Kabisa Kaka hao ni wahuni hata ukiwasikia ma missionary wakeelezea Africa kwao wanaongea umaskini WA Africa na maskini wakubwa sasa utaona malengo Yao hayakuwa mema kabisa hongera zenu
@@wachokonozi_ you guys kuna sehemu kubwa sana ya elimu ambayo imefichwa mnaifunua vyema sana I wish peo za watu zifunguke zaidi ili waafrika tujitambue zaidi naamini ipo siku itakuwa wether tuwepo au tusiwepo as big thoughts live forever. I wish wapumbavu wasiguse hii channel kuiharibu either kwa kuifungia au otherwise ila hekma iwaingie ili elimu iendelee kuishi
Nilowahi kusoma nao wanajua ckuwahi kuelewana na viongozi wa dini kweny vipindi vyao ilkua nimaswali juu ya maswali mpk nlikua nafukuzwa kwenye vipindi nawavurugia amani lkn Mimi nlikua nimesimama kwenye ukweli ila wao kweli ndo ilkua imetawala vichwani mwao
Kabla ya Wakoloni hawajaleta DINI zao huku kwetu Afrika kakukua na DHAMBI bali afrika kulikua na MIIKO (Dhambi ni nini?) ni kosa la kiumbehai mwenye hiari dhidi ya uadilifu unaompasa.... (Mwiko ni nini?) ni jambo au kitu kinachozuiwa mtu kutumia au kutenda kwa kuogopa kudhurika. Ndio maana waafrika hawakuwa Wizi, Mauwaji, Ubakaji, Ufisadi, Ushoga, Umalaya, Ubinafsi nk kwa sababu waafrika walijua endapo watavunja miiko watadhurika... Bali walipoleta DHAMBI ndipo haya mambo kama Wizi, Mauwaji, Ubakaji, Ufisadi, Ushoga, Umalaya, Ubinafsi nk yakawepo kwa sababu tuliambiwa kwenye dini ukitenda dhambi UNATUBU na baada ya hapo UNASAMEHEWA...
Ningeomba wandugu wachonozi undeni group kama ni whatssp sawa ili tufundishwe mengi naisi tulizaliwa katika upumbavu na tunakuliya kwenye ubumbavu mambo yenu yanazidi kutufunguwa akili sana
Mi najiulizaga awa viongozi wakuu wadini zote kubwa mbili zinazo fuatwa duniani viongozi wake wakuu wanatoka kwao tunakua wajinga kiasi gani anzisheni group tujadli kwa pamoja swala la Africa ukombozi kwa wote upo mikononi mwetu wachache
Lakini hizi dini sio histori niukweli kwa sababu hivi vitabu mfano msahafu kuna maandiko ukisomewa kwania ya kupewa hukumu furani lazima upatwe na matatizo ingekua ni mipango visinge kua na nguvu yoyote