Hii nchi lazima LAZIMA washtakiwe THE HEAGUE maana hapa wanasheria wengi wamewekwa mifukoni mwa serikali na wako kwa kupindisha sheria. Jata huyu AWADH na MSAJILI wasishtakiwe hapa wapelekwe huko THE HEAGUE.
Pole sana kiongozi naamini ipo siku watailipia hii kama sio hapa duniani basi akhera mungu anawasubiri Kwa hamu na tunawaomba hao wote waliofanya hivyo mungu aanze na familia zao
Pole sana MH. T A LISU MAKAMO M/K CHADEMA KWA MAGUMU UNAYOPITIA, WEWE NDIYE SHUJAA PAMOJA NA MAGUMU UNAYO PITIA NDIO MAANA MUNGU AMEKUACHA HAI , WAKATI WA MUNGU UKIFIKA HARA WAPANGE MAJESHI HAWATAWEZA JIPE MOYO USHINDI UPO MBELE YAKO ILI KULIOKOA TAIFA HILI NA MUNGU AZIDI SANA KUKUBARIKI
Kwakweli ccm hawana akili jamani, eti mtu nimtanganyika anaibiwa sasa watu wanasema halafu badala muungane kupigania haki eti unasimama upende wawahuni.