Mungu akubariki sana Mwalimu. kupitia mafundisho yako najengeka kiimani zaidi .pia na mapenzi ya YESU ndani yangu yanazidi kuwa makubwa ubarikiwe sana ...
MUNGU azidi kukuinua Bishop wangu. Injili ya hivi haihubiriwi tena kwenye makanisa mengi. Hakika Bishop nakuombea Roho Mtakatifu azidi kukuongoza na kukufunulia mafundisho zaidi ya aianjili ya Yesu Kristo Mwokozi wetu. Yesu yu arudi mapema sana.
Mungu tusaindie Mungu nyakati za mwinzo Mungu tubinganiye nyakati inzi za mwinzo Vita vikali sana via rohoni Yesu niongoze niongohe yese nisaindie Yesu nisaindie mwokonzi niondowe Kwa shita nipe ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi nipe nguvu za ushindi Kwa jina la Yesu Kristo wanasareti
Alléluia Bwana Yesu kristo asifiwe saana .kwa hii mafundisho makubwa hakutumbusha kuya tayari..Bwana Yesu akubariki sana .ubarikiwe n'a Bwana Yesu kristo.
Asante sana Mungu bb kupitia nguvu ya roho mtakatifu.nimeunganishwa na hii chaneo ya mtumshi wako.Anaye nihubiria ujilio wa mwanao Yesu kristo.Niomba bb uniongeze imani sn mimi na uzao wangu tusije tukamezwa na mambo ya shetani.Tuwezeshe kushinda.
Ee MUNGU nisaidie mim mwenye dhambi uniokowe na nyakati izi ngum maana hata yamefichika Sana haya mafumbo .nawenye kuyajuwa Ni wachache ubarikiwe daima mtumishi wa yesu kristo
Mchungaji asante sana kwa mahubiri Mazuri .nayapenda sana mahubiri Yako Juju ahihubiriwi tena unakuwa tutabarikiwatu .lakini kutuhambiya tuhache zambi yesu anakuja akuna ni towa ubarikiwe. Naomba uniombeye nimjuwe sana yesu Kristo Na MUNGU aliye mtuma kwetu.
Mtumishi mungu akutue nguvu maana vita vikali sana juu ya wateule wa mwenyezi mungu juhudi nabidii ya kuhuzuria ibada ni nyigi ila hazina maana watu wanaenda kufanya mikesha makanisani huku wakiwaza uashelati
Ni watumishi wachache sana wanao hubiri kuhusu kurudi kwa YESU. wengi ni sadaka na mafanikio.ila kuhusu kutubu na kumrudia MUNGU aah!! Tuwe macho wanadamu Tu some neno la MUNGU litatupa mwanga na kutuonyesha kwelii
Mimi mchumba wangu kanikimbia kwakuwa anadai niko bize sana na Mungu ,kampata mwanafunzi anaejifunza urubani wa ndege na akidai yuko vizuri kwakuwa hayuko bize na Mungu ndio anapenda mtu wa aina hiyo
Baki na YESU atamleta mke sahihi kwa ajili yako wala usiumie hapo Munngu kakuepusha na mambo makubwa na Magumu uliokuwa huyajuhi kuhusu huyo mchumba katika ulimengu wa Roho japo ulimpenda.