Kwanza lazima watu watanbue huo msiba sio wachadema,pili sio wakristo,msiba ni wawatu wote hasa imani ya kiislam kwasababu yeye ni muislam na masauni ni muislam,kwaiyo anausika kama muislam,nivipi azomewe?acheni upuuzi na ujinga huo nimsiba na si ushabiki apo nimajonzi si upumbavu unao onekana apo ondoeni siasa na ujinga kwenye mambo ya Mungu,
Nimethibitsha ilo kwenye bahadh ya vdeo akiwa yy na askar wa FFU kuwa yy anavaa tu kama askar na sio askar coz anavaa baret ambayo haina crown ya jeshi