@@AishahTyler mmh ndg me nilikwenda huko huko nimefanya vipimo likaonekana lina uvimbe maji nikatolewa ila namshokru mungu waliotesha baada ya siku 14 nikafuata majibu nikaambiwa bado halijafika kwwenue saratania
@@Kalssambabo-gv6uh jamani..yako ulitoa ama ulipona ddng.. langu imagine sina uvimbe wowote wala dalili nyengine zaidi ya kutoa hayo maji yakaa n kama kuna damu but nimefanya mpaka atrasoud mara mbili Ivi kipimo kinatoa nipo sawa . niliambiwa kuwa n infection but bado nahisi uchungu ndani.shida kubwa sielewi shida iko kwa titi ama kwa kifua ama n moyo manake ata sijielewi kabisa ddng
@@AishahTyler menilifanya hivo vyote paka kile kipimo kikubwa sijui kinaitwaje wanatoa na sidii ndio ikaonekana uvimbe ila doctr akanambia hakuna shida nikaomba kupima kongosho nikaandikiwa doctr mwngine nikaonane nae wakike chumba number 12 akatanzama kwenye computer akanambia alokupa majibu nimwanafunzi nenda kwa doctr gego kwenda huko akanambia nihatr unatakiwa utolewe ndg sikushauri kukaa hivo nenda tena huko huko kama unataka number za doctr bingwa hapo ocean Road nikupe akakutazame vizur