Тёмный

MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 75 тыс.
50% 1

Septemba 21, 2022 mitandao ya kijamii ililipuka baada ya Haji Manara kumtangaza msaidi wake na kupitia kipindi cha Lavidavi, Manara amefunguka mengi kuhusu ukaribu wake na msaidizi wake huyo
MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 года назад
Tuliorudi kuangalia hii video baada ya ndoa ya jana tujuane😂😂
@rahmambonde2389
@rahmambonde2389 2 года назад
Tupooo
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 года назад
@@rahmambonde2389 🤣🤣
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Год назад
One of the things or one thing
@sasamama7934
@sasamama7934 2 года назад
Wanaume waongo jamani duuuuuu eti msaidizi wangu duuuuuuu
@husseinali5535
@husseinali5535 2 года назад
This person he is a player
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 2 года назад
Miaka 23 kkkkk like seriously 🙄 😒 Manara acha hizo huyo Dada nimkubwa more than 30 years old
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 года назад
Duh!!Hata kama ni chuki sio hvyo. Mbona anaonekana Mdogo tu
@annajohn2488
@annajohn2488 2 года назад
Umejuaje umri wake why wabongo mnaumia na umri wa watu
@habibamaguru2722
@habibamaguru2722 2 года назад
Shavu limejikata hivyo miaka 23
@Gody360
@Gody360 2 года назад
Noma sana🤣🤣
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 2 года назад
I would be a last person to agree with him!
@benjaminulanga6749
@benjaminulanga6749 2 года назад
Huyu jamaa anajua jmn sikutegemea km anabadilika ivo sio yule anayeongeaga kwa sauti kali kwny mpira leo kashuka ivi
@c75923
@c75923 2 года назад
Huyu muhaya mbwembwe nyiiiingi na kiingereza cha chooni
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 2 года назад
Ongea wewe tusikie chako
@jeckajustinianjoyce7998
@jeckajustinianjoyce7998 2 года назад
Acha kutukana makabila ya watu kwa vitu visivyo na maana
@fistonmakopa598
@fistonmakopa598 2 года назад
😊😊😊❤
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 года назад
Haikuwa zambi uyu mzee bhana we unakaa na mtu ambaye unaweza kumuowa ukaribu kama ule alafu una mke anayumba kiimani uyu mzee alafu ana miaka 40 bado anataka ujana ivi mwanawe atajifunza nn au ndio maisha ya kizungu
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 2 года назад
Miaka 40 sio mzee , huyo bado.
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 года назад
@@johnkiimbila6799 kwa cici waislam ujana hayupo tena ukifika arubain unatakiwa uwachane na mambo ya ujana kabisa kwa mtu mwenye kujielewa kakini urudi kwa mungu
@husna34562
@husna34562 2 года назад
@@saadmbaraqa5272 45
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 2 года назад
Manara wacha uongo huna miaka 40 tumesoma wote tena darasa moja shule ya mnazi moja. Wewe ulikua darasa moja na mimi na ndugu yako hamida huna miaka 40 wewe miaka yako 48 wacha kusema uongo looh umekua jiwe wewe hukuwi 😅
@ramadhanabas4455
@ramadhanabas4455 2 года назад
Hata yeye hakusema ana miaka 40 kamili, kasema ana miaka 40 plus.
@abdulmalikiramadhani8067
@abdulmalikiramadhani8067 2 года назад
Mm kumbe nawewe ulimletamzungu
@stanastana3199
@stanastana3199 2 года назад
Diva na miwani yake kama wale wazee wa kuchinja nyani
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 2 года назад
Mmh tusubiri baada ya miezi 3 au 5 hv ndo tutajua msaidizi auuuuu🤣🤣🤣🤣maana we mwanangu kibokoooo
@mariasalomemelchiorkaigaru1974
@mariasalomemelchiorkaigaru1974 2 года назад
keshaoa ulimpa muda mrefu sana
@christinamsuya5492
@christinamsuya5492 2 года назад
@@mariasalomemelchiorkaigaru1974 hahahaha kwa kwel leo yametimia
@atamotivetv8104
@atamotivetv8104 2 года назад
Ulisema leo yametokea🤣🤣🤣
@tinabapemacho8650
@tinabapemacho8650 2 года назад
Haji Kama haji unimalizag KBS
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥
@nasseralrowahi4084
@nasseralrowahi4084 Год назад
Kwanini nyinyi watangazaji hamuongei kiswahili lazima mtiye luga si yakwenu huoni urimbukeni kuwa unajuwa kizungu ni ushamba wewe si mzungu
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 2 года назад
Hata wema sepetu tukae kwakutulia huyu Bora umpe pesa itafika kuliko kumuweka karibu na unashindana naulipo toka unaakili ww🤣🤣🤣🤣
@salmaswala3900
@salmaswala3900 2 года назад
Haji muongo jamanii mchepuko eti watoto yeye mh mchepuko niwale wazee ambao wakezao halafu na mwengine pembeni (mchepuko ) uyo jamani
@johannahakim8470
@johannahakim8470 2 года назад
Uko mongo ule anazidi 23, iko mu ma 30 mpaka ata 36, naanamzidi ata zuchu ukubwa,ata dira yake inaonekana tu kama mkubwa,amekoma na sura
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 года назад
NA WEWE MASWALI GANI HAYO?
