MAOMBI CHOIR (VIJANA KATI IYUNGA MORAVIAN MBEYA)
Isaya 41:10-13
[10]usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
[11]Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.
[12]Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa kama kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako.
[13]Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.
APPRECIATION
song written by Lugano Mwasongwe
#call_0714986276
EMAIL: mwasongwelugano06@gmail.com
AUDIO: SGT PRODUCTION (ISACK SEKELE)
#call_0620712817
VIDEO PRODUCTION
Director Tosh
#call_0787217778
Our contacts
Email: maombichoir@gmail.com
IG account: ...
TikTok: www.tiktok.com...
#Call_ +255745510978
©2023
10 сен 2024