Asante Mungu, Kwa kuepusha yaliyosemwa na wanadamu, Mungu wetu Uzidi kumlinda Makonda, Iko Cku dhulma itpungua Tanzania, na Mnyonge atakuwa na HAKI. Tulikukumbuka sana Tulikesha, tukiomba, Tulirejea kifo Cha MWONGOZA NJIA wetu MAGU.
Mungu wa Mbinguni!! tumechoka na habari tofautitofauti! habari zenye matumaini, na furaha, lakini habari za kuvunja moyo za maumivu. Hii ni sababu sio wte wanampenda Mtu wa Mungu Makonda wetuu. Tulio wengi, na wenye myo safi na mapenzi mema na Makonda wetu tunampenda Mungu sikia vilio vyetu wenye mapenzi mema na Kijana wetu. arudiiii!! ili kuwaaibisha mashetani wachawii wake.
Mimi mpaka nimuone hivihivi badosiamini tuliambiwa rais wetujpm yumzima anachapa kazi baadayasiku mbilitatu tukatangaziwa yakumiza mpaka nimuone akichapakazi mind wetu
MAKONDA AMEPELEKWA SHULE YUKO KATIKA NCHI FULANI HUKO NJE. HII NI KUANDALIWA ASOME MASTA DEGEREE, ILI ATAKAPOREJEA MWAKANI AWEZE KUTEULIWA MGOMBEA MWENZA WA RAIS. HIYO NI MIPANGO YA SERIKALI, NA HAKUNA HAJA YA KUPIGA KELELE. MWACHENI ASOME.
Ebukwanza nisikilize mpaka mwisho maana siamini namuombea huyu kakayetukipenxi makonda Allah akulinde popote ulipo ❤❤makonda nakupendakwa utendajiwako wakazi uchagui ubagui upokwaajiliya Raiya
Mimi namuombea dua adumu pia namuombea kwamungu ili mungu amkabizi uraisi naimani naye atakua mkombozi zaidi ya mwamba mwenda zake ambae nitamkumbuka mpaka kifochangu ametueshimisha sisi walalahoi naimani makonda atafata nyayozake mwamba
Kwanza kabisa napenda kuwajuza miongoni mwa wateuliwa wa mama makonda ni mtu anaefanya kazi kwa kumsaidia mama kwa moyo wote na kwaubunifu pia kukifanya chama Cha ccm kunekana kinaenda kinabadilika walau kwa asilimia chache kutokana na makonda kwa anacho kifanya katika kazi zake za kila siku makonda akija kutoweka ccm tuna zika subuhi lufwajili sana kaeni na huyo mtu atawavusha malanyingi sana
Tatizo watanganyika ni wapiga kelelee na kuchukuwa na kuiga kufanya kazi kwa bidii hamwezi bali maneno tu. Inchi nyingine watu wanaiga na kufanya kama yeye.
Kikubwa sisi tunaomba mkuu wa nchi na waziri wa Tamisemi mchengerwa pamoja na Masauni watwambie ukweli alipo Mh Makonda. Km katekwa watujulishe km kafa watujulishe maana ni mwezi Sasa. Tunaomba sana tuambiwe Mh Makonda ni uma ya Watanzania anayelipwa kodi za wananchi.
Mlisema makonda yuko likizo! Kwan alipewa likizo ya miezi mingapi? Kwa hili serkali iseme kitu sasa kukaa kimya ni kuleta taharuki kwa wakazi wa Arusha na watanzania kwa ujumla!