@allyamuli8027
@allyamuli8027 2 года назад
Jamaa kumbe anaringa
@kefamkv3743
@kefamkv3743 2 года назад
Hiyo why not kama mm ndo nimeisema kwa diva vileeee😊😊
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 года назад
Yamekuaaa😂
@kefamkv3743
@kefamkv3743 2 года назад
@@hamidayanga8224 ndo mana nilisema hile why not haikuwa bure 😁😁
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 года назад
@@kefamkv3743 😂
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 года назад
Manara ni m1 tu bongo
@allymtungunyu2425
@allymtungunyu2425 2 года назад
Kwanini songea nguruwe anaitwa manara?
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 года назад
@@allymtungunyu2425 muulize mamako uliyemtomba msenge ww
@agreysimon4194
@agreysimon4194 2 года назад
Hii interview ingekuwa poa kama huyo personal assistant angekuwepo hapo ili naye apigwe maswali ..mbivu na mbichi zingejulikana
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 года назад
Nimchepuko😂😂😂
@kabugashija4836
@kabugashija4836 2 года назад
😳😳💰💰💰 tuzipongeze, without 💰 zeruzeru ni kichefuchefu.
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 2 года назад
Unapendwa ww zinapendwa pesa acha ujinga
@mussamwadin806
@mussamwadin806 2 года назад
sasa aina mbili au aina tatu, uzuzu ni shida
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 года назад
Mke wa pili atajua hajui🤣🤣🤣🤣 Alifurahia mwazo.sasa zamu yke.
@rosejerry3294
@rosejerry3294 2 года назад
Umeona
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 года назад
Mchipuko kwa kweli kumbe kweli
@colletatesha5265
@colletatesha5265 2 года назад
Angejijua alivyo
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 2 года назад
Kwendraaaaaa muhuni tuu wewe hujiheshimu. Personal assistant too young what she knows in terms of experiance
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 2 года назад
Always young are so experience than old trust me haji was right
@samwelhiinyamhangahiileosi1060
@samwelhiinyamhangahiileosi1060 2 года назад
Manara kaongea kwa upole xn kisa babra kupaa kimataifa
@jazzmancoltrane
@jazzmancoltrane 2 года назад
very boring interview and interviewer. Why focus on the assistant? isn't that invasion of privacy?
@fadhilidini1181
@fadhilidini1181 2 года назад
yuda asistensi kwenye nini
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 2 года назад
Diva iyo miwani na ilo wigi 😄😄😄😄
@barakamwakapoma2702
@barakamwakapoma2702 2 года назад
🤣🤣🤣
@fabianchrizostom5743
@fabianchrizostom5743 2 года назад
😆😆😆😆
@annajohn2488
@annajohn2488 2 года назад
Wanawake njaaa ivi uyu haji unalala nae vp
@missclementsemizigimisscle7458
@missclementsemizigimisscle7458 2 года назад
Kwanini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@happynjukiz6495
@happynjukiz6495 2 года назад
Kwani wewe unanini cha kujifanya umbague Haji Manara
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 2 года назад
Eeeeee acha kukufuruuuu haman na yy ni kiumbe cha mungu usikufuruuuuu
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 года назад
Wee Bwana una offisi gani na wp wakati unatumwa Tu na Gsm
@sultanisaidi9701
@sultanisaidi9701 2 года назад
iv hujui kma manara ana kampuni zake binafsi duh pole
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 года назад
@@sultanisaidi9701 achana nae fala huyo hajui chochote
@masakamgalla9273
@masakamgalla9273 2 года назад
Unaumwa aisee
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 2 года назад
Kudadeki nabadilisha dini nikale bikra 70 kudadeki
@alexandrucarmen3185
@alexandrucarmen3185 2 года назад
Pole yako ndugu siku hizi hakuna bikra walienda na vita ya eid amin dada🤣🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 2 года назад
@@alexandrucarmen3185 tena hakuna kabisaaaa
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 2 года назад
So cryz boy
@omaryhajji1393
@omaryhajji1393 2 года назад
@@alexandrucarmen3185 me mwenyewe nashangaa sijui walio na bikrah huwa wanaenda wap???
@felixhaule7071
@felixhaule7071 2 года назад
Zungu Pori katika ubora wake
@josejoseph8888
@josejoseph8888 2 года назад
Malaya mkubwa ww
Далее
🧙‍♀️☃️💥 #ice #icequeen #winter
00:14
Просмотров 49 тыс.