Ulikuwepo kweli wakati wa magu? Watu wasiojulikana unawajumbuka au ulikuwa kiziwi na kipofu wakati huo? Waandishi kuuwawa na kupotea? Tundulisu kushambuliwa kwa risas zaidi ya 20 akiwa makazi ya wabunge. Acha usenge.
Wee muongo mkubwa una chuki. Ni watu wangapi wamepotea hadi hii leo hawajulikani walipo. Kule pemba ni watu wangapi wameuwawa wakati wa uchaguzi. Kule ziwa Victoria kila uchao tulisikia vifo vya wavuvi. Wacha unafiki.
Serikali naona kama mmeshafeli! Niliwaambia serikali iliyoingia kwa hila madarakani kwa mmtoa aliyekuwepo kinyemera ina roho ya mauti! Sauli aliitawala Israel kwa matakwa ya wanadamu wasoma biblia mnajua kilichotokea! Roho ya mauti kila kona! Mungu atuokoe kwa damu ya Yesu!
Inaweza kuwa ata mmoja kahamua kuwauwa wote na yeye akajiuwa umo umo kwenye watano, Yan saiz tz inatisha kila siku mauwauwaji wangu waanze kuwaubilia neno la mungu nyumba ad nyumba itasaidia
Hii roho ni ya ibilisi. Mungu ametuacha maana na ss tumemuacha tunajifanyia mambo yetu. Tutubu tumrejee Mungu yeye ni mwenye rehema atatusamehe na kuiponya nchi yetu. 2 chr7:14
Naongea tena dunia kma haita kibali kutumia sheria za Mungu abayo ni anae ua auawe tusifuate mashetani Yale yanayotuletea sheria zao za kutetea wakosefu eti mtu akiua asiuliwe anaua makusudi auliwe hii ni Sharia ya Allah aliwaumba wanadamu alijua kuna watu watakosa kuthamini roho za watu akasema alieua auawe
Hizo ni sheria za watu,,zimetungwa na watu na wakaamua kumsingizia Mungu ili ionekane Ni Mungu kaamua,,Mungu hana sheria na Mungu hayupo kama hivyo vitabu vinavyomuelezea,,,,Ni ubatili mtupu na ipo siku utaijua kweli!!!
Naanza mm kukupa ushirikiano bw. Mtaka. Kwanza kupigwe Kura ya Siri hapo kijijini itangazwe kuwa kalatasi itakayo andikwa Jina la mtuhumiwa isiwe na anwani au namba za simu.Zoezi Hilo kifanyike tarafa YOTE hapo lazima watakamatwa tu
Kiukweli binadamu tulipofikia,ni bora ukaishi porini na wqnyama,kuliko kuishi na watu.hiv no kosa gan mtu amefanya mpk akastahili hukumu km hii?mauajikila kona ni nn lkn
Ee M/ Mungu wa rehema tunaomba huruma yako ktk hayo yanayotendeka nchi kwetu maana wanao hawana huruma tena wa hofu yako ,, Baba wewe pekee ndo msaada kwetu 😭😭😭😭🧎🙏
Duuuh naumia Tz ya asaiv nishetani kabisa aliyeingia kiulaini haagaikii kabisa na wananchi vifo vyakikatili ni vingii asaiv jmn heee rest in peace jpm 😭😭
😂😂😂 Vincent kigosi afuraishwa sana na maigizo ya uyo kijana mkongo bonyeza hapa uone 😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-WbGSs1CFdeQ.html
Serikali Inawachekea hawa wauaji.. Kungekuwa anayekamatwa na yeye anauliwa kusingekuwa na mambo hayo!! Maana kila kukicha tunapoteza ndugu zetu harafu serikali inachukuliwa poa.. Wallah mm ningekuwa kwenye mamlaka wangenichukia ningewauwa hadharani kila anayemuuwa mwenzie..😭
Tanzania jamani Tanzania mnakosea wapi jamani vifoo vimezidi tanzania jamani yani ni tanzania. Watuu. Wa tano wotee mmmm nihatari sana watu wamegeuka. Simba .au wanyama pori kutowa rokho xa watu watoto maskini hawana hatia lakini sasahivi nao wanachanganywa kwenye visasi vya watu wazima eweee mwezingu Tanzania inaangamia kwa mateso ya mauwaji kila siku matukio mabaya iko wapi awamu ya tano ya magufuri .R.l .P R.I.P. jpm unakumbukwa kwa ulinzi ulikuwa ni .kali sana hakukuwa na matukio haya ya mauji
Tanzania ushirikina umezidi, watu hawafanyikazi wote wanataka kuwa waganga, ili wasitumie nguvu kufanya kazi, haiwezekani kuua watu bila hatia kama hajatumwa na mganga serikali iingilie kati hakuna mtu kuwa mganga akigunduliwa tia ndani bila hivo tutaendelea kufa na jela zitajaa wauaji
WATZ TUNAENDA WAPI JAMANI KUUANA KAMA KUKU.HEMBU FIKIRIA UNAPOTOA ROHO YA MWENZAKO UNAONARAHA GANI.AMEJITETEA KWA UCHUNGU MKUBWA HADI ROHO INATOKA JAMANI
Waganga wetu na wachawi wetu kazi yao ni kuwatesa wasio na hatia lakini kwa wanao mwaga damu za watu,,,uchawi na uganga wao haufanyi kazi,,,lakini wapelekee tatzo la nguvu za kiume utalishwa mizizi hadi ya mawe,,,Mamaeee zao