяцев назад
Jmn mpka raha ❤❤❤❤, nawapend san mapcha
@SamiaSalumu-r1e
@SamiaSalumu-r1e 7 месяцев назад
Mungu simama na mm nipate mapacha
@LyidiaMororo
@LyidiaMororo 6 месяцев назад
Jamani mapacha wazuri mungu awalinde ,nami pia ninao wakike na wakiume ila wananitoa jasho naniwakubwa miaka 15 lakini ni hatari
@petrobukerebe215
@petrobukerebe215 2 месяца назад
Ni kweli mapacha huwa wanachanganya sana maana unaweza kuta ni kulwa ukimuita doto anaitika au doto ukimuita kulwa anaitika😂😂😂
@msamirerebecca339
@msamirerebecca339 3 года назад
Beautiful .....🥰 One can diferentiate their voice
@hassankulanga9717
@hassankulanga9717 3 года назад
Sasa huyo shemeji si anakula wote
@johnsalya7694
@johnsalya7694 3 года назад
Dress My p
@amranimohamedamranmohamed6022
@amranimohamedamranmohamed6022 2 года назад
Doto mnene kuliko mwenzie
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 7 месяцев назад
Kweli kwenye sauti ni tofauti
@juliethkipeja4791
@juliethkipeja4791 2 года назад
Mungu nipe hitaji la moyo wangu
@kanezajoella6663
@kanezajoella6663 6 месяцев назад
Sauti ni tofauti pia kulwa ame changamka sana wazuri ❤❤❤❤
@Swamyhassan_sy
@Swamyhassan_sy 4 месяца назад
Mashaallah🥰
@davisnkoba2683
@davisnkoba2683 3 года назад
You are real beautiful twins NAPENDA tu vile wanavyopendana l do love them.
@ChumyKauthar
@ChumyKauthar 8 месяцев назад
Mungu naomba nijaalie nami nipate mapacha
@priscaleonce5614
@priscaleonce5614 3 года назад
Mmoja ni bonge
@asmintambwe9547
@asmintambwe9547 3 года назад
In shaa Allah mungu nipe namie mapacha
@leylasadiki4951
@leylasadiki4951 3 года назад
Mungu nijalie na mm nipate mjawako inshallah
@aaa64sa13
@aaa64sa13 2 года назад
Ameen inshaAllah
@JaniJann-xv2nq
@JaniJann-xv2nq 4 месяца назад
Wangu hawafani lakini wakiumwa na tabia wanashare ❤❤❤❤ maanake walishare placenta moja
@AminaSaidi-o9f
@AminaSaidi-o9f 7 месяцев назад
Yaan wanaongea wao mapacha nacheka mm😂😂😂jaman napenda sana ila sipati . Namuomba Allah anijalie nipate inshallah 🙏🙏🙏🙏
@eshialabonita7736
@eshialabonita7736 3 года назад
Wow Masha Allah
@diananjoki6788
@diananjoki6788 2 года назад
indeed fearfully and wonderfully made.
@MannySalum
@MannySalum 7 месяцев назад
Wawo mungu nijalie na mm
@hadijambwana9068
@hadijambwana9068 3 года назад
Mungu anijalie pchaa
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 2 года назад
Mimi na kulwa wangu tulitoa kali std 1 hadi form iv darasa moja na benchi moja enzi hizo hkn viti, tulikuwa tunakalia madawati, Ila mapacha watu huwa wanawapenda mnnooo lkn walishindwa kututenganisha Pia pacha huwa na hila mbaya hujiona wao ndio ndugu sana kuliko ndg wengine japokuwa wote wamezaliwa na baba na mama mmoja
@pendomarco8928
@pendomarco8928 3 года назад
Ee Mungu Kama utapendezwa
@juliekashindi1919
@juliekashindi1919 10 месяцев назад
Mungu nijaliye na mimi wa Toto mapacha 🤲🤲
@estherbakabona9930
@estherbakabona9930 2 года назад
Tofauti sauti za japo wote wana sauti kubwa kulu yake kubwa zaidi😍😍😍😍
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 2 года назад
Mapacha ni raha saaana, tulipokuwa watoto tulisumbua sana watu, yaani hadi leo mtaani watu wanachemka wakimuona saida humuita saida yaani wanahisi wamemuona sauda, watu huja kunilaumu eti nilimchunia
@MohamedAlly-e1j
@MohamedAlly-e1j 7 месяцев назад
Pacha wang na ww😂😂hta me n pacha saida na sauda
@MohamedAlly-e1j
@MohamedAlly-e1j 7 месяцев назад
Ndoto yngu kuja zaa pacha allah takabal dua
@dr.alexmagufwa9131
@dr.alexmagufwa9131 6 месяцев назад
Mtangazaji upo vizuri sana
@fakiibabalao4185
@fakiibabalao4185 3 года назад
Mtangazaji na mapacha wanavithethe kama umegundua hili weka like hp
@nishrash3637
@nishrash3637 3 года назад
Kurwa saut yake inakwaruza na anakithethe Sana kuliko doto waskilize kwa Makin! Na kimuonekano Doto siyo muongeaje sana
@Tanganyika-w5p
@Tanganyika-w5p 5 месяцев назад
Kitu ambacho sitaki kabisa ni mke wangu kuniletea mapacha. Ee Mungu naomba watoto tofauti ila MAPACHA sitaki
@preciousjohn9405
@preciousjohn9405 3 года назад
Mapacha wote huwa wanapendaga siyo hao tyu
@oman7710
@oman7710 2 года назад
Masha Allah Mungu awape umri mrefu
@ZenabAli95
@ZenabAli95 7 месяцев назад
Ameen
@deborahlagila6351
@deborahlagila6351 3 года назад
Wanafanana sio ajabu mama kuwachanganya me mwenyewe wa kwangu wana miaka 7 nikitoka safar nawauliza
@aminasamwel3379
@aminasamwel3379 3 года назад
Ee mungu naomba nibariki na Mimi pia mapacha
@husnamahadhi7437
@husnamahadhi7437 2 года назад
Amin atujaalie sote in sha Allah
Далее
НЮША УСПОКОИЛА КОТЯТ#cat
00:43
Просмотров 669 тыс.
LOLLIPOP-SCHUTZ-GADGET 🍭 DAS BRAUCHST DU!
00:28
Просмотров 11 млн
WASANII HAWA NI NDUGU WA DAMU KABISA UMESHAWAHI KUJUA??
10:15
HATARI; MAPACHA WANAO FANANA KUOLEWA NA MWANAUME MMOJA
19:54
НЮША УСПОКОИЛА КОТЯТ#cat
00:43
Просмотров 669 тыс.