Aaaaa sheikh niko peke yangu lkn unanichekesha sana yaani unanifariji kwa hayo usemayo ni kweli tupu hatuyapati hayo kwa kweli tunanyanyasika sana wengi wetu kama tupo kituo cha polisi au jeshini vile Allah ninusuru mimi
@@sakinat2527 😂😂yapo mijike inafanya hivyo na vile wanaume wenyewe hawabebeki kama gunia la misumar siwezi kufanya kihere here mlishe pesa yake aipeleke nje