Тёмный

MAMAYANGU KICHAA PART 2 

Steve Mweusi
Подписаться 1,6 млн
Просмотров 1,6 млн
50% 1

#school

Опубликовано:

 

6 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,9 тыс.   
@Steve_Mweusi
@Steve_Mweusi Год назад
JAMANI ZIKIFIKA COMMENT ELFU MOJA TUTAPOST MWENDELEZO HAYA TWENDE KAZI COMMENT KAMA UNATAKA IWE HIVYO NA PIA ASANTE KWA SUPPORT YAKOOOOO
@Setifils
@Setifils Год назад
Kazi mbele bwana steven king of 🇹🇿 comedian
@machiyajofrey1672
@machiyajofrey1672 Год назад
Tuko pamoja sana @steve mweusi endelea kuchapa kazi ,Mwamini Mungu atakuzidishia zaidi,@ Jesus Christ..
@DEF832
@DEF832 Год назад
❤❤❤
@khamisyaa6927
@khamisyaa6927 Год назад
😂😂😂
@gun60jgt40
@gun60jgt40 Год назад
Zitafika usiwaze we andaa mzigo kaka
@joshuasakwa1548
@joshuasakwa1548 Год назад
With Steve and clemo, I can confidently say bongo movie is back, 💯 love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mwanaashahamisi554
@mwanaashahamisi554 Год назад
Kama wewe ni 😢mzazi umetokwa na machozi kwa hii movie 😢gonga like yako 😢
@خديجهالبلوشي-د4ك
sio kutokwa tu nimelia haswa😢😢
@mwanaharusimohamed2408
@mwanaharusimohamed2408 Год назад
Daaaah swezi aki😢😢😢😢
@PauloMagoti
@PauloMagoti Год назад
Kiukwel imeniumza sana
@mwanaashahamisi554
@mwanaashahamisi554 Год назад
@@PauloMagoti Yani hii movie iko kwenye uhalisia wa Sasa tunayoishi kwahaya maisha yetu ya Sasa , mtoto mdogo unamnyanyasa kweli 😭😭so sad
@reynaah-zo4rw
@reynaah-zo4rw Год назад
Atakama sio mzazi ila ap😭 lazima jamn
@ManenomoshiabdallahManen-tk1nf
Umetisha sana stivu saruti kwako Stiven wewe nimekuvulia kofia pamoja na huyo mbibi
@queenandchill91
@queenandchill91 Год назад
Nawashangaa sana wanawake wanaotesa watoto ambao hawajawazaa sijui uwa wanafaidika nini. Kazi nzuri Steve🇹🇿✌🏼
@user-samweli
@user-samweli Год назад
Hapa tuna funzwa tu kwamba haya yapo kwenye hii dunia
@queenandchill91
@queenandchill91 Год назад
@@user-samweli Ndiyo yapo na ndio maana nimesema uwa nashangaa sana .
