Тёмный

MAPYA KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI, MCHUNGAJI IPM AWEKA WAZI 

Mbengo Tv
Подписаться 1,5 млн
Просмотров 30 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 110   
@georgenkaya905
@georgenkaya905 Месяц назад
IPM ubarikiwe sana simama katika unayosema na Mungu atakuza huduma yako kwa kuhubiri Injili ya kweli
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 Месяц назад
Mbona mnalipa hosipitali kuonana na madaktari na muda huko mgonjwa Yuko mahututi lakini uzunguke . Mpaka umalize proses ndio mgonjwa aingie.
@MathaKasambara
@MathaKasambara Месяц назад
Umeongea point mtumish mungu akubariki akupe hekima zaid na zaid
@Alexismadimo
@Alexismadimo Месяц назад
Nenda kapewe hogo uko na daktar Uyu jamaa bhana mempenda sana yuko very smart
@user-kn8pw7vk4e
@user-kn8pw7vk4e Месяц назад
Acha wapigwe raia kwa ujinga wao....sheeenzi kabisa.
@angeljoseph8103
@angeljoseph8103 Месяц назад
Mchungaji upo vizuri yaani umenena sana Mungu akubarili sana masikini kama anapewa unaweza kusababisha afanye jambo litakalo mpa umasikini zaidi umeongeza watz tunapitia changamoto ndio sababu wafu wanakimbizana siokM tunapenda matatizo ndio chanzMungu atusaidie
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 Месяц назад
Kiboko ya wachawi ni mtumishi wa Mungu period na anafanya kazi ya Mungu sahihi
@lewismpangala927
@lewismpangala927 Месяц назад
Haya ndo yanachomwaga moto shobo nyingi
@ShabaniRashid-ln3tj
@ShabaniRashid-ln3tj 27 дней назад
Pole
@margaretlongway133
@margaretlongway133 Месяц назад
Daddy umeongea kwa hekima Sana. Hongera Sana! Ubarikiwe
@FrankMkome-df9bn
@FrankMkome-df9bn Месяц назад
IPM mungu akubariki maana umeongea point za mhimu sana huu ndio uchungaji tunataka
@CatherineLukwesaLukwesa
@CatherineLukwesaLukwesa Месяц назад
Upo sahihi kabsa baba mung akubarik
@devissyprian1526
@devissyprian1526 Месяц назад
Ipm hujui biblia takwimu nilizofanya, biblia Inasema Bwana hasipoilinda nyumba yako hata ukeshapo unaLinda wafanya kaz bure, nchi bila Mungu hamna Aman police wenye we wanalindwa na Mungu. Kuwa makin wew jamaa
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Месяц назад
mwangalie vzur mchungaj IPM utagundua ana SIJDA kwenye paji la uso, angalia picha zaidi ya moja utaona hivyo
@zouzouzoubaida1850
@zouzouzoubaida1850 Месяц назад
Na mimi nimeona 🥰🥰
@K-go1qj
@K-go1qj Месяц назад
Kaingia Ukristo bila kuacha uislam
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo Месяц назад
😂😂😂😂
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 Месяц назад
Maisha tena
@user-un2td1no5f
@user-un2td1no5f Месяц назад
Sijda ni kusujudu sana mbele za Mungu hata wazee 24 mbinguni wanasujudu acheni nazaria mbaya
@rachelmuhehe7789
@rachelmuhehe7789 Месяц назад
IPM ni msanii pia na asubiri tu siku yake #Wagalatia 6:7.
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Месяц назад
Selekali bgp sana. Namsilifungue nazumalidi mmemluhusu tena mkifunga funga kwelikweli mpaka vigezo namashaliti zakidini vizingatiwe
@twaibujuma5023
@twaibujuma5023 Месяц назад
Watanzania tunapenda miujuza sanaaaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Месяц назад
Sema Waafrica
@user-uv2zg4uc5o
@user-uv2zg4uc5o Месяц назад
Umejibu vizuri mchungaji
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 Месяц назад
IPM ubarikiwe sana. Una hekima sana
@iddahravity9369
@iddahravity9369 Месяц назад
Mungu akutunze kwa hekima ya majibu mazuri
@godfreynoah6450
@godfreynoah6450 Месяц назад
IPM umeongea Safi sana MUNGU akubariki
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Месяц назад
Huyu jamaa ni muislam kabisa na anaswali huko alipo anatafuta tuu pesa😂
@alsam4881
@alsam4881 Месяц назад
Tena ana sijda kabisa.
