Тёмный

MAMBO YA KUZINGATIA SIKU HIZI ZA MWISHO - Rabbi Abshalom Longan 

Beit Abraham ( Nyumba ya Abraham)
Подписаться 14 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 126   
@GodfreyMrope-o1r
@GodfreyMrope-o1r 16 часов назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa BWANA kwa ujumbe mzuri.
@MoosaMd-h6b
@MoosaMd-h6b 5 дней назад
Asante sana Mungu kwa kunipa neema ya kulisikia hili
@wilhelmsabas8835
@wilhelmsabas8835 2 дня назад
Waumini tunashukuru Mungu mmoja nafsi tatu amina
@rytv7339
@rytv7339 2 месяца назад
Mungu akubariki sana Mwalimu. kupitia mafundisho yako najengeka kiimani zaidi .pia na mapenzi ya YESU ndani yangu yanazidi kuwa makubwa ubarikiwe sana ...
@byoseasolokoci7257
@byoseasolokoci7257 2 месяца назад
Bwana Yesu akubariki sana mtumishi
@ZawadiFaradja
@ZawadiFaradja 15 дней назад
Mungu akubariki saana baba
@wilhelmsabas8835
@wilhelmsabas8835 2 дня назад
Amina cg kwa mahubiri yako
@EvelinWilson-zx6uq
@EvelinWilson-zx6uq 2 месяца назад
Amen.Baba Mungu akubariki sana kwa ujumbe huu waneno la Mungu najengwa sana.
@augenmagabila3081
@augenmagabila3081 2 месяца назад
MUNGU azidi kukuinua Bishop wangu. Injili ya hivi haihubiriwi tena kwenye makanisa mengi. Hakika Bishop nakuombea Roho Mtakatifu azidi kukuongoza na kukufunulia mafundisho zaidi ya aianjili ya Yesu Kristo Mwokozi wetu. Yesu yu arudi mapema sana.
@aminamsafari2407
@aminamsafari2407 13 дней назад
Asante Mungu akubariki kwa neno la uvuvio nakutueleza kurudi kwa Yesu Kwa kina.
@japhetmasai9954
@japhetmasai9954 2 месяца назад
Napata mafundsho yako ni mazuri sana nimebarikiwa nabii wa bwana abshallom, na mungu akubariki sana mtumishi, 🙏 amen 🙏 🙌
@japhetmasai9954
@japhetmasai9954 2 месяца назад
Amen 🙏 hallelujah mungu akubariki mtumishi ABSHALLOM
@HidayaFaustine
@HidayaFaustine 12 дней назад
Naomba mniunge kwenye group la Abrahamu mtumishi
@BerithaMerchades
@BerithaMerchades 10 дней назад
ubarikiwe na mungu ariyeweka huduma hii ndani yako natamani nikuone raiv
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад
Mungu tufungue macho Ya Rohoni tukuone wewe tukwamini wewe tukusikiye wewe tukupende wewe Mungu wa wabinguni tusaindiye Yesu
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад
Mungu tusaindie Mungu nyakati za mwinzo Mungu tubinganiye nyakati inzi za mwinzo Vita vikali sana via rohoni Yesu niongoze niongohe yese nisaindie Yesu nisaindie mwokonzi niondowe Kwa shita nipe ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi Kwa jina la Yesu Kristo wanasareti
@kavirajanine4893
@kavirajanine4893 21 день назад
Mungu atusaidiye sana kabisa Mtumishi ni mshangawo kwa Kweli
@leoteryezekiel9745
@leoteryezekiel9745 2 месяца назад
Glory be to the Almighty God 🙏🙏. Katibu sana mbozi-mlowo kabla mwaka huu haujaisha
@Martine-bd3sy
@Martine-bd3sy 2 месяца назад
Alléluia Bwana Yesu kristo asifiwe saana .kwa hii mafundisho makubwa hakutumbusha kuya tayari..Bwana Yesu akubariki sana .ubarikiwe n'a Bwana Yesu kristo.
@OridaFungoh
@OridaFungoh 19 дней назад
Mungu aendele kukupa afya na mafunuo zaidi mtumishi nabarikiwa
@KazunguRose-fq7gz
@KazunguRose-fq7gz Месяц назад
Ameen ubarikiwe mtumishi ni kwel yesu ana adaa kanisa kwel tunaishi nyakati za mwisho na za hatari
@HidayaFaustine
@HidayaFaustine 12 дней назад
Mungu akubariki mtumishi njoo na mara tarime
@theresiapaulla741
@theresiapaulla741 2 месяца назад
Mungu azidi kukuinua zaidi mafundisho yananibariki saaana unazungumza kweli tupu. Mungu atufungue macho tuzingatie. Ubarikiwe Askofu.❤
@HappinessMwambapa
@HappinessMwambapa 21 день назад
Baba karibu Sana Sana mbeya mjini, Eeeeee MUNGU wangu, Achilia Roho ya Neema na maombi juuu ya kanisa lako asiwepo wakubaki.
