Masanja Mkandamizaji Awaijia Juu Wanafiki Wote Msibani.....
Subscribes: / kidanistars STAA wa Bongo Movie, Wema Sepetu amemtaka msanii mwenzake, Rose Alphonce ‘Muna’ kumaliza tofauti waliyokuwa nayo hapo nyuma na badala yake warejshe urafiki wao kama zamani ili waishi kwa upendo na amani. Wema ameyaserma hayo leo Jumamosi, Julai 7, 2018 katika viwanja vya Leaders vilivyopo Kinondoni jijini Dar wakatio wa kuaga mwili wa mtoto Muna, Patrick aaliyefariki dunia Nairobi nchini Kenya, Julai 3 na kuzikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni. Subscribes: / kidanistars
15 сен 2024