Hivi mpaka iweje ndiyo mtamuelewa Muhammad Bachu!! Hana uwezo wakuwazuia kufanya biashara zenu lakini anawafafanulia kwa mapenzi mujiondoe katika uovu na msiwapeleke watu kwa mapenzi yenu katika upotofu. Allah atuongoze sote.
Baraka LLAH fik, Simba mwana wa Simba ALLAH akupe umri mrefu swiha njema na uwezo wa kuwanyosha hawa watu, ALLAH akulinde na kila aina ya shari maana washirikina wana vitimbi, tuko pamoja nawe bega kwa bega, wewe Simba mmoja umezungukwa na koko wengi sana na fujo zao za kubweka wala hushtuk, hoja zako safi wao hata hawaeleweki hawana mashiko.
Wanajifanya hawajaelewa illa Allah anajua kua wameelewa Ila wanajifanya Kama wale Allah anavosema, viziwi, mabubu, vipofu hawaamini. Endelea kuwaelimisha
Pia tuwaombee kwa Allah wawaongoze kwenye njia sahihi. Hawa ni ndugu zetu na waumini wenzetu lakini Iblees naye yuko kazini. Njia sahihi ni kuwafahamisha kwa utulivu na hikma kwa kutumia dalili za Qur'an na hadeeth sahihi. Tusimpe nafasi Iblees kuwatia hasira na kibri kukataa kusikiliza dalili za Qur'an na hadeeth. Lengo ni kutaka radhi za Allah ili kesho atuepushe na moto wa jahanam na sisi tuweke malengo ya kutaka kuwasaidia hawa ndugu zetu. Allah atupe hikma na elimu ya kuwasaidia wao na sisi pia. Inshallah.
Wachakukurupuka mtoto wa bachu akili yako inakupeleka vibaya na kundi lako unalolipotosha ,usitake kujifaharisha Hali yakuwa hunaukielewacho kwenye barazanji wachakujipoteza na kujitafutia laana zaidi unaelekea pabaya shekh
Wanasema wanaopenda mtume wakati sunnah ndogo tu ya kufuga ndevu imewashinda videvu vyao kama mayai wengine katika wao wananyoa ndevu wana acha masharubu wamekua banian sasa wataipenda sunnah gan
Itakuja kufikia kika kitu kwenu bidaa kuomba Dua pia bidaa jaman bac ata adhana bidaa acheni kuleta hoja zenu za kipuuz ss tunataka tufundishwe din yetu tuijue na sio kutuonyesha sifa za mabishano yenu hayana faida kwetu
Tumshukuru Allaah kututoa katika Usufi. Katika nchi za kwetu masufi wanafuata usufi wao kwa upofu. 99.99% katika wao hawajui hata wanachokisema ktk vitabu vyao vilojaa ushirikina
Unaweza kumwambia mtu ewe mwenye kutushibisha kwa sababu kutununulia chips but haimaanishi kuwa kuyo ndie anaetoa risk au kushibisha but yeye ni sababu ya kushiba sisi kwa kutununulia chips
Aina ya mfano kama hio Al Akhy kashadadavua tangu darasa ya mwanzo, Alhamdulillah tumemuelewa, mtu hawezi kumuelewa huyu mpaka moyo wake kwanza uwe umefungamana na kumpenda Allah
Et Weee Mwenye Kutushibisha Daah Mtian huu Cjui Kwann Nyinyi Watu wa kupiga Ngoma Yni Maulidi Mnapenda Shirki Sasa hii Kauli Yko Uwoni kma Kauli Yko ipo kishrikina Zaid 😭😭
Assalamu alaikum warahmatullah wabarakatu , Ahsante akhi hawa watu wa maulidi nisawa na wakristo hoja zao hazina mantiki na hakuna siku mpiga maulidi atakupa hoja na akupe dalili Allah atunusuru.
Yaani hadi nashangaa wanao koment kukushangilia wote hawa wanajielewe kweli? Huwa wanasikiaga kweli na majibu unayo jibiwa? Hapo napata picha kuwa kweli wenda hao wanaokoment ni kweli ni "GENGE" imelitengeneza Sasa ndugu kubali mjadala wa wazi na Sheikh Sabas!!!!