@happynescostat7420
@happynescostat7420 20 дней назад
Nimependa Sana mafundisho yako mungu akupe ekima nyingi namaarifa
@NgoshaJaphet-zo4sq
@NgoshaJaphet-zo4sq 2 месяца назад
Yani Baba,daaah!!! Mungu anisaidie injili unayoihubilia haipo tena Endelea mbele tu baba angu
@magrethmkemwa9287
@magrethmkemwa9287 2 месяца назад
Mungu wa Bwana wetu Yesu kristo Akubariki Sana,Nakumbuka ulikuja Iringa
@GasperKayanda
@GasperKayanda 23 дня назад
Mungu ni mwema inatisha sana Mungu atusaidie
@EdinaMwakasala
@EdinaMwakasala 2 месяца назад
Asante sana Mungu bb kupitia nguvu ya roho mtakatifu.nimeunganishwa na hii chaneo ya mtumshi wako.Anaye nihubiria ujilio wa mwanao Yesu kristo.Niomba bb uniongeze imani sn mimi na uzao wangu tusije tukamezwa na mambo ya shetani.Tuwezeshe kushinda.
@jeanmujumba1282
@jeanmujumba1282 2 месяца назад
Mungu akubariki mtumishi kwa kuachilia ujumbe huu wa wakati. Mungu aturehemu!
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад
Hakika Kuna nabarikiwa Sana Mimi Kwa mafundisho haya Mungu akubariki sana barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu
@Asifiwe-u5u
@Asifiwe-u5u 18 дней назад
Barikiwa sana babaangu kwa neno la ufunuo
@godfreylickson
@godfreylickson 2 месяца назад
Ee MUNGU nisaidie mim mwenye dhambi uniokowe na nyakati izi ngum maana hata yamefichika Sana haya mafumbo .nawenye kuyajuwa Ni wachache ubarikiwe daima mtumishi wa yesu kristo
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 2 месяца назад
Asante Kwa ujumbe huu dah
@sammwakalinga2705
@sammwakalinga2705 2 месяца назад
Asante mtumishi wa mungu mungu azidi kukutia nguvu zakufunua mambo ya siku za mwisho
@AseyDada-cq9ju
@AseyDada-cq9ju 2 месяца назад
Nimependa sana mafundisho yako yananijenga tena
@fadhilamguluka938
@fadhilamguluka938 2 месяца назад
Mungu atusaidie sn maana hii ndiyo lnjili ya kweli
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад
Mungu tuongezee Imani Yesu tuongezee Imani Yesu tusaindiye hu wakati wa mwinzo Mungu tushidanie Yesu tuongezee Imani
@fadhilamguluka938
@fadhilamguluka938 2 месяца назад
Ameen lnjili hii ni ya kweli Mungu tusaidie sn sn
@EliudiMoleli
@EliudiMoleli 2 месяца назад
Mimi eliudi nakupenda sana mtumishi mungu amekuinua saa hii Kwa ajili ya kurudisha kanisa kwenye njia endelea mbele mungu akubariki sana
@MeshackAbdala
@MeshackAbdala 2 месяца назад
Nimebarikiwa sana Bishop nipo Tanga karibu sana
@justinmulagala1296
@justinmulagala1296 2 месяца назад
Amen Mungu unikumbuke katika ufalume wako
@byusaajumapili6750
@byusaajumapili6750 2 месяца назад
Mchungaji asante sana kwa mahubiri Mazuri .nayapenda sana mahubiri Yako Juju ahihubiriwi tena unakuwa tutabarikiwatu .lakini kutuhambiya tuhache zambi yesu anakuja akuna ni towa ubarikiwe. Naomba uniombeye nimjuwe sana yesu Kristo Na MUNGU aliye mtuma kwetu.
@juliethasimbili8749
@juliethasimbili8749 Месяц назад
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu ,ni mambo yanayotisha lkn hayakwepeki kuyasikia
@EmidiAlphonsine
@EmidiAlphonsine Месяц назад
Mungu akutiye nguvu tunamshukuru sana.
@queenesther2639
@queenesther2639 20 дней назад
Dah E BwanaYesuKristo niokoe na kizazi changu
@maxlesijila6598
@maxlesijila6598 Месяц назад
Amen Mtumishi
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n Месяц назад
Mungu atusaidie watoto uliyetupa wakujuhe wewe Mungu wa kweli
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад
Alelluyah alelluyah blessed
@JajiZakayo-fw9mk
@JajiZakayo-fw9mk 2 месяца назад
Amina kubwa mtumishi wa Mungu
@nashonjoel20
@nashonjoel20 2 месяца назад
Mungu akubariki Mtumishi wa bwana kwa masomo mazuri.
