Тёмный

MACHOZI - Tumaini Shangilieni Choir 

Tumaini Shangilieni Choir
Подписаться 32 тыс.
Просмотров 128 тыс.
50% 1

Tumaini Shangilieni Choir, / tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 64   
@AdamChambo-mf4ek
@AdamChambo-mf4ek 7 дней назад
Hakika uimbaji uliokomaa waimbaji wamepevuka kiuimbaji sana,hongereni sana Mungu aendelee kuwatumia vyema kwenye huduma hii aliyowaitia.
@stanleyzoka9527
@stanleyzoka9527 2 года назад
Kutoka Mombasa, Kenya nasema mumeubariki moyo wangu sana tangu nilipoanza kupata kanda zenu 1990 hadi sasa 2022. Muzidi kuinuliwa na Bwana juu tena juu sana. February 22, 2022.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Год назад
Upendo mwingi sana kwako na nchi yoye ya Kenya
@elizabethdaudi-kw1qf
@elizabethdaudi-kw1qf Год назад
Hbr ya leo wazima huko nawapenda sana mungu azidi kuwainua katika uimbaji wenu kila siku lazima niwasikilize mungu awabariki.
@lamfy4098
@lamfy4098 Год назад
Naye atanipa mlango wa kutokea tuu. Be blessed
@georgedinda7400
@georgedinda7400 3 года назад
Wimbo huu ni ushuhuda wa maisha yangu. M'barikiwe sana rafiki zangu.
@irisdionis8131
@irisdionis8131 5 лет назад
Nna mshuhudia Mung kwamba amenivusha kwenye eneo Gum ambalo sktegemea baada ya kusikilza wimbo huu .Kweli Amini na Mung atafanya.Nawapenda sana Mung awabariki waimbaji.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Год назад
Mungu aendelee kukupigania mpendwa
@user-zi6gy9ey6i
@user-zi6gy9ey6i 6 месяцев назад
Hili nalo litapita tuu hakika Mungu ni mwema, barikiwen watumish wa Mungu
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 4 месяца назад
Amen Amen, Mungu wa mbinguni akubariki
@criss336
@criss336 4 года назад
Ninabarikiwa sana asanteni tumaini inawezekana napitia kwenye magumu lkn lipo tumaini kwa Yesu.
@Regnard999
@Regnard999 Год назад
Nimerudi hapa 2023 baada ya ushuhuda. Hakika Mungu yupo na anatenda makuu! Mzidi kubarikiwa Tumaini Shangilieni.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Год назад
Mpendwa @poet Bishoza, Tungetamani kusikia zaidi juuya ushuhuda wako, Tafadhali tuwasiliane hapa 0765637590
@mputaostin3077
@mputaostin3077 Год назад
Mungu awabariki kazi nzuri ila tunaomba mtu wekee wimbo unaitwa "Bwana Mungu atafuta machozi ni wimbo ninao upenda sana.
@gmwakiro
@gmwakiro 2 года назад
Very soothing song when I suddenly lost my mom.
@eliminadokinanda3414
@eliminadokinanda3414 2 года назад
naupenda sana huu wimbo
@emanuelmoshi7414
@emanuelmoshi7414 4 года назад
Huu wimbo una upako jamani... Yesu wabariki hawa watu. Kuna siku nilipaki gari pembeni kwa kuzidiwa na upako nilipokuwa nasikiliza huu wimbo
@ziribarmurumwa
@ziribarmurumwa 4 года назад
Hakuna jambo gumu ambalo la kumshinda Mungu,,Amina Nabarikiwa sana na huu wimbo,,Mungu awabariki na awazidishie katika huduma wenu. Love From Kenya
@ackgospelchannel2819
@ackgospelchannel2819 4 года назад
Nimejifunza mengi mazuri kupita kanda hill. Litukuzwe Yesu Mwokozi.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Год назад
Amen
@NeemaMushi-hn9oe
@NeemaMushi-hn9oe 11 месяцев назад
Wimbo huu ni ushuhuda wa maisha yangu Mungu awabariki sana
@johnmponji6521
@johnmponji6521 5 лет назад
Furaha Mwaisoba ninawapenda sana na uimbaji wenu mnanibariki natoka mbeya
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Год назад
Neema ya Mungu iendelee kukutunza sana
@ericamalima6650
@ericamalima6650 4 года назад
HII nyimbo imefanifanya nipate furaha ya ajabu
@agneshassan4712
@agneshassan4712 Год назад
Mungu awabariki sana
@amosnyanda1160