@muhozastanslaus8402
@muhozastanslaus8402 Год назад
Uko sawa
@GabrielMosoni
@GabrielMosoni 11 месяцев назад
mtakat lol f 😊
@ChristianAssumani-s7q
@ChristianAssumani-s7q Год назад
I'm from Congo but this series makes me cry courage really you did well
@fatumajuma9388
@fatumajuma9388 Год назад
Ongera sele❤❤❤Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💞💞💞Mungu akulinde na Husda In shaa Allah 🙏🙏🙏
@lalylaabdi2572
@lalylaabdi2572 Год назад
Ameen
@Wasynafylifestyle
@Wasynafylifestyle 4 месяца назад
🥲🥲🇰🇪
@hadijasuleiman3856
@hadijasuleiman3856 Год назад
Sele umejuwa kuniliza Sana😭mama ni mama hata awe chiz jmn tuwapendeni mama zety love you Mom😭🙏 like zangu kwaajil ya sele
@patricianyariki620
@patricianyariki620 11 месяцев назад
😂
@HelanaMathei
@HelanaMathei 10 месяцев назад
Sele anammwambia huyo mama "eti we mama yang utamuweza anapigana had na baba🤣🤣🤣🤣🤣🤣😘😘😘
@hadijasuleiman3856
@hadijasuleiman3856 9 месяцев назад
@@HelanaMathei 🤣🤣mbavu zangu mieee
@HelanaMathei
@HelanaMathei 9 месяцев назад
@@hadijasuleiman3856 huyo mama apana
@FelixKamuti
@FelixKamuti Год назад
You always make my day stive Kwanza Vile unapenda kumtanja Hamandi kijicho😂😂 anyway Felix hapa kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪nakupa likes zangu👍 7:02
@ElikanaGelad-gc2ll
@ElikanaGelad-gc2ll Год назад
Jamn unapotaka kuoa mwanamke wapili ufikilie sana Tena kuwa mkin san ndugu
@alfredkasololo5242
@alfredkasololo5242 Год назад
Hii jambo unacheza, dada Hadjira, sikupendi. Kweli !!! Unacheza umama mbaya😭😭😭🇨🇩💟. Na japo mama ni chemu chemu ya mapenzi
@dozepofficial6465
@dozepofficial6465 Год назад
Mwanetu kutoka mkulanga 😂😂😂
@HelanaMathei
@HelanaMathei 10 месяцев назад
Steve mweusi anakooesha wanawake tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Zamdaabdalla
@Zamdaabdalla Год назад
Kazi mzur sana nimeipenda tunafunza sana kupitia hii move
@Kingboyjuniorderrick
@Kingboyjuniorderrick Год назад
More love from kenya🎉🎉🎉🎉na upitie nyimbo zangu Steve mm nwako bloody
@TimeMasoud-n1k
@TimeMasoud-n1k Год назад
Ww ndio baba bora naipenda iyo kuwajasiri baba wako wengine hawawapendi hata watoto wao wa kuwazaaa❤❤❤❤
@Iam_Bosco
@Iam_Bosco Год назад
How can like these series a thousand times 😊❤❤
@debamba
@debamba Год назад
reta muzigo part3
@MariaCheleko
@MariaCheleko Год назад
Nc
@SaidaSalim-dz6pc
@SaidaSalim-dz6pc 9 месяцев назад
Jaman mungu amlani mbwa huyu aspate mtoto
@JuliethLaizer-y9n
@JuliethLaizer-y9n Год назад
Sele unaju kuigiza mpaka unaniliza nakupenda sna❤
@moreennafula1765
@moreennafula1765 Год назад
TANZANIA NAWAPENDA SANA .. LOVE FORM KENYA ❤
@ProsperMwalongo-l4t
@ProsperMwalongo-l4t Год назад
🎉
@WakienyejiSamwel-zu3qg
@WakienyejiSamwel-zu3qg Год назад
Mama nimama tu atakama nikicha tuwapende mama zet
@HasnabiKamtande
@HasnabiKamtande 11 месяцев назад
Tunakupenda Pia
@Wasynafylifestyle
@Wasynafylifestyle 4 месяца назад
Tumetoka western kenya hadi Tanzania 🫶🫶
@hellenhellen3615
@hellenhellen3615 Год назад
From tik tok ..crying and following it to cry very funny the video is worth listening
@MohammedRaso-s9j
@MohammedRaso-s9j Год назад
All the way from Mombasa Kenya....kazi safi...❤❤ love you guys
@ZainabuorestiOresti
@ZainabuorestiOresti Год назад
Masha Allah mzuri TU sana wallah tena ❤
@kusasiraarthur2764
@kusasiraarthur2764 Год назад
How can I like these series a thousand times 😊❤❤❤❤❤❤