@joanithagidion9796
@joanithagidion9796 2 месяца назад
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@MaikoSigala
@MaikoSigala 20 дней назад
Ee Mungu nisaidie kwaakilizangu siwez
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 2 месяца назад
Mtumishi mungu akutue nguvu maana vita vikali sana juu ya wateule wa mwenyezi mungu juhudi nabidii ya kuhuzuria ibada ni nyigi ila hazina maana watu wanaenda kufanya mikesha makanisani huku wakiwaza uashelati
@eliaszacharia-ne6yw
@eliaszacharia-ne6yw Месяц назад
Asante barikiwa sana Baba
@anseliminalingand4178
@anseliminalingand4178 2 месяца назад
Natamani injili hii yenye uzima ifike na kwetu malinyi morogoro pia , naomba Mungu hii itokee siku moja😢😢
@michaelpunduka8086
@michaelpunduka8086 2 месяца назад
Emen mungu wa mbiguni akutunze na kukulinda
@latifakikoti9808
@latifakikoti9808 Месяц назад
asante sana mtumshi wa mungu mungu akubaliki
@agnes7675
@agnes7675 16 дней назад
Amen
@perfectelly8902
@perfectelly8902 20 дней назад
Amina
@WitoKonga
@WitoKonga Месяц назад
Neno la kristo unalolifundisha linanivusha Kwa viwango vikubwa yesu azidi kukutumia
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад
Mungu tuhurumihe tusaindie iz inzi nyakati za mwinzo
@PelesiMethod
@PelesiMethod 2 месяца назад
Mungu akubariki rabbi abisharom amen 🇮🇱
@AnnanatukundaKidume
@AnnanatukundaKidume Месяц назад
Ubarikiwe mchungaj
@stellahmunisi1174
@stellahmunisi1174 2 месяца назад
Ameen baba umenijenga kwa sehem
@JajiZakayo-fw9mk
@JajiZakayo-fw9mk 2 месяца назад
Amina mtumishi wa Mungu
@JoyfullRwechungura
@JoyfullRwechungura Месяц назад
Jamani wakristo kuombewa tunapenda Sana tuangalie wenzetu waislam slogan yao Sali/swali km ujasaliwa so we need kumjua na kufuata mungu
@FredrickPonda
@FredrickPonda 25 дней назад
Si mtu wa mungu ubarikiwe na Bwana Yesu Kristo.kwani unatuhekimisha Sana mambo ya kiungu rohoni mwetu.na Roho wa ufunuo awe juu yako
@geitandelwa299
@geitandelwa299 13 дней назад
Ole wangu mm
@MichaelSichimata-ri2td
@MichaelSichimata-ri2td 13 дней назад
Amina sana
@lidiahamis2472
@lidiahamis2472 2 месяца назад
I heard about you when i was a little girl Leo Tena nimepata video yako. Mungu akubariki sana.
@atupavyemgaya1465
@atupavyemgaya1465 2 месяца назад
YESU niokoe nyakati
@leahlissu-n4c
@leahlissu-n4c 2 дня назад
Naomba uniunge na kwenye group la nyumban ya Abrahamu mtumishi
@EsitaDavid2-wp1uf
@EsitaDavid2-wp1uf 2 месяца назад
Bwana atusaidie ,nyakati hizi za hatari.
@JeremieMulungula
@JeremieMulungula Месяц назад
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
@yudaseleman8320
@yudaseleman8320 20 дней назад
Wanaomba mme mwenyepesa
@NabwikeMwambebule
@NabwikeMwambebule Месяц назад
Amina mtumishi
@LydiaNasimiyu-h1n
@LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen
@coj7920
@coj7920 2 месяца назад
Nashukuru sana Mungu kwa kunifanya niijue channel yako mtumishi. Nabarikiwa sana na kujengwa zaidi kiimani
@atupavyemgaya1465
@atupavyemgaya1465 2 месяца назад
YESU niokoe nyakati hizi
@rosejefwa9806
@rosejefwa9806 2 месяца назад
Asante Baba Mimi naitwa pst Rose Jefwa kutoka Nairobi Kenya Naomba namba Yako
@blandinakalobelo8833
@blandinakalobelo8833 22 дня назад
Naomba niingizwe kwenye group la whaatup kwenye nyumba ya Abraham
@JacquelineMetili
@JacquelineMetili Месяц назад
Amen Amen
@mapendobagaya3820
@mapendobagaya3820 Месяц назад
Uzidi kubarikiwa na MUNGU mtumishi
@richardndungu1366
@richardndungu1366 2 месяца назад
Amen 🙏🙏
@eliyamakanika7282
@eliyamakanika7282 2 месяца назад
❤❤❤ amen amen amen
@PetrovichGaspal
@PetrovichGaspal 9 дней назад
Mtumishi kanisa lako lipo Sehem Gani ? Maan nabalikiwa sna nmafundisho yako
@MjumbeAgano
@MjumbeAgano 2 месяца назад
Yesu ni Neno Sasa yupo kwa Mjumbe wa agano, Habakuki 2:20. Ufunuo wa Yohana 19:11-16. Acha uongo, usiendelee kupotosha watu.
