Mungu baba wa mbingini mwenye mamlaka hapa chini na juu mbingini jina lako lihimidiwe na ufulume wako utukuzwe tunakushukuru kwa ulinzi wako mkubwa na kuturejeshea mtu alieshika dhamana yetu madarakani mungu mrinde na umukinge kati ya maadui wake amina
Bwana yesu wewe uko karibu sana na mtumishi wako makonda mlinde mtumishi wako mpe afya ya Roho na mwili aweze kufanya kazi uliyo muitia bado kazi ajaikamilisha baba wa mbinguni uyu niwako yelemia 33:3
Asante Mungu kwa yote Tunamweka Makonda mikononi mwako umlinde kwa Kila baya zaidi umjaze ujasili Hekima na Busara katika utenfaji wake Hilo awe mtetezi was wanyonge wanaoonewa
Yaani mungu yuko makini na kiongozi wetu mzuri na mungu wetu ulie hai tunakuomba endelea kuwa makini na makonda wetu wachawi wasijaribu wabaya wasijaribu kumutafuta mungu yule yeyote atakae jaribu kumutafuta mtetezi wa wanyongo mutangulize yeye mungu na nasema Asante mungu kwa kuitikia Ombi hilo
Ee mwenyezi mungu mlinde sana Mh . Makonda kiukweli ni msaidizi wa watu wanaonyanyaswa Arusha watu waliteseka sana mungu ukamleta baba wakugomboa Arusha yetu
Da asate mungu kama kiogozi wetu yu hai asate mungu kwa awamu nyingine tena baba tunakupenda sana sisi wanaichi wa hali ya chini kumbuka baba hata yona alitumwa na mungu kwenda kwenye mji wa ninawi na mungu kwenda kuwaponya wana wapotevu lakini wengi walimkatisha tamaa ila mungu wake akamkubusha tena kwa hiyo hata wewe ajaribu ni mengi sana kwako ila mungu yuko pamoja na wewe
Ashukuriwe Mungu asikiae maombi yetu watanzania3umerudi salama kiongozi wetu ulindwe na ulinzi wa mbinguni na ulinzi wa duniani Damu ya Yesu ikuzingire pande zote ❤
Huu ulofa wenu unavunja heshima na ustaarabu wetu watanzania.vichwa vya habari na clip mnazoonesha havina uhusiano,uhalisia Wala ukweli.Watu wanashukuru Mungu kwa taarifa zisizo za kweli
Mungu ni mkubwa aendelee KUKULINDA na bado tunakihitaji sana si kwa nafasi ya uliopo kwa sasa tunamuomba mwenyezi Mungu upandishwe na uinuliwe juu zaidi mara mbili zaidi Amin
Hii sio ya kweli ya siku nyingi hapa kwenye msiba wa mkapa alikua katumbuliwa na magufuli hapa alikua raia wa kawaida kashaondolewa kwenye ukuu wa mkoa dar