Kuna chengine kinaitwa SAALTUKA YA MAWLAYA TAFRIJA KURBATI hicho ndio balaa, shirki tupu, hicho kitabu kinaitwa ADHKAAR WAL AWRAAD mashirki ya kuwaomba mashekhe hata shekh Abdalla Saleh farsy katika kitabu chake kinachoitwa BIDAA, pia amebainisha shirki zake
Unadanganya sana wasioisoma Qur-an vzuri, acha uongo ndugu, elimu yako ni ya chini kabisa, unatafuta sifa za kijinga, hebu rudia aya ya 171 ya suratul Baqra (Sura ya pili) kuna tofauti ya dua'a na nida'a acha kudanganya Wapumbavu wenzako.
Ya rabbit tunakuomba kwa huruma yako mauling itoweke na waislamu wanyonge wanaodanganywa na mashekh wao wagoner haki waifuate na baada ya hapo waislamu tuungane tuwe kitu kimoja
Masalafi hua mna shangaza sana.shekhe wenu ibn taimiya alipokufa mlikaa masiku mengi mnafanya dua mausiku na mchana leo hii waislam wakienda kufanya maombi kwa waja wema mnapiga kelele
HATA KAMA NI KWELI HAYO MADUA ALIKUA ANAOMBWA AU ANAOMBEWA, LAZIMA UTOFAUTISHE KATI YA HAYO MAWILI. KUMUOMBEA MAITI NI JAMBO LINALOTAKIKANA KATIKA DINI LKN KUMUOMBA MAITI NI SHIRKI
Hao watu wa maulidi hawaongei point hata hawa tueleweshi kwa kujitetea ili waeleweke.maulidi bidaaa kwa dalili zilizo dhahiri.Allah atuweke mbali n'a shirki
Nyie wakereketwa haya yote yeshafahamishwa na Kama kulingania hapa kafeli maana amerejea na kazunguka Mambo ambayo watu weshakinai kwa hoja za Shafii Salim na wengine hebu mtafute nadhani utamuona bachu Kama kikaragosi
Ma Shaa Allah endelea na Rudud wanafunzi wako tuko nyuma yako tukikuombea Elim zaidi na duaa tukikuombea Nakupenda sana Sheikh Muhammad bacho tuko nyuma yako usijisikie unyonge tuko nyuma yako warudi kabisa hawa masufi ....halafu huwa wanafunga sana comment tusicoment ajabu sana hawa masufi
@@alybinmana6197 ndio halafu wanahis sisi kukoment kwa sh.muhamad bachu ni kufanya ghuluu ss tunafuata haq ilipo, km matango pori walitulisha lkn sio ssa
Yaani Me Mfatiliaji sipitwi na Vedio xa Sheikh Bachu Na Hawa wengine ninachokiona Ni Kutokubal kama Sheikh Yupo Ktk Haki wanaumia Kwann Kijana Huyu Haendani na matamanio Yetu tatizo lipo wazi Ukwel Siku zote utakujja Juu na sasa Sheikh anatuletea Wengi tumefunguka Kifikra Sheikh Mkono kwa mkono mpka Firdaus
Nikiwaskiliza wale jamaa hua naisubiria point itoke lkn mda wangu wote pamoja na MB zangu zinapotea Bure ..lkn Kwa Al akhi Ma Sha Allah mpaka moyo unakua na furaha Kwa uwazi wa pont zako ma Sha Allah
Allaah akulinde na akuhifadhi Shekh Muhammad na Shari zote za wenye kuku tazama kwa macho ya husda na uaduwi. Na tuna muomba Mola Mlezi wetu akupe umri mrefu na afya njema, ili bayana ifike mahala husika
Al hatimy na diwani jogoo limeshawika na asubuhi kumeshapambazuka na watu wameshainuka ... mulidanganya watu kwa miaka mengi lakini Allah aliahidi hii dini yake atailinda yeye mwenyewe na Allah huwa ana majeshi yake na mmoja katika jeshi la Allah ni sheikh muhammad bachu Allah amuhifadhi na amlipe mema hapa duniani na kesho akhera endela na kazi yako sheikh yakuelimisha watu na usichoke biidhnillah
mm nasema hivi Allah sw ndie anaejua kila kitu lkn mwendo wako kijana muhamad bachu unasababisha mvurugano wa dini na si jambo zuri mm kma mm nna waswas cjui kna hujanunuliwa na makafir uharbu din ya uislam kwani unakosa ata hekima ya din msiba mkubwa yaani waislam tumekua hiv baada ya kuendesha mbele dini tunafanya ujinga wa kujadiliana
