MWAIPOPO SEMA KWELI YAANI AL HADIY ANA MAADUWI WENGI SANA SANA WANATAKA KAMA LEO ATOKE ROHO NDIO WATAPUMUWA NAFSI ZAO WANAMROGA USIKU NA MCHANA, HAIFAI TUACHANE NA SIASA ZA HUSDA YA MAJI TAKA
Alikuwepo sheikh Aly Mubaraka aliaminiwa na watu wa Kuwait akawa anachimba visima na kujinga misikiti Chizenga na kundi lake walimpiga vita hadi akaondoka bakwata.matokeo yake watu maskini tukakosa huduma za kuchimbiwa visima
Hakuna alichokosea Alhady ni fitina tu za sheikh Chizenga hampendi sheikh Alhady na ndio maana hata alivyokua sheikh wa mkoa Chizenga huyuhuyu ndie alieongoza mapambano ya kumtoa sheikh Alhady kwenye usheikh wa mkoa ili amlete sheikh Walidi ambae ni jamaa ake Chizenga
Waislamu jameni neno linasema kwamaana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu akamtuoa mwanae hili Kila amwaminie asipotee Yohana 3:16-17nyie waislamu kwani ulimwenguni ni Israel tu? Fungukeni hakili zenu na mathayo 28:19 inasema mataifa yote ni Yesu kasema hapo halfu wewe mwaipopo unasema ulikuwa mchungaji ndio nyie biblia inawaita mbwa mchungaji asiyejua neno isaya 56:11 mwaipopo unaonekana hapo unaposema Yesu ni Kwa wanawaisreal tu ujui neno isaya kashatuonyesha ulivyo
Yaani huyuni akili ndogo, huyu anaongea uongo na sijawahi kuona anatoa mafundisho ya kiislam, yeye kazi yake ni kungelea ukristo. Usilam ulikujà miaka 635 bàda ya ukristo, ni dini changa kuliko dini zote. Nimemchalenge aongelee kuhusu istrael na Palestine lakini anaruka ruka.