Mimi niliteseka sana niliangaika huku na kule sikupata afueni mwisho wa siku nilijikabizi kwa Mungu niingia thieta nikafanyiwa operation japo kulikuwa na changamoto nyinyi ila nilifanikiwa kutoka
Kama n binadamu anamtesa binadamu mwenzake hivi Hawa hutaingia kaburini mpk ushuhudie wabaya wako wakilipia mateso yako na inaweza kuwa wanateseka na hawatakua na aman kamwe
Hii mizimwi akitaka kupona aokoke kisha aombewe sara ya toba atolewe huko alipo wekwa na kubadili damu ya ukoo na kuweka damu ya yesu lasivyo mtihani bado upo
Hawa Mungu akuponeshe lkn quran yote ni dawa . Jisomee suratul fatha . Ayatul kursi . Na kuwa ktk imani yako kwa sisi waislam haifai kwenda kwa waganga au kuombewa na mana bii.
Yani jituzima kabisa et zumalid hiv wew huwezi kumubud mungu mpaka umtegemee binadamu kwanin ndo anafunguo ya kumuona ufalme wa mungu au ni matendo Yako tu