@jumafrancis855
@jumafrancis855 Год назад
Congrats lete part 3
@Johar903
@Johar903 Год назад
Part 3 linii
@WakienyejiSamwel-zu3qg
@WakienyejiSamwel-zu3qg Год назад
Ongeren sana
@ShurweRinah-bc1ix
@ShurweRinah-bc1ix Год назад
Maskini ya mungu wallh natamani upendo wa mamangu❤❤❤🧑‍🍼🧑‍🍼🤱🤱😭😭🙆🙆🙆🥹🥹🥹
@SwaumuMwasha
@SwaumuMwasha 7 месяцев назад
🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽
@fmg546
@fmg546 Месяц назад
😂😅🎉😊😮😢❤
@Setifils
@Setifils Год назад
Kazi mbele bwana steven king of 🇹🇿 comedian
@ijidionjiru540
@ijidionjiru540 Год назад
Your best fan From Nairobi Kenya. Mko juu sana man
@EmmaNiyonkuru-kg4ky
@EmmaNiyonkuru-kg4ky Год назад
Nimejikuta nariya machozi mengi kwasababu mama yangu mpaka afariki Arikuws mwenda wazimu hivyo hivyo 😰😰😰😭💪😭
@willegamba1479
@willegamba1479 Год назад
Pole sana bro inagusa sana
@shadrackndossy8181
@shadrackndossy8181 Год назад
Pole
@cathemn5788
@cathemn5788 Год назад
Pole Sana 😢😢
@NsikuKabembo
@NsikuKabembo Год назад
😢😢 blaza mimi niko Congo drc kwa jina naitwa Dieudonne serizi iyi ina niliza sasa mimi na familia yangu kiujumbla asante sasa mungu azidi kumipa marifa tena.😢😢😢😢😢❤❤❤❤
@kisotaleonard
@kisotaleonard Год назад
kaka kazi nzuri mungu akuongoze na visokoro kwinyu wasiopenda maendeleo ya mtu❤❤❤❤
@carolyneokoma
@carolyneokoma Год назад
Can't hold my tears, but the boy is purfect though
@princekillian3640
@princekillian3640 Год назад
Wakwanza leo from kenya 🇰🇪much love👊💥💥
@noellahmakorongo5473
@noellahmakorongo5473 Год назад
Kwa dogo sele nimeliaaah weeee😭 kwa Steve nikacheka 🤣🤣much love dogo sele nakukubali sana❤❤❤❤❤
@DavidMalle-m6l
@DavidMalle-m6l Год назад
Kazi zuri dogo sele mngu akutanguli katika maisha❤❤
@Chedowork258
@Chedowork258 Год назад
Kazi zuri dogo mungu akutaguli katika maicha yako🎉🎉🎉🇲🇿
@emanuelngonyoka871
@emanuelngonyoka871 Год назад
Steve una very talented actors& actresses keep going
@juliassamweli2048
@juliassamweli2048 Год назад
Kazi nzuri kaka ❤ Sele umejitahidi mdogowang ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MinimanFrancis
@MinimanFrancis Год назад
Daah wakwaza leo nipe like 👍 ❤❤❤🎉
@FavourGeorgez
@FavourGeorgez Год назад
Why am i weeping anyway sele is a creative man
@ahmedsdk6736
@ahmedsdk6736 Год назад
Daaah Mambo ya Kutoana Machozi Hayaa Mara ya Mwisho Mm kutoa Chozi ilikua N filam ya Kihindi HATYA ya Govinda..!!! Wallah Leo tena Nimelia Hiyo Scene Ya Kumlipisha Nyanya Kichaa Imenitoa MACHOZI 😭😭😭😭 Et Chukua Msamehe Mama yangu Ata Mm hiyo Ela narudisha..!!
@mbarukuabdallah2891
@mbarukuabdallah2891 Год назад
Same to me
@NubisonBunera-em7oy
@NubisonBunera-em7oy Год назад
😭😭😭😭😭😭 Daaaaaaaa!!!! Adi chizii analipishwa nyany a jamani mhhhhh!!! Dunia hii atali sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SafinaRamadhani-eb8rf
@SafinaRamadhani-eb8rf 3 месяца назад
Kazi nzuri sele 🎉
@HelanaMathei
@HelanaMathei 10 месяцев назад
Steve mweusi anakooesha wanawake tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 half anammwambia boss wake eti amanembeleza sn🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌
@enosokwaro14
@enosokwaro14 Год назад
Much love from matungu kakamega county in Kenya
@omarmweri7882
@omarmweri7882 Год назад
Funzo tele wallah kwa hii movie, Steve kakake Hamad kijicho nakubali matokeo Sele pia moral kwa kazi nzuri alafu Hajra acha roho chafu wamtesa sana Sele🤣🤣.
