Тёмный

Mahojiano na Raila Odinga 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 8 тыс.
50% 1

Kinara wa cord Raila Amolo Odinga ni kiongozi ambaye amekabili changamoto nyingi kwenye safari yake ya siasa.
Mwaka 1997 Raila aliwania kiti cha urais kwa tiketi ya chama cha ndp akawa wa tatu, baada ya marais wastaafu daniel arap moi na mwai kibaki. Alibuni chama cha odm mwaka 2005 na kuwania urais mwaka 2007.
Uchaguzi ambao Mwai Kibaki alishinda japo ulizua utata. Raila aliwania tena kiti cha urais mwaka 2013 na kushindwa tena na uhuru kenyatta. Kwa sasa anakabiliwa na changamoto za viongozi wa magharibi na ukambani.
Kwenye mahojiano ya kipekee shisia wasilwa anatupakulia ndoto za kiongozi huyu wa upinzani.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 12   
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
utashinda na uckubali kabisa tena kabisa kuibiwa kura lief lief
@swotchege3160
@swotchege3160 2 года назад
Makala mazuri bingwa
@teresiakarocho7831
@teresiakarocho7831 8 лет назад
hauta kuwa kiogozi kula kwa. macho
@maryngugi1545
@maryngugi1545 8 лет назад
Kenya sio marekani..kubali umezeeka buda unda home
@tomleeabdulkadir5835
@tomleeabdulkadir5835 8 лет назад
we mary hujui km tunauchungu na kenya we mshamba tu tena uwache kuongea upuuzi kuwa mzee sio kuwa mtu awezi j kiongozi tumeona ukabila utakuja kwisha tu one day serekali ya kiuks ,nandis, kalenjine iko siku tutakuja sahau hizo tribes kuwa viongozi ina maana hata huna uchungu na historia ya kenya baadhi ya makabila kupuuzwa na kuzimwa kisiasa ili wasije kuwa viongozi baadae kuibiwa mashamba ngazi za juu ktk serekali wakanyimwa maendeleo wasipate ya mashinani km hospitali kuu shule kuu vyuo vya ukufunzi mashirika ya kiserekali yakataifishwa , na kubinafsishwa freedom one day itakuja tu ya makabila fulani kuogoza kila mara so mungu anaona halali wala asinzii iko siku atambari mtu kutoka kabila la chini lisilo kuwa na muelekeo ili awe mtumishi wa mungu aokoe jamii zisizo julikana na ukumbuke hatojali hela za watu mapapa atakuja chimba mashaka yaliofichwa na viongozi wa makabila yalio fanya uchafu na umimi ,kiburi ,kutojali wengine , kubaguwa, ufisadi wa kupindukia umwagaji wa damu bila hatia ,unyakuaji mali za wanyonge hio siku itafika tuuuuuuuuuu nakukumbusha hilo neno ikifika hatakam utakuwa haupo nafsi yk utakusuta
@tomleeabdulkadir5835
@tomleeabdulkadir5835 8 лет назад
+Tomlee Abdulkadir teresia karocho
@maryngugi1545
@maryngugi1545 8 лет назад
+Tomlee Abdulkadir Nani ameongea upuzi??fala hii jiwekee hio insha unaribu kuniandikia
@kathireen1385
@kathireen1385 8 лет назад
nikweli uizi inarudisha kenya nyuma kabisa..wizi yenye inaone kana.
@rehemasharriff7494
@rehemasharriff7494 8 лет назад
kumekucha kweli kaza khamba wasiibe tena
@beatricechege1612
@beatricechege1612 8 лет назад
baba nimekuhurumiya utakura kwa macho mpaka lini you have to give up
@abumosa9682
@abumosa9682 8 лет назад
hatutaki ujinga yako. wewe nifisi unasema mtu Trisha tena unataka mkati nusu
@staceynina7570
@staceynina7570 8 лет назад
jameni 4/10 ni hasilmia 40%.
Далее
⚡ #RodrygoGoes ✖️ #Mbappé ⚽ #UCL
00:11
Просмотров 881 тыс.
Naibu Inspekta Jenerali Gilbert Masengeli yuko huru
3:00
⚡ #RodrygoGoes ✖️ #Mbappé ⚽ #UCL
00:11
Просмотров 881 тыс.