@MahmoudJaffar-mt1qr
@MahmoudJaffar-mt1qr 4 дня назад
kwa nini haya mambo yanakuwa kwenye ukristo kwenue uislamu haya mambo hatuyaoni
@geraideslaurent3010
@geraideslaurent3010 Месяц назад
Uyu mtumishi ni Tapeli sana akunaga mtumishi wa ivo anaetoza watu hela kiasi icho mwizi mkubwa serikali imefanya vizuri sana.
@ThedoNdunguru
@ThedoNdunguru Месяц назад
Sasa alipie hapo kuna huduma gani?na nyie watangazaji mmeona hiyo ndo deal?
@user-bl6yh6qn2h
@user-bl6yh6qn2h Месяц назад
Mungu akubariki sana mkuu umeongea vizuri sana ni kweli kuonana na watu binafs ni maamuz ya mtu sio serekali kuchukuwa hatua ya kumfungia huduma mtumishi kiboko ya uchawi sio hekima
@bobelichi7721
@bobelichi7721 Месяц назад
Uyo sio mtumishi kiboko ya wachawi.....huyo ndo mchawi mwenyewe acheni ufara amxheni vichwa vyenu acheni kuibiwa ibiwa
@wildlifeanimals6377
@wildlifeanimals6377 Месяц назад
Ipm kafanya interview nzr sana ila nawasihi watumishi acheni maigizo kanisani
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j Месяц назад
Imp eliya alivyowaua manabii zaid ya hamsini kwani mungu alikuwa hayupo kipindi hicho?
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official Месяц назад
Huyu nae kumuona lazima utope pesa kkkkkkk mimi alinambia laki 6
@user-yv7sw7zb1f
@user-yv7sw7zb1f Месяц назад
Achaujinga weww mchungaji Gani weww kwanza nenda kwenye kweli na khaki acha kukwepesha mamabo hakunaga kitu kama icho kwa mungu !!! Uchungaji ni wito uyo jamaa tapeli
@khadijahamisi5561
@khadijahamisi5561 Месяц назад
Alikutapeli nn mbona mnaenda hospital mnatoa pesa namgonjwa anakufa mnaendaga kudai wapi nahao walaki 5 wanajipeleka wenyew kwan wanaitaga watu ampend mtu wakuja nyie mlioko dar mmezaliwa dar ushamba nanjaa mbaya pumbavu zenu mwachen afanye kaz
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 Месяц назад
Mi niliweke sawa kidogo kwa kile nilicho kiona kua sio kila mtu analipishwa huduma ya maombezi kuna ya bure na ya pesa
@angeljoseph8103
@angeljoseph8103 Месяц назад
Umesema kweli mchungaji
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 Месяц назад
Acheni wivu na uzushi na ubaguzi,yeye ni mtumishi wa Mungu,sio tapeli sadaka ni lazima hata kwa waganga mnatoa zaidi ya laki tano,sadaka yoyote inatolewa huo ni ubaguzi tu wamemuonea kiboko ya uchawi fungueni kanisa tukasali
@user-qv4wh2pb1d
@user-qv4wh2pb1d Месяц назад
Ulitapeliwa kwa kutaka wewe kwani hujalazimishwa
@sizyathom-qq5cx
@sizyathom-qq5cx Месяц назад
Kweli😊
@James-y3j2v
@James-y3j2v Месяц назад
Tanzania nchi ya wahuni Ukitaka kuwa Tajiri funguwa kanisa tu
@Namaize-lc8sh
@Namaize-lc8sh Месяц назад
Aende kwao alaaaa,,,,
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw Месяц назад
Mchungaji anatakiws kutoa huduma bola malipo. Kusema kuwa malipo makubwa yanazuia wingi wa watu wanaotaka huduma. Ikiwa eatu ni wengi bora uwahudumie wale utakaoweza au kuwe na ratiba ili wale ambao wameshapata wasirudie ili wengine wapate huduma.
