فلايبارك الله لكم وعليكم ويجمع الله بينكم على خير ويرزقكم الله الذرية البطنة الصالحة ويفتح الله أبواب الرزق والخير والبركات والرحمة اللهم آمين يارب العالمين ❤🎉☝🤲☝
Mungu akubariki wewe na wako, mungu akukusanye katika wema, mungu akujalie uzao na tumbo zuri. Mungu afungue milango ya riziki, fadhili, baraka na rehema, Amina, Mola wa walimwengu❤🎉☝🤲☝
Mbona wengine mnamuangaliya vibaya bibi halusi shida nini mkome na vijicho vya husuda mlitaka asiolewe nyooo wewe binti unaemuangaliya vibaya mwenziyo koma