@gun60jgt40
@gun60jgt40 Год назад
Mko fasta hatari ❤much Love mweusii
@mfalmekitaofficiel
@mfalmekitaofficiel Год назад
Good job Steve mweusi, one love from DR CONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩.
@mutundaaugustinaugustinmut8914
Courage stiven Mukuranga hamadi kijicho tuta muona siku gani 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@MrVicky-m6w
@MrVicky-m6w Год назад
So smart steve na hamadi kijicho nataka kumwona
@mapatoclassic
@mapatoclassic Год назад
❤❤ Kaka Steve dogo katumia hakili nyi Sana 🇹🇿🇹🇿🙏🙏 mungu azidi kumuongezea hakili
@Aisha-s6w7g
@Aisha-s6w7g Год назад
The series is fantastic
@kevy254
@kevy254 Год назад
Young man uko more fire. Nakupata vizuri nikiwa Nairobi ❤
@Pierre-f8c
@Pierre-f8c Год назад
Nawashangaa sana wanawake wanaotesa watoto ambao hawajawazaa sijui wanafaidika nini, kazi nzuri sana steve🇹🇿🤝
@AminaAlfan-v8v
@AminaAlfan-v8v 15 часов назад
Kabixa
@PascalNduwimana-vk6vo
@PascalNduwimana-vk6vo Год назад
Steve mweusi unaweza. Naweka Mungu mbele yako utaendelea ❤❤
@francismuthiani349
@francismuthiani349 Год назад
Mbele pamoja ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪
@enosmwema3828
@enosmwema3828 Год назад
Continue educating us and at the same time entertaining us❤❤
@ChoraleBmukungu
@ChoraleBmukungu Год назад
Creativity❤❤
@MR.DIESEL-i7z
@MR.DIESEL-i7z Год назад
Stive never disappoint😂😂😂😂😂😂😂
@saidbaraka8996
@saidbaraka8996 Год назад
❤❤❤❤sele ft steve
@vyizigirochanceline1215
@vyizigirochanceline1215 11 месяцев назад
Oky
@EsperanceNyirarwaka-sj4dc
@EsperanceNyirarwaka-sj4dc 9 месяцев назад
Kama I mama
@josephineuwizeye8250
@josephineuwizeye8250 Год назад
Courage Mr stève c est une leçon!