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 Месяц назад
Vinafanya kazi acha kupindisha maneno vifaa vya kiroho vinahusika vinaombewa kupitia jina la Yesu,ndio maana tanzania aiendelei sababu ya uchawi na roho mbaya,acheni kumsema kiboko ya wachawi ni mtumishi wa Mungu km wewe ,wewe utoke na ufahamu wako mdogo
@IsaackPaulo
@IsaackPaulo Месяц назад
Tumwachie Mungu
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 Месяц назад
Na yeye kumuona sh ngapi? Ungemuuliza, halafu wacongo wamekuwa wengi sana na uchawi wao mwingi, warudi makwao hao
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 Месяц назад
Utulivu wa nini wakati wamemuonea mtumishi wa Mungu,acheni kuingilia kazi ya Mungu,vifaa vya kiroho vinalipiwa kubitengeneza,kiboko ya wachawi ni original sio feki ni mtumishi wa Mungu natumia vifaa vya kiroho vinafanyakazi kupitia maombi ya mtumishi wa Mungu,acheni maneno ya unafiki hasa watanzania uchawi umezidi,kiboko ya wachawi yuko sawasawa,uwezi kuwapangia watumishi wa Mungu nini cha kufundisha,kasome biblia wewe mtangazaji,yes lazima mchawi afe kama neno la Mungu lisemavyo,acheni uswahili hapa
@sabinaboas6760
@sabinaboas6760 Месяц назад
Hata kwenye biblia kunavifaa vya kiroho vimetumika mafuta,leso,fimbo ya musa,chumvi na kadhalika
@rechokusilimka5739
@rechokusilimka5739 3 дня назад
Wote ni walewale wasaka tonge
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 Месяц назад
Unasema tu napenda miujiza mbona usemi wachawi na wanafiki
@JosefuSwai
@JosefuSwai Месяц назад
Mbona maneno kama haya ata mzee kakobe aluwahi kuzushiwa maneno kama haya sio geni
@victorieusefulano3130
@victorieusefulano3130 Месяц назад
Aka ka journaliste ni kachawi utakuja kujuta.na hayo m
@alsam4881
@alsam4881 Месяц назад
Na kwanini mnalazimisha watu watoe Sadaka? Kwani kutowa Sadaki siyo hiyari ya mtu? na hadi mnampangia mtu kiwango cha kutowa sadaka, Yaani kuna baadhi ya watu masikini wanajinyima wao ili watowe sadaka kwa ajili ya kuwatajirisha wachungaji na kuishi majumba ya kifahari na magari ya kifahari. Angalieni hakuna mchungaji hata mmoja masikini, hadi kuna baadhi ya wasanii wanaingia kwenye uchungaji ili wajitajirishe.
@JosephDamasimushy
@JosephDamasimushy Месяц назад
Fact
@user-xb1sr3ib5z
@user-xb1sr3ib5z Месяц назад
IPM leo ndo siku ya kwanza kukusikiliza nimejiridhisha kuwa ni mchungaj uliyeenda shule, na nafsi yako haiwezi kumwongopea muumini kwa maslah yako.....((mtu anaumwa malaria aombewe kwa jina la yesu) Yaan ukombozi wa fikra unahitajika. Nimekuelewa ntakuja kanisani kwako.
@K-go1qj
@K-go1qj Месяц назад
Hata yeye inatakiwa afungiwe wasimuonee kiboko pekee
@justineswai5885
@justineswai5885 Месяц назад
Ipm Leo nimekuelewa
@lizzyevoh8139
@lizzyevoh8139 Месяц назад
namuona kabsa Ipm kuna saa anabanwa na kicheko ila anajizuia🤣🤣🤣
@zakariaathman9019
@zakariaathman9019 Месяц назад
Huyu jamaa anaswali angalia ana sijda alama ya wafuasi ya mtume
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Месяц назад
IPM 😂😂😂😂😂😂😂chinjachinja injili yako IPM mungu wako kiboko mm bnafc hapana siitaki injili yako
@angle3600
@angle3600 Месяц назад
Hakuna makanisa,kilichoko niwa Gang'a kujivalisha ukristu.
