Naosha hatua zangu kwa damu ya Yesu,,nazishikamanisha na hatua Zako Ee Bwana,,hatua zangu zielekezwe na Neno lako Bwana na unilinde na wote wanaopotosha hatua zangu na unifanyie nafasi katika jina la Yesu,Amina
Yesu Kristo naomba ufunguwe kila hatua yote ambao nahitaji ku fikia nipante contrat ya kazi mbele ifiki tarehe 20ya mwezi huu wa kumi na moja maana naamini ya kwamba inawezekana katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth nimefunguwa naku bariki kila mpango yangu ya ndoa déclaration ya mke wangu ambaye yuko uganda Mungu mwaka huuu wa 2024 usifike mwisho na Bado hajafika hapa Sueden katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth naamini na sema Amennnnnnnnnnn
Bwana yesu naomba unisaitie kila kamba walio nifungia kila eneoLa Maisha yangu zikatike katikajina lya Yesu kamba zilio funga watoto wangu zikatike katikajina lya Yesu
Aisee,Yesu in mwema! Hii kitu sijui kwann inanisumbus this time pamoja na kuomba kote sijui nakosea wapi! Mtumishi yaani naota Mara 3 km sikosei natembea pekupeku,tena maeneo tofauti! Kilichoniudhi zaidi niliota Niko chooni pekupeku!
Mimi ni farida nickson mdohe naomba maombi yako napigwa vita kazin na naoteshwa ndoto mbaya naitaji maombi yako na juu ya familia yangu nisaidie mchungaji
Damu ya BWANA yesu ipite katika miguu yangu kila kinacholudisha nyuma hatua zangu bwana ukashughulike nacho,,kupitia maombi haya Nina Imani bwana sitabaki ka Kama nilivyo (Amen)