Тёмный

MAARIFA YANAVYOWEZA KUKUSAIDIA KUZISHINDA NGUVU ZA GIZA -PASTOR SUNBELLA KYANDO 

Reality of Christ Church
Подписаться 77 тыс.
Просмотров 43 тыс.
50% 1

Hosea 4:6
[6]Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Maarifa ni taarifa sahihi juu ya jambo fulani.Taarifa sahihi ni ufunguo ambao utakusaidia kufungua malango ambayo unapaswa kuingia.
Watu wanaozungumziwa hapa sio watu wasiomjua Mungu,Mungu anawaita "watu wangu" maana yake ni watu wanaomjua Mungu.Na anavyosema kuwa "umeyakataa maarifa..." ni kwamba aliwapelekea hao watu maarifa lakini wakayakataa na athari yake ndio hiyo wanaangamizwa.Na Mungu anasema kwa sababu hiyo Yeye(Mungu) atawakataa wasiwe makuhani wake.
Maarifa sahihi ni muhimu kwa sababu yatakufanya ufanye kazi yake kwa urahisi na ufanisi.
Katika somo hili utajifunza maana halisi ya maarifa,ni maarifa gani unayopaswa kuwa nayo,kwanini Mungu anataka uwe na maarifa sahihi, na athari za kukosa maarifa.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RU-vid: www.youtube.co....
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RU-vid
/ @pastorsunbellakyando