@zamdaamissiamissi3317
@zamdaamissiamissi3317 Год назад
Inauma sana adi tumbo la,uzazi linageuka
@aikaignasi4292
@aikaignasi4292 Год назад
Mmejua kuniliza sana, Ee Mwenyez Mungu naomba unipe maisha marefu na yenye afya njema niwez kuwalea watot wangu
@EdnaMadudu
@EdnaMadudu Год назад
Hadi nimelia hapo alipo sema msamee mama yangu 😢😢😢
@Mimah-i5e
@Mimah-i5e Год назад
Really machozi yamenitoka
@saifullahalimas3002
@saifullahalimas3002 11 месяцев назад
Kosa hapo dogo sele amekutana nahuyu mama akaenda kumteteya dogo kwao huyu dogo angegoma kumpeleka yule mama dogo angekimbia ili amuonyeshe yule mama kama maisha yake magumu ili yule mama atafute babayeke na dogo sele hapo umearibu ila Bigger up sana nakubali sana ❤❤❤
@emmanuellkfightforjusticea2474
Thank you for the good Educations Steve. I follow you from italie
@MrasiGidai
@MrasiGidai 19 дней назад
Kazin nzuri unaifanya stivin onyesha mfano kwa jamii
@russdavy4918
@russdavy4918 Год назад
Good chemistry 👊
@saumuomar-ge5rk
@saumuomar-ge5rk Год назад
Inahuzunisha sana but pia inafundisha....congrats bro tupe muendelezo plz
@mohammedganyuma3445
@mohammedganyuma3445 Год назад
😢😢😢😢 nashindwa kujikaza hii inasikitisha sana...kz nzuri🎉
@Njerii301
@Njerii301 11 месяцев назад
inaliza sana unashindwa ata kuzuia chozi😢😢
@boomrapa9879
@boomrapa9879 Год назад
Itabidi tuingie mpaka vijijini .maan hii chuma kali saana🔥🔥🔥
@clarejeps
@clarejeps Год назад
So educative to we women ,, I feel so touch let love children , even. It's not our own❤
@FestoMahayu
@FestoMahayu Год назад
Khjjjjttt😢 guy is yuuuhbnnb 2:32 😊 I
@Latifa-ob7dc
@Latifa-ob7dc Год назад
Jaman mnatukumbusha mbali sana sele uko vizuri sana
@DerickAsifiwe
@DerickAsifiwe Год назад
Kali saan asee sema mzee ndaro angehusika pia ingkua unyama
@MRCHARLES277
@MRCHARLES277 Год назад
Good job😊
@philipmutua6643
@philipmutua6643 Год назад
Kazi Yako nzuri sana! alafu nataka kuja Mkulanga
@muyangetv
@muyangetv Год назад
Good job bro❤❤❤
@DismasBayubahe
@DismasBayubahe Год назад
Pole sana dogo sele yatapita ,nawapenda sana from BURUNDI 🇧🇮
@OnesmoNjulumi
@OnesmoNjulumi Год назад
Nice one Stiven from Iyayi😂😂
@amosidaniel1830
@amosidaniel1830 Год назад
Kazi zuri san mwenyezi mungu akutangulie katika maisha yako mdogo wangu upo vzr san
@officialkevinr7
@officialkevinr7 Год назад
Is good 😢🔥🔥🔥🔥🐐 Dogo sele❤
@AntonyLuganje
@AntonyLuganje 5 месяцев назад
Kazi nzuri sele Mungu akutangulie kwenye Maisha yko,mama n mama tu hta awe kichaa vpi
@francisca_cc
@francisca_cc Год назад
Big up to this series ❤🙌
@BibeBoaziBivaniLuhangela
@BibeBoaziBivaniLuhangela Год назад
Comment naipenda sana comedian kwasabu una nitowa kwenye stress
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Год назад
Creativity 😊😊😊😊
@KapondaZenaida-g3z
@KapondaZenaida-g3z Год назад
Move nzuri Sele kazi nzuri
@rayvanny2629
@rayvanny2629 Год назад
So touching ❤❤ Good work
@justinendayisenga7180
@justinendayisenga7180 Год назад
Wakwanza from Burundii❤ tunaipendaa sanaaa
@ReginaYangu
@ReginaYangu Год назад
Good job Steve
@NyerereKilindu
@NyerereKilindu Год назад
Aisee hongera kwa move kal tunafurahia san
@TOO-MUCH-MUSIC
@TOO-MUCH-MUSIC Год назад
