Heritier Makambo ‘amewajaza’…na Salum Chuku amewachoma mkuki Namungo dakika za jiooooooooooooooni……..!!!!
Tabora United walivyoshinda 2-1 ugenini dhidi ya Namungo FC, mechi ya #NBCPremierLeague iliyochezwa Majaliwa Stadium, Lindi.
Goli la Namungo limefungwa na Djuma Shaban
Haya hapa magoli yote matatu…..
12 сен 2024