Usafi, mazingira mazuri, uwazi wa maradhi na njia ziwe zinaridhisha. Huwezi kumualika mgeni chakula lakini vifaa vya mapishi huna. This is my point for today
Sehemu ya migration pale kama hupo Sawa mara unazimia kwa joto jamni viongozi kwani hawalioni hilo halafu unasimama foleni na kigeni kimoja kimewekwa koooona kuleee jamani taxes zoote hizo mmnazochaji M nashindwa hata na AC yaani hii znz hasa kilio