@MaikoSigala
@MaikoSigala 20 дней назад
Ee unayedai anapotosha watu usipotelee kwenye andiko okolewa kwa neno lililo hai
@adrianokiliq6182
@adrianokiliq6182 Месяц назад
Ni watumishi wachache sana wanao hubiri kuhusu kurudi kwa YESU. wengi ni sadaka na mafanikio.ila kuhusu kutubu na kumrudia MUNGU aah!! Tuwe macho wanadamu Tu some neno la MUNGU litatupa mwanga na kutuonyesha kwelii
@JoyfullRwechungura
@JoyfullRwechungura Месяц назад
Sema Baba tupone
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw Месяц назад
Mimi mchumba wangu kanikimbia kwakuwa anadai niko bize sana na Mungu ,kampata mwanafunzi anaejifunza urubani wa ndege na akidai yuko vizuri kwakuwa hayuko bize na Mungu ndio anapenda mtu wa aina hiyo
@AnnanatukundaKidume
@AnnanatukundaKidume Месяц назад
Pole
@patiencekabyemera
@patiencekabyemera 20 дней назад
Baki na YESU atamleta mke sahihi kwa ajili yako wala usiumie hapo Munngu kakuepusha na mambo makubwa na Magumu uliokuwa huyajuhi kuhusu huyo mchumba katika ulimengu wa Roho japo ulimpenda.
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 20 дней назад
@@patiencekabyemera asante Sana dah japo niliumia Sana lakini Kwa SASA Mungu anaendelea kunisaulisha kabisa
@roidayoab9918
@roidayoab9918 2 месяца назад
Mafundisho haha yananibariki sana ubarikkwe sana myumishi was MUNGU
@patricialiveti3520
@patricialiveti3520 17 дней назад
Natamani nyumba ya Ibrahim ije chanika.
@PelesiMethod
@PelesiMethod 2 месяца назад
Mafundisho yako mema karibu mwanza nyamanoro hii injili tunahitaji karibu
@EdsonBandiko
@EdsonBandiko 2 месяца назад
Ameni wakati wa Bwana huu... unabii juu Ulimwengu na Israel unatimia tujiandae. Moja ya jambo muhimu ni kufuatilia kila kukicha nn kinatokea.
@IbrahimMatabaro
@IbrahimMatabaro 2 месяца назад
Ubiriwe n'a MUNGU mucungaji
@SadockChessa
@SadockChessa Месяц назад
Mimi mch,sadock mussa chessa niko kigoma naomba namba yako ya simu
@MwajumaHassan-d7k
@MwajumaHassan-d7k День назад
Anapatika wapi jaman huyu mtumish
@kavirajanine4893
@kavirajanine4893 21 день назад
Nakutowa ushuhuda ni pesa
@lucyngwale4365
@lucyngwale4365 День назад
MUNGU tusaidie mtumishi kwenye upendo umekufa hasa hawa tunao waongoza wamekuwa changamoto kabisa hawaijui kabisa thamani yawanao waongoza
@celestintchomberuzibira5580
@celestintchomberuzibira5580 2 месяца назад
Nikumbuke nami uniombee MUNGU aniponye na mawazo mabaya
Далее
END TIMES ( SIKU ZA MWISHO ) Rabbi Abshalom Longan
57:41
진 (Jin) 'I'll Be There' Official MV
03:15
Просмотров 6 млн
MAN OF PURPOSE BY PROPHET DR.JONATHAN DAVID
1:02:49
YESU YUPO KARIBU SANA KUNYAKUA KANISA
1:16:35
Просмотров 41 тыс.
MAADUI ZAKO WAMESHUSHWA CHINI-RABBI ABSHALOM LONGAN
59:46
SIRI ZA SIKU ZA MWISHO |Rabbi Abshalom Longan
54:56
Просмотров 26 тыс.
진 (Jin) 'I'll Be There' Official MV
03:15
Просмотров 6 млн