Kali 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Natashagichimu
@Natashagichimu 5 месяцев назад
Congratulations bro you have good songs 🙏🙏🙏 May God uplift your visions and and your target in your talent in Christ Jesus name ❤❤❤🙏🙏🙏🙏 i love your songs 👌👌👌👌👌be strong
@getsanyaledy8608
@getsanyaledy8608 Год назад
Pamoja sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤
@warriorking9227
@warriorking9227 Год назад
Yani nimeinjoyi video Sele Naku salute mdongo wangu
@VincentKashindi-vj4qo
@VincentKashindi-vj4qo Год назад
Good 🔥🔥🔥
@ramadhanjmzuzury4111
@ramadhanjmzuzury4111 Год назад
😢
@JuxOmari
@JuxOmari 11 месяцев назад
Tunazidi kuwa pamoja kutokato Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC✌
@delphinajohn8463
@delphinajohn8463 Год назад
The series is very nice I like it❤
@NeliaKayuni-ft2ol
@NeliaKayuni-ft2ol Год назад
Jamani ndiyo waliopitia wanangu nakupemda sana sele from Swaziland
@CharlesErney-xp1in
@CharlesErney-xp1in Год назад
🔥🔥🔥good
@HitamPassim
@HitamPassim Год назад
Kazi nzuri aisee respect 💪
@neemamatua9572
@neemamatua9572 Год назад
Next please😂🙏🥰
@abelgosbert684
@abelgosbert684 Год назад
Umetisha sanaaa,mpaka machozinyaani
@masterjemoh880
@masterjemoh880 Год назад
Leo npo on time.... Npewe likes wadau❤
@EliasBigirimana-th2gn
@EliasBigirimana-th2gn Год назад
Good job
@AbdallahKonde-s4p
@AbdallahKonde-s4p Год назад
Kazi safiiii.........abdallah from Mombasa Kenya
@alicegathigi2459
@alicegathigi2459 Год назад
I love this ❤️
@JacksonMkomangi-oi9hn
@JacksonMkomangi-oi9hn Год назад
Hatali dogo aenderezwe
@HelanaMathei
@HelanaMathei 10 месяцев назад
Na apewe tuzo🏆🏆🏆😘
@alexjohn6143
@alexjohn6143 6 месяцев назад
Nice 'mama kama huyu anakuwa hazai🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😮❤
@daudiedward2082
@daudiedward2082 Год назад
🔥🔥🔥
@AlexJumanne-ls5gm
@AlexJumanne-ls5gm Год назад
😅😅😅 ila Steve movie nimeiangalia kwa huzuni ila hapa mwishoni mwishoni umenifrahisha kwenye kuzidisha chenchi🔥🔥🔥
@HelanaMathei
@HelanaMathei 10 месяцев назад
Nimeipenda ☕☕
@MulemangaboKahasha
@MulemangaboKahasha Год назад
🎉🎉🎉❤❤❤
@ESHIMONWENDUME
@ESHIMONWENDUME Месяц назад
Hapo sasa sele angekutana na mama yake mzazi jiani
@samwelgithinji6208
@samwelgithinji6208 Год назад
This story is so touching possible igive five star ⭐ ratings kudosh 👋
@BAHATIKIBA-ul6wx
@BAHATIKIBA-ul6wx Год назад
Congratulations Steve Family Nakubal Xan Kaz Ambay Mnafanya Na Hili Lazm Tushike Adabu Nakupat Somo Kweliiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Далее
MAMAYANGU KICHAA PART 3
13:05
Просмотров 786 тыс.
CHABO MAMAMKWE
10:02
Просмотров 448 тыс.
Blue vs Green Emoji Eating Challenge
00:33
Просмотров 5 млн
Women’s Free Kicks + Men’s 😳🚀
00:20
Просмотров 9 млн
这位大哥以后恐怕都不敢再插队了吧…
00:16
MAMAYANGU KICHAA FINAL
20:30
Просмотров 829 тыс.
WATOTO WA TALITHA WAKICHEZA AMAPIANO
4:23
Просмотров 86 тыс.
USIMDHARAU  USIEMJUA ONA DOGOSELE NA STEVE KILICHOMKUTA
11:11
STEVE NA MKEWAKE ANAOA  HUYU NDO MKEWAKE
10:27
Просмотров 220 тыс.
DOGO SELE NA BOSI KIMARO UTACHEKA DALALI WA MCHONGO
13:26
MAMA YANGU CHIZI
23:37
Просмотров 615 тыс.
NIPE MWANANGU (PART 1)
10:20
Просмотров 470 тыс.
Blue vs Green Emoji Eating Challenge
00:33
Просмотров 5 млн