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 73   
@patrickmwakai5545
@patrickmwakai5545 6 месяцев назад
God bless you the man of God i like your teachings ,i am in kenya the way we teach it's really kabisa ,natamani nipoker upako Kama wako ,just pray for me
@tumajunior6080
@tumajunior6080 2 года назад
Asante poster ubarikiwe mungu azidi kukutumia nikiwa muislam umenifundisha jinsi ntaongeza maarifa ktk swala zangu Asante sanaaaa 🤲🤲🤲
@Devotamlelwa9239
@Devotamlelwa9239 5 месяцев назад
Nashukuru Kwa mafundisho Yako myumish
@ruthie8466
@ruthie8466 2 года назад
Just discovering this great man of God,he is awesome,baraka,more grace.
@mariamzambi1995
@mariamzambi1995 3 года назад
Yesu nipe maarifa ya jinsi ya kujiombea nipate uponyaji. Najiungamanisha na madhabahu hii nipate kibali cha uponyaji wa mwili na wa roho AMEN.
@veronikaaugustino2258
@veronikaaugustino2258 3 года назад
Asante MUNGU kwa Kila maarifa ktk Kila NENO lako Nisiangamie mm na family yangu AMINA
@ntulisuzan897
@ntulisuzan897 2 года назад
Ubarikiwe mtumishi mifano inatufanya tukuelewe sana 🙏
@mustafagehonde1154
@mustafagehonde1154 3 года назад
Somo zuri Sana nimelipenda limenifundisha Mambo mengi ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@elizabethmwamdanga7377
@elizabethmwamdanga7377 5 месяцев назад
AMEEN
@elvaidaernest6210
@elvaidaernest6210 3 года назад
Aminaaaa ubalikiwe sanaa mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sanaa
@andrewsenyagwa
@andrewsenyagwa 8 месяцев назад
Sure relationship with holy spirit is the key
@lydiawasai9439
@lydiawasai9439 2 года назад
Mungu akueke na azidi kupanua your ministry. B blessed 🙌 😇 🙏 thanks so much
@magrethsomi4318
@magrethsomi4318 3 года назад
Ameen mtumishi. Somo zuri sana.
@nasrakitwana4744
@nasrakitwana4744 2 года назад
Ubalikiwe mtumishi kwa masomo yako hakika yananijenga sana
@petermunuo1657
@petermunuo1657 2 года назад
Amen mtumishi barikiwa sana
@aisiamkonyi4977
@aisiamkonyi4977 Год назад
Ameen, umenibariki sana pastor sunbella.ubarikiwe
@geendaki7678
@geendaki7678 3 года назад
Namuomba MUNGU aniwezeshe siku moja kukutana na wewe Mtumishi Sunbella hakika naamini nami nina Jambo nahitaji kupokea kutoka kwako Mtumishi wa Bwana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.
@liliankeyabaraka8195
@liliankeyabaraka8195 Год назад
Asante sana pastor nabarikiwa sana na MUNGU akubariki sana 🙏💕
@leytcastle9402
@leytcastle9402 3 года назад
Namwomba Shetani mmoja😃😃 ... Barikiwa Mchungaji
@amosjblack9614
@amosjblack9614 3 года назад
Asante sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananijenga sana kiroho
@wilbard3692
@wilbard3692 3 года назад
Somo zur sana barikiwa Min Sun
@mhamdahmd7758
@mhamdahmd7758 3 года назад
Amen barikiwa mutumishi kwa somo zuri
@erastomendamenda172
@erastomendamenda172 Год назад
Mungu akubariki we baba mch
@janembalinga7074
@janembalinga7074 Год назад
Ameen asante kwa hili somo sina cha kuongea zaod ya kusema asantee Yesu
@timotheomahala373
@timotheomahala373 3 года назад
Amen
@elishajailosy8346
@elishajailosy8346 3 года назад
Maarifa ni MUHIMU sanaa
@cocubanza1049
@cocubanza1049 3 года назад
Mtumishi ,Bwana yesu asifiweee... Mm nahitaji maombi kwa habari ya ndoto niliyoota nikwamba niliota nimeng'atwaa mkononii na mwanangu halafu baada ya siku moja sehemu ya mkono niliyong'atwa ikaanza kuuma..
@philipmaina9046
@philipmaina9046 2 года назад
Amen amen man of God am blsd from Kenya,am a pastor I wish i ca meet you one day for impartation
@mosesmnyantope9534
@mosesmnyantope9534 2 года назад
Nimekuerewa pasta
@happinessakim2679
@happinessakim2679 3 года назад
Thanks so much dady🙏🙏🙏
@florenceflorence1170
@florenceflorence1170 3 года назад
Amen pastor
@stellanamunaba813
@stellanamunaba813 2 года назад
Amen.Thankyou LORD for using your servant to help me understand well your word.
@lucilamushi2894
@lucilamushi2894 3 года назад
Nimebarikiwa Sana na Neno zuri la maarifa.Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.
@hendrykingmecky3922
@hendrykingmecky3922 3 года назад
Amen somo lilikuwa ni moto nimelielewa
@agnesalex4761
@agnesalex4761 3 года назад
Ubarikiwe mchungaji
@JeniphaThomas-z5j
@JeniphaThomas-z5j 4 месяца назад
❤❤❤❤
@tatukadope7213
@tatukadope7213 2 года назад
Amen mtumish
@florencemueni7598
@florencemueni7598 3 года назад
Amen Asante pastor
@ezekielluhas3351
@ezekielluhas3351 3 года назад
🙌Mungu azidi kukuinua Pastor
@IsaiahMananga
@IsaiahMananga Год назад
Amina sana❤
@graceneema5569
@graceneema5569 3 года назад
Amen papa pastor
@rahabusanga1559
@rahabusanga1559 3 года назад
amen,God is good
@edwarddaud6785
@edwarddaud6785 2 года назад
Thanks
@JamesMwiti-k4x
@JamesMwiti-k4x Месяц назад
God bless you,but naamini waeza omba tukafunguliwa ata kama uko mbali am in kenya
@jameskoome1607
@jameskoome1607 Год назад
Nasukuruu kutoka Kenya
@estherlukawe5435
@estherlukawe5435 Год назад
Efaha church
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 года назад
AMEEEN AMEEEN
@anaaanick4187
@anaaanick4187 3 года назад
Amen Ameen
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 года назад
Marifa ni muhimu
@yaotv360
@yaotv360 2 года назад
Mweee umenifungua mch
@shedrack4694
@shedrack4694 Год назад
absolute
@4gtradingimpex201
@4gtradingimpex201 Год назад
wakati nafuatilia somo ulipofikia swala la kuhani kabra hujamnyanyua mimi nimeletewa picha haraka huyo mtumishi amekuja kutoa ibada kwangu na anaondoka na binti zangu kutoka nyumbani kwangu kwenda nao sehemu kwa ajili ya masomo zaidi.Naamini haya ni maarifa yanaweza kutoa kutoka sehemu fulani.
@bettymwigune8150
@bettymwigune8150 Год назад
Hekima ya ajabu
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 года назад
👏👏👏👏👏👏👏
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 года назад
Asante 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Mtumushi kwa somo
@salamamapendo6461
@salamamapendo6461 3 года назад
Jambo jina langu ni Salama Mapendo nawapata nikiwa marekani naitaji namba ya mtumushi uyu Mungu kwa musaada ya maombezi
@realityofchristchurch
@realityofchristchurch 3 года назад
Wasiliana na nasi kwa namba hii hapa +255 657 173 322
@marymlewa8682
@marymlewa8682 3 года назад
@@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe
@injili658
@injili658 2 года назад
@@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe sana. Anauliza kama mnaweza kumpa kijana counseling na mwongozo wa kichungaji. Anachukua theology hapo Rhema bible college na hana kipato kwa hiyo anataka kukata tamaa kabisa. Naweza kumsaidia?
@estherkillango5867
@estherkillango5867 Год назад
sio mitatu tuuu hata ishirini
@cocubanza1049
@cocubanza1049 3 года назад
Halafu baada ya siku moja mkono huo huo wa kuliaa kidole cha pili baada ya kidole gumba kikanzaa kuvimbaa sehemu ya ukucha, huku maamivu ni makali saana...mdudu namsikia anatemvbea mbele mara nyuma, na ukucha unazidi kuuma...
@timotheomahala373
@timotheomahala373 3 года назад
Glory
@nassorosadiki7920
@nassorosadiki7920 2 года назад
Mtumishi mwezi wasita huu umefikia mwanza itakua wapi maana tunakusubiri
@NeemaMgaya-ez9un
@NeemaMgaya-ez9un 10 месяцев назад
Amina
@blessingyusuphu504
@blessingyusuphu504 2 года назад
Amina
@priscaibrahim5660
@priscaibrahim5660 2 года назад
Amen
@rehemakatana1137
@rehemakatana1137 2 года назад
Amen
@janetjanet8669
@janetjanet8669 2 года назад
Amina
@Willyb254
@Willyb254 3 года назад
Amen
@renaldleonard5956
@renaldleonard5956 3 года назад
Amen
@gilbertwanje
@gilbertwanje 3 года назад
Amen
@RoseRose-vf5km
@RoseRose-vf5km 3 года назад
Amen
@johnmwanganda491
@johnmwanganda491 2 года назад
Glory b to God man of God
Далее
ROHO ZINAZOZUIA ONGEZEKO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:12:39
Namna Ya Kuvuka Vikwazo - Pastor Sunbella Kyando
23:58
NYOTA YAKO INAKUTAMBULISHA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
27:08
PASTOR SUNBELLA KYANDO - NGUVU ZA GIZA NI NINI?
10:13
NYOTA YANGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
26:23
Просмотров 2,3 тыс.
ROHO ZIZUIAZO MATOKEO (III)  - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:09:05