@ezluckvoice1110
@ezluckvoice1110 Месяц назад
Wewe pia unafaa kufungiwa
@AishaHussein-en3wf
@AishaHussein-en3wf Месяц назад
Mimi naomba kuuliza,baazi za ospitali kumuona dctor ni hela,jee yeye anachaji hela sawa,jee amekupigia sim uendr kanisa lake?jee amekupora?jee makanisa mengine,uyaoni,jee umesahau msemo wa mjini shule,nyinyi mmependa kumpa riziki yake mpeni ,angewapora kweli,mtu umeenda mwenyewe,ata ukiumwa ukipewa dawa kuna mawili,upone au usipone,
@barackbrysonramsey
@barackbrysonramsey Месяц назад
Hosptal kule watu wamesomea ile ni taaluma. Todautisha uponyaji na tiba. Hosptal zinatoa huduba ya kimatibabu unatibiwa kutegemea na kile kilichokuleta.
@zanzibamjimpya17
@zanzibamjimpya17 Месяц назад
wewe naye kwenye kundi la watapeli na wewe umo selkari imeona na kuchukua hatua wewe unaleta ujinga tena mtu mwenyewe siyo mtanzania akafanyie kwao utapeli
@evamsuya8869
@evamsuya8869 Месяц назад
Uko sahihi aisha
@shabanimbega40
@shabanimbega40 Месяц назад
Huyo anakudanganya ni muislam hajui lolote la ukristu. Serikali unataka ianze na yeye kwanza ijue alimjue vipi yule mcongo
@IsaackPaulo
@IsaackPaulo Месяц назад
Makanisa yooote yanaendesjwa kwa pesa za waumini huyo kiboko ya wachawi wamemwomea wivu TU kwani aliowasaidia ni wangapi?
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u Месяц назад
waumini hawalazimishi serikali iruhusumauaji yaraia wake ovyo kwa ajili yaramuli hao niwapigaramuli tu huyobwana aendekwao akafanye hayo huko.
@user-yj5es1jw8c
@user-yj5es1jw8c Месяц назад
Huyu jamaa anatetea zambi itakuwa mwenzao
@happymrema7487
@happymrema7487 Месяц назад
Huyu nae ni mtambik mizim sem anatumia biblia
@mg-lion.2782
@mg-lion.2782 Месяц назад
INAMAANA MCHUNGAJI NDIYE ANAYE PANGILIA PESA AMBAZO WAUMINI WANASTAILI KUTOWA KAMA SADAKA AO NIIYARI YA MTU BINASFI ?
@newlightmoviesproduction3598
@newlightmoviesproduction3598 Месяц назад
Huyo unae muliza yupo sawa?? Amefukuzwa kwa sababu ni mkongo tu wakongo tumeshukizwa sana.
