Mungu naomba upokee baraka zangu fungua milango yangu fungua kazi zangu nifungue mwili wangu fungua kila kitu katika maisha yangu nikafanikiwe na kutukuza jina la bwana Yesu christu naomba unikomboe na unikinge na madui waovu mungu niponye amen🙏
Amina amina kuhani wa Kristo Yesu aendelee kukutunza na kukubariki zaidi hata Mimi nakumbuka ukarimu wako ulitutia moyo sana Mimi na mume wangu Ezekiel, Mimi ni kuhani Lucy Ezekiel.
Pole Sana dady hawakuijuwa kesho yako laiti wangaliijuwa wasingekufanyia ubaya.mageuzi ya yesu hayalinganishwi waliokutazama kwa macho ya nyama ya kalibu yesu alikutazama kwa macho ya rohoni ya mbali Sana kitaifa,kimataifa na dunia nzima utasikika na kwenda mbali sana.goliati,farao nebukadreza walikupiga Vita wakafeli.wakomae siku zinakuja hautawaona tenaaa
Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe, samahani naomba kamati ya huduma iangalie hilo neno Amen au Amina linatumika vibaya au ni uelewa wangu. Kila kitu ameeen. hapana jamani tunashindwa kuwa makini.
Kuambatana na yesu kuna faida,kumtegemea kristo yesu kunalipa.ukimtumikia kristo yesu yeye naye huyatumikia yetu.ukitoa unapata.maombi yanayoambatana na sadaka yana nguvuu.hakika yesu wa ngomeni ni kiboko.yesu aliye ndani ya kuhani mussa ni amina,hakika na kweli.kristo yesu akupe kuishi kwingi balove.
Mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu Atukuzwe-Milele Amina.Ubarikiwe Sanax 3 Isaya 41:. 8 - 20 Napenda sn Mafundisho yako, Kwa sababu ni ya Kiroho Zaidi yanafundisha na kugusa mioyo ya watu - Amina.