MAASHALLAH KAONGEA UKWELI KUWA ANAWEKA MAWAIDHA AU MASOMO MBALIMBALI KWA MAANA ANAJIFUNZA KWANZA PIA MAMBO MENGINE ANAYAPATA KUTOKA KWA MUNGU MWENYEWE KWANI MUNGU HUMPA AMTAKAYE.
Acha chuki hata hizo dhikri zako wenzio watasema ni za kukohoa na ni bidaa, mlete mtoto wako awe wa kweli aongee kama huyu ili ionekane ni hali ya kawaida ututhibitishie hicho unachokisema.
Ndugu yangu, kama ni UONGO au UKWELI Tumuachie MUNGU. Cha Muhimu Mtoto anajitahidi sana MAASHAALLAH ALLAH AMSTIRI Mtoto wetu na HUSDA na chuki za VIUMBE vyake MUNGU . MWZ MUNGU Hashindwi na Lolote Atakalo
Wewe ndiye muongo, tatizo ni kuropoka tu bila ya kupima huo utumbo wako... bonyeza link hii uone alipokuwa akitowa mawaidha pindi alipokuwa na umri wa miaka mitano tena ni mawaidha tofauti na hayo ya Sayansi, msikilikilize kwenye mawadha ya mauti ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-VzEFUGACFG0.html , mawaidha ya wanaojifananisha na watu wa jinsia ambazo sio zao ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kEu5pDReBO0.html , Acha kudanganya watu mawaidha yake yamejaa kwenye mitandao.