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Месяц назад
Yule msenge mwenzio, fatilia mahubiri yake hana ata hekima. Anatamka neno chupi kwamba eti ata kama chupi inaonekana siwez kukwmbia
@user-yj5es1jw8c
@user-yj5es1jw8c Месяц назад
Anakwepesha
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n Месяц назад
WACHUNGAJI NI WENGI SANA DAR UTAPELI NI MWINGI WAJINGA NDO WALIWALO UKRISTO NI DINI YA BIASHARA😂😂😂 IPM HUKO AMEKUJA KULA PESA LKN HYU ANASALI SALA 5 MWISLAM OG😂😂😂😂
@user-zx4zr3hc7y
@user-zx4zr3hc7y Месяц назад
Unatumia busara kujibu kujibu maswali
@K-go1qj
@K-go1qj Месяц назад
Yeye mwenyewe anafundisha kinyume na Ukristo mambo ya kafara za kuchinja,kuuza vitu haramu sigara pombe kuponda sadaka kiduchu utadhani Mungu ana shida na sadaka zako. Hata ye nae ni kibaka wa injili kama wenzake
@happymrema7487
@happymrema7487 Месяц назад
Watumish weng wanachinja san ila wanatudangany sisi tutor sadak wakat wao wanaabud vitu tofaut huyu yupo Waz hakun cha mung akil kichwan mwak
@K-go1qj
@K-go1qj Месяц назад
@@happymrema7487 kufanikiwa ni kanuni na sio huo ushirikina hao ni washirikina waliojifichia makanisani
@Davidmungongo-h7z
@Davidmungongo-h7z Месяц назад
Mbona kuonana na wew unatakiwa utoe laki moja kama huna laki uwezi kukuona,nilikuja apo ili nikuone nikaambiwa mpk nitoe laki na ukiangalia sina kazi na nnachangamoto nyingi za kimaisha,kwa hiyo watu wasio na kipato kuonana na wew ni ngumu
@joshuaaizack6973
@joshuaaizack6973 Месяц назад
sikuwepo ila saizi nipo, sasa wewe ulitaka kuniona iliniweje an m mwenyewe ninashida zangu , mwombe Mungu wako akuponye m mwenyewe huwa namwomba Mungu
@SeifJuma-yt1pk
@SeifJuma-yt1pk Месяц назад
Umenena
@user-vg5tz8nd6q
@user-vg5tz8nd6q Месяц назад
Ni mtapeli alinitapeli milioni tano na laki tano na ushaidi ninao.
@K-go1qj
@K-go1qj Месяц назад
Pumbavu kabisa maandiko uyajui mwenyewe Maandiko ndio kila kitu na sio hawa vibaka wa Imani
@prosperitymaarifa3324
@prosperitymaarifa3324 Месяц назад
si umempelekea mwenyewe kama huna imani yeye angefanyaje..kiherehere chako
@user-vg5tz8nd6q
@user-vg5tz8nd6q Месяц назад
Read 1 john 3.24 verse 4 ndio utajua maana yake
@shabanimbega40
@shabanimbega40 Месяц назад
Huyo nae ni muislam Na muangalie kwenye paji la USO naye ni tapeli
@uwezotv5302
@uwezotv5302 Месяц назад
We nae point yako Haina mshiko Kwan mkristo hawez badili din kua muislamu na akawa kiongoz wa dini .... Em tafakar kabla hujaongea cyo unaongea kujaza comment tu mlad na wew umechangia pumba tu
@prosperitymaarifa3324
@prosperitymaarifa3324 Месяц назад
Huyo mzee wa makafara.anajua nini kuhusu ukristo.arudi zake uislamu tu hana cha kutuambia
@ZakayoMushi-wh9gy
@ZakayoMushi-wh9gy Месяц назад
Hakuna kitu hapa
@sizyathom-qq5cx
@sizyathom-qq5cx Месяц назад
Mutes wako nimuchawi
@NeemaJohn-s7r
@NeemaJohn-s7r Месяц назад
Ipm atafatia kufungiwa anawambia wakristo kuuza pombe nasingala wapi imeandikwa kwenye bible 😂😂
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Месяц назад
Jpm wewe naenamasha sikuwelewi elewivile
@happymrema7487
@happymrema7487 Месяц назад
Kuna mtu alitoa milio tisa
@joshuaaizack6973
@joshuaaizack6973 Месяц назад
itaje nakusaidia mlio wa kwanza ni wa kuku kwioooo ,wa pili je
@LucyRichard-j8o
@LucyRichard-j8o Месяц назад
Hiyo millioni Tisa ulitoa wewe
@happymrema7487
@happymrema7487 Месяц назад
@@LucyRichard-j8o nyamaza
@AsiaDismas
@AsiaDismas Месяц назад
Kila mtu anavyoamin ndivyo anavyoamini wewe mtangazaji unamaswali ya kizushi achaneni na mwamposa wetu a
@user-sp5vr7uo4w
@user-sp5vr7uo4w Месяц назад
Mwamposa wa wawanawake tu au siyo
@user-yg5kw9uk2c
@user-yg5kw9uk2c Месяц назад
wacha hao watoe pesa kwa sabbu wanapenda kutangatanga njooni huku katoliki tumlilie maria,
Далее
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
Новый хит Люси Чеботиной 😍
00:33
Новый хит Люси Чеботиной 😍
00:33