Ina Garama nyingi sana kuwa leta MaUstad wetu kule TZ. Na ji hadarini na mafundisho ya yule DrSulle wenu! Sulle ali ongwa porojo nyingi sana aki tumia NDOTO za Danieli. Kitabu cha Danieli ni Kitabu ilio TUNGWA na Wazungu, in 1611AD. Ali ongea Porojo wakati ali present programme ya itwao "Peresi na Matakeli", au kitu kama hiyo, kwenye Isalah Tv, i think.. Mpaka ala sema, eti Mzungu anaye itwa 'JOHN of Zabadea', ali pewa UFUNUO, na Mwenyezi MUNGU, akiwa kule Cypress! Can you imagine huyu MjinGaa?
Nyinyi waislam ni wakora na hamtendi haki, mbona paulo anapoongea mnamkatiza? Mic mnampa sekunde kisha mnanyanganya, na baadaye anapotoa hoja nzito mnakata video