jitafakar ww unayofanya yote Allah sw ameyaridhia na una uhakika wa ibada zako kma ndizo ktokana na vtabu unavosoma? nakunasihi tujitosheleze ile tawhid ulioisema na ww uwe nayo kwamb Tumuache Allah sw awe kila kitu
Allah akulipe kheri na akuzidishie ilmu Al akh Abuu muhaddith Muhammad Bachu,,, hakika unafanya kazi kubwa sana katika dini yetu ,,,wabainishe hawa makhurafi masufi maovu yao ili waislamu wawafahamu ,,,,wala usirudi nyuma kwenye kazi hii hakika waislamu wanafaidika sana ,,, Allah akulipe kheri na akutilie baraka kwenye ilmu yako aaamiin
Diwani Nataka Umjibu Sheikh Mohammad Bachu Kwa Hoja za Kiushaidi wa Qur'an na Adith Sahihi Na Sio Maelezo. Atutaki Maelezo Diwani Hii Sio Siasa Tunataka Ushaidi Kma Anavyo Fanya Sheikh Mohammad Bachu
Asalaamu alaykum shekhe bachu? Allah akuongoze mimi kiukwel tangu nimeanza kukufatilia nimepata elimu kubwa sana na pia nimekua answer kwasasa nimeachana na maulid nimegundua meng sana kua sisi watu wa maulid hatuna hoja za kielimu bali tunatumia kibri na kujitoa ufahamu nahali tunajua kua tumepotea na kupoteza watu kwanza sisi walimu weng wa maulid tukimaliza tu masomo yetu ya din tunakua waganga washikina wakubwa kabisa asante shekhe bachu
Kwakweli Ww Allah amekuleta kufagia fagia uchafu ktk dini Afrika masharki Mm nakuomba ktk ikiwezekana utengeneze kwa lugha nying Kiingereza kifaransa ili darsa zifike dunian kote Cjawah ona ukitoa darsa kwa akili zako kila darsa zako n full vitabu dalili alhmdulillah Allahu taala akuhifadh shekh ibnu Bachu❤❤
ni kweli kabisa na hii ndiyo raha ya kufuata qur-an na sunna ya mtume Muhammad kila kitu kiko obviously i really i really ni raha sana hoja zina mashiko tena yenye nguvu lkn ukija kwa upande wa wale watu wa maulidi yani huelewi unchanganywa changanywa tu hakuna hoja hata ile ya ambayo kidogo ina mashiko hata moja Allah azidi kutupa uelewa katika dini yake
Sheikh Bachu, nakuomba uwaite wwe ssi tutajitahidi kuchanga ili tufanyeni Mdahalo Tena ufanyike MOMBASA. Maana wao hawawezi kukuita na hawatakuja eka no: ya M-pesa Inshaa Allah. Kisha uwaite uwaalike wote wafike kwa ushahidi wako wa vitabu na wao pia sio kuongea kwa akili zenu.
SHEKHE SABASIBUL QUBRA USIMJIBU SIO MADA . ATAKUJA KUTUKANA TU MAANA YUSUFU DIWANI AKIFELI HOJA HUMTUMA HUYO RAFIKI YAKE ALOJITOA UFAHAMU NAKUJA KUTUKANA MARA KO MARA SIJUI MAPIGO GANI NI HOVYO TU. WE TUPE ELIMU TUZIDI KUKINAI . KUWAONGOZA WATU NI JUKUMU LA ALLAAHU
Huu ni mjadala kati ya watu wa haki wa tawheed nao wana hoja nzito za Quraan na sunna na watu wa baatil wa shirki nao wanalinda matumbo yao na wanafuata tamaa na mazoea na wabaki wakicheka leo sana lakin akhera wasiorudi watalia sana. Utawakuta hawana dalili zaidi ya kejeli laki sheikh Muhammad Nasor Allah amuhifadh anatia hikma na sio jazba na kejeli kama hao wa upande wa baatwil wanaotetea tamaa na matumbo tu. Mzes Shahran kasome na uwache kufuata tamaa maana wewe u mzee hufai kusema uyasemayo. Nilifikiria una bisara kabla lakin nakunasih umashuhur hauna muda na hautakusaidia ķitu