Naomba unifungulie milango yangu ya riziki uchumi wangu, na nipe furaha ndani ya mahusiano yangu, naomba unilindie uzao wangu ukawe wabaraka, waepushe na kila baya, nilindie family yangu🙏
Eee Mungu kupitia aya maombi ya usiku wa manane naomba ukanifungulie milango yangu ya riziki uchumi pia, naomba upendo wetu na furaha na amani vilejee kati yangu na Yusuph 🙏🙏🙏🙏,
Mungu naomba umubadilshe huyu boss aweze kusimamia yeye garama ya passport yangu kwa sababu yeye ndiye alipoteza na sasa wananiachia mm garama zote.ni na kataa katika jina la yesu kristo.yeyey alipia Amen
Amina pasta Ndelwa kwa maombi yako..Mimi naitwa Faustina naomba maombi kwa ajili yangu nafamilia yangu kwa maradhi ya moyo mgongo figo yanayotusumbua kwa muda mrefu.
Mungu nisaidie nisamehe zambi zangu zote na unifungulienjia za laziki zangu zote mungu nisaidie mungu wangu bwana nitie nguvu mungu nijalie roho ya uvumilivu🙏🙏
Asante mungu kupitia maombi hays naomba unifungulie njia zangu,uniponye magonjwa yote yanayonisumbua,naamini kupitia maombi haya nimepona katika jina la yesu ameen🙏🙏
Naomba mimi na familia yangu tufunguliwe vifungo vyote kiafya , kiuchumi, nafuta kwa damu ya YESU mabaya yote tuliyo nenewa na kuchezewa vitoke katika maisha yetu amina
Ehe mwenyezi mungu nifungulie Kila nija zs baraka niepushe na Kila magojwa makubwa nipe furaha katika maisha yangu nipe mwanaume sahihi katika maisha yangu
Mungu nibariki mimi na familia yangu nipate riziki ya halali,niondolee magonjwa, niondolee robo za visasi na malipizi, nijarie afya njema bariki kazi yangu ameeni
Mungu naomba kibali naomba ulinzi mimi na familia yangu tunaomba afya na amani tukafunguliwe nyota zetu tukafanikiwe kiuchumi adui Hana nafasi katika maisha yetu ameen
Ee mungu kupitia maombi ya usiku wa manane, naomba unifungulie njia zangu, uchumi wangu, na riziki yangu, nipate kazi yakufanya na naomba unirindie wanangu uko walipo na unirindie kiumbe changu nilichokibeba, naomba unipe na afya iliyonjema, namuombea Stephen nyoni apone haraka apate nguvu zakurudi kwenye majukumu yake ya kila siku amina🙏🙏🙏
Pole dear pendelea kusoma biblia isaya 91 kila siku au fungua RU-vid sikiliza na kila ukienda kulala sikiliza hii sarà pia Ila yakingelwza atakama uelewi utalala vizuri hii hapa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-wVYCNMzcAmU.html
@@kokububelwa pole sikiliza hii sarà inasadia ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-6JQ2KzGlxCE.htmlsi=xg4InMacAnzvuObX,soma biblia zaburi 91 kila siku wakati wakulala au kuamka