Mungu watofautishe watoto wangu na wengine,kuongea kwao,kutembea kwao ,ujana na ubint wao uwe wa tofauti na wengine ,Mungu wakumbuke watoto wangu wakutumikie
This song take me to 2011 when i was in high school when i used to beg for neighhood school fees .and knowbody didnt help me i used to cry day and night for GOD and now im working in Government officials and now im paying 4 neighboouring schoolfees .and has turning my crying to help the needy😢
From Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za mwaipajaa napenda sana sister unavyoo imbaa unanibalikii SANAA mungu abalikoo sanaaa yakoo jomon gonga ata like khadaa jomoo😔😔😔😑😑😋
Dada Martha Na Ndoto siku Moja Ya Kukuona for sure Nyimbo zako zinanipa sana Moyo kusonga Mbele Nakupenda sana dada Martha Live Long Dada Yangu Vitalis from TZA
@@NelsonbernardoDaleli-jn6lyumelopoka bdo hujasema😏,,yaan umecomment bila kufkiria mara mbili kwa kifup bdo hujajielewa kwa kias chake..and second hucpende kuwasema watumishi wa mungu then hucpende kulopoka hucvyovijua kwsabb kuna kesho😊..km umjui vzr mtu ni bora umtafute mtu anayemfahamu akakueleza kuhusu huyo mtu kuliko kulopoka vitu kiolela ambavyo mwenye akili timamu akikuckilza anakuona hamnazo 😊.jitafakari
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, ila wewe kwa kuwa una *mungo wako Kama ulivyosema sio mbaya ila jehanum inakuhusu kwa kuhukumu usipobadilika utahukumiwa*@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly
@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly utamjua mungu bila watumishi waliofunuliwa maandiko??..Hakuna alokwambia anamtegemea mwamposa ndugu,..ni kiongoz wa dini kama wengine tunafuata mafundisho yake kama mtumishi wa mungu..chunga kinywa chako ndugu muombe mungu akutofautishe kwa hekima ya kutamka yaliyo mema
Dada martha acha mungu akutofautishe na kina christine shusho walioacha injili na kufata tamaa ya fedha. May lord God bless you. Watching from +254🇰🇪🇰🇪
Kuzaliwa katika mazingira ya ukristo ,kuongea katika lugha,kusoma neno kumbe bado haijatosha kufikilia ufalme wako Baba ,naomba unifunze na unisaidie nisiikane imani hadi mwisho ,vita vijapo uwe ngao na mtetezi wangu wa karibu
Najitahidi ili nifike mwisho mwema,baba naomba nisaidie,unitofautishe na wewe,thanks dada mwaipaja nyimbo zako zinaanibariki sana mungu🙌aendelee kukuinuwa kwa kiwango Cha juu🙏🙏
Maman yangu mungu azidikuku ongoza katika nja yakweli n'a haki wala Yesu asikubali upoteye hilini ombilangu kwa mungu usuige dunia wala usiige wanadamu ❤❤❤❤