Mabingwa wa Ligi Kuu ya Kenya, Gor Mahia FC wamehitimisha msimu kwa heshima baada ya kuwatandika Bidco United mabao 4-3 katika mchezo wa kufungia msimu uliopigwa Kenyatta Stadium, Machakos.
Katika mchezo huu, top scorer' Benson Omalla amefunga mawili huku mengine yakitoka kwa Mark Shaban na Ronney Onyango huku magoli ya Bidco yakifungwa na John Kelwish aliyefunga mawili, pamoja na Jacob Onyango.
Haya hapa magoli yote saba.....
5 окт 2024