@amosnyanda1160 4 года назад
Mungu nisaidie nami nikutumikie kwa uimbaji 😭😭😭😭
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Год назад
Amen, Mungu asikie maombi yako
@michaelchristopher8415
@michaelchristopher8415 5 лет назад
Masolo mko vizuri
@mwitasamwel7972
@mwitasamwel7972 6 лет назад
C wasikii wanaume kbsa
@hoseagabriel4698
@hoseagabriel4698 5 лет назад
Hongereni Sana na mbarikiwe watu wa mungu
@rackelrobin
@rackelrobin 2 года назад
Nimerudi tena 2022
@mwaminilyaweye4078
@mwaminilyaweye4078 3 года назад
Huwa mnanibariki sana .
@esthermamuya5645
@esthermamuya5645 10 месяцев назад
Excellent ❤😘
@ymusic803
@ymusic803 4 года назад
Nyimbo za moyo wangu
@Mg-ow9dm
@Mg-ow9dm 6 лет назад
Mmmmh ninaupenda wimbo huu mno... Mbarikiwe sana
@shilikale
@shilikale 6 лет назад
Ninaishukuru sana Tumain kwaya kwa wimbo huu unanitia moyo. Thanks sana.
@freyfastle1784
@freyfastle1784 6 лет назад
hongeren kwa huduma hiyoooo
@ashelyjonas8141
@ashelyjonas8141 6 лет назад
ukwel hapa mlijitahdi sana hasa kwa ss wenye kiu na hofu KwA mungu inatupa nguvu
@naomijuma5190
@naomijuma5190 6 лет назад
Kama ni magonjwa ww unaponya kama ni machoz ww unafuta,ooh hallelujah nice song
@afmabeat9567
@afmabeat9567 6 лет назад
Naomi Juma nani kama yesu kristo?
@johnnyemba3261
@johnnyemba3261 6 лет назад
Ujumbe mzuri
@angelmazanda8590
@angelmazanda8590 3 года назад
Nafarijika Sana na kujiona mshindi kupitia wimbo huu
@user-px9xb4ck7g
@user-px9xb4ck7g 10 месяцев назад
🙏🙏
@isaackivuitu857
@isaackivuitu857 3 года назад
Nafarijika Kwa kuusikiliza wimbo huu
@janekwahada580
@janekwahada580 6 лет назад
Mbarikiwe amen
@edrozasanga5632
@edrozasanga5632 4 года назад
Hakika nabarikiwa mnoo na huu wimbo
@michaelchristopher8415
@michaelchristopher8415 5 лет назад
Hiii nyimbo naipenda sanaaa solo ubarikiwe
@isayasonelo4087
@isayasonelo4087 2 года назад
my foveolate song waooh!
@evansmtambi9673
@evansmtambi9673 2 года назад
Dah speechless Amen
@ernestkayombi5474
@ernestkayombi5474 3 года назад
Asanteni,nimebarikawa
@glorykamenya2543
@glorykamenya2543 4 года назад
Amen
@ombennassary7438
@ombennassary7438 4 года назад
Love you all
@benjakavageme1693
@benjakavageme1693 6 лет назад
Nyimbo nzuri sana
@hoseagabriel4698
@hoseagabriel4698 6 лет назад
Mbarikiwe sanaa
@latifahood4695
@latifahood4695 3 года назад
Blessed
@edinalihedule3421
@edinalihedule3421 4 года назад
Amen🙏
@neemaalice7482
@neemaalice7482 5 лет назад
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu,,,ni ibada nzuri
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Год назад
We are humbled
@afmabeat9567
@afmabeat9567 6 лет назад
Wekeni futa machozi online please.
@rackelrobin
@rackelrobin 3 года назад
Jaman mm ndo naongoza views maana si kwa kuurudia huu wimbo
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 года назад
Ahsante sana rachel, Mungu akubariki sana.
@salomeramadhani3887
@salomeramadhani3887 Год назад
Nabarikiwa saana na waimbaji wa Shangilieni tangu nikiwa binti Mwaka 1997 mpaka Sasa sijawahi juta kuwafahamu mbarikiwe saana
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Год назад
Mungu akakutembelee kwa wingi pia
Далее
NJOZI - Official Video - Tumaini Shangilieni Choir
11:10
NIMO VITANI
6:56
Просмотров 62 тыс.
Hakuna Tatizo Kuu
6:50
Просмотров 14 тыс.
UNISHIKE
8:44
Просмотров 157 тыс.
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
Nakulilia Yehova
5:13
Просмотров 568 тыс.
ADAMU - Tumaini Shangilieni Choir
6:21
Просмотров 81 тыс.
Ufunuo Choir -  Maisha Yangu  (Live Performance )
8:20
